Habari ndugu;
Straight to the topic. Katika wake wa marais niliobahatika kuwaona hapa Tanzania. ..... first lady wa sasa...yaani mama Salma Kikwete kweli anajua kuvaa compared na hao waliopita.
Kwa hilo nampa heko sana kwakweli anatuwakilisha vizuri hasa kinamama kwenye suala la mavazi....... huwa ananoga sana.
Tyta ukinisaidia picha zake humu nitashukuru
(Mama Maria Nyerere (katikati) Mama Siti Mwinyi (kushoto) na Mama Salma Kikwete)
(Anna Mkapa)
Mnh hapa naomba nisitie neno naeza nkaharibu hali ya hewa
Mke wa Rais ambaye hajavuma na havumi ni Mke wa Mwinyi,hata jina lake silifahamu
Angalia hapo kwenye post yangu utajua jina lake