Taqbri!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taqbri!!!
Ya jirani ni suna, mbuta ya wachapa kazi.Ya kwako inakushinda ya jirani utaiweza?
Kama nyie familia ya uhuru ilivyowakoloniHehehe bora muendelee hivyo kutuogopa maana kwa kweli mkiachia tutawakoloni kabisa.
Vaa lessuKama nyie familia ya uhuru ilivyowakoloni
Wee punguza u ccm za singinda.Kwa kweli hakuna kitu ninachokimezea mate sana kama ardhi ya TZ...nyie Jamaa mna ardhi kubwa sana tena arable na mvua ya kutosha mkitaka kufanya industrial farming kama kule Australia mtafaulu sana haswa kwa mimea kama sugarcane, rice ,wheat that Kenya heavily imports...kisha u don't even tax farm inputs like Tractors ...kuna yule Jamaa mtanzania aliyeuza mabasi yake 80 na kuwekeza katika hii sekta nafikiri anaitwa Salum Sumri alinipendeza sana!
Ila sijakuelewa...nimetaja Canada wapi?Wee punguza u ccm za singinda.
In Canada there is no title to land.
Bongo ni lala, supu mtu kwa wengi
Now umethibitisha ni jinsi gani unausudu nchi yetu, njooni muone kama panga hazijawahusu, hatuna huruma tuna amani atutaki ugaidi wenuKwanza bei ya shamba huko Tanzania ni nafuu sana. Tutamwagika huko kama uji.
[emoji91][emoji91][emoji91]Kwa kweli hakuna kitu ninachokimezea mate sana kama ardhi ya TZ...nyie Jamaa mna ardhi kubwa sana tena arable na mvua ya kutosha mkitaka kufanya industrial farming kama kule Australia mtafaulu sana haswa kwa mimea kama sugarcane, rice ,wheat that Kenya heavily imports...kisha u don't even tax farm inputs like Tractors ...kuna yule Jamaa mtanzania aliyeuza mabasi yake 80 na kuwekeza katika hii sekta nafikiri anaitwa Salum Sumri alinipendeza sana!
Mna amani gani ikiwa mnataka kutumia panga? Unajua maana ya amani wewe?Now umethibitisha ni jinsi gani unausudu nchi yetu, njooni muone kama panga hazijawahusu, hatuna huruma tuna amani atutaki ugaidi wenu
Katiba inamruhusu kuamua kwa niaba ya wengine wote, tulia kwanza, mabadiliko ya katiba sio kipaumbele kwa sasa... Chonde Mama Samia, hawa wasikuhadae.
Nchini tanzania sheria zinazosimamia masuala ya ardhi ni nyingi .Tutakuja na Tutanunua TZ shamba Nusu Nchi,we are Investers and investing has No limitations😛Meza wembe🤣🤣🤣
Uwekezaji watafanyia wapi sasa.?Nyie jamaa miaka nenda rudi mmekuwa mkiimezea mate Ardhi yetu, tunamuasa Raisi wetu asije akaingia kwenye mtego wenu wa kutaka kuja kuwekeza kwenye masuala yahusio Ardhi, tutakuwa tumekwisha. Chonde Mama Samia, hawa wasikuhadae.
Nyie jamaa miaka nenda rudi mmekuwa mkiimezea mate Ardhi yetu, tunamuasa Raisi wetu asije akaingia kwenye mtego wenu wa kutaka kuja kuwekeza kwenye masuala yahusio Ardhi, tutakuwa tumekwisha. Chonde Mama Samia, hawa wasikuhadae.