Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Naona Mbowe asali aliyopewa ilikuwa ya kuonjeshwa haijamtidhisha ameanza chokochoko za Kizee ili apewe asali nyingine tena lkn mimi namshauri Samia aendelee kumpa asali ya kuonja ili awe mvumilivu
ukifika wakati wa kumpa ya kunywa achanganye na Alovera hii ni chungu ataitema japo vile viuchungu vidogo vitakuwa vimemponesha kabisa na hatimaye atarudi kulea wajukuu zake huko Hai huyu babu Mbowe
ukifika wakati wa kumpa ya kunywa achanganye na Alovera hii ni chungu ataitema japo vile viuchungu vidogo vitakuwa vimemponesha kabisa na hatimaye atarudi kulea wajukuu zake huko Hai huyu babu Mbowe