kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
Habari ndugu;
Straight to the topic. Katika wake wa marais niliobahatika kuwaona hapa Tanzania. ..... first lady wa sasa...yaani mama Salma Kikwete kweli anajua kuvaa compared na hao waliopita.
Kwa hilo nampa heko sana kwakweli anatuwakilisha vizuri hasa kinamama kwenye suala la mavazi....... huwa ananoga sana.
Tyta ukinisaidia picha zake humu nitashukuru
Na ni mzuri pia kuliko wenzake wote
Last edited by a moderator: