Mama Samia kuwa makini na watu wa protokali- wanakudanganya

Mama Samia kuwa makini na watu wa protokali- wanakudanganya

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Najua kuna watu wengi pamoja na mimi binafsi tunamshangaa huyu Mama kubadilika sana kuanzia 2021. Sababu moja wapo inawezekana ikawa watu wake wa protokali ambao wanajiona sasa wenyewe ndiyo wana mlisha habari na kuzuia habari zisifike kwake.

Kitendo cha waziri wa elimu kulalamikia kwamba watu wa protokali walikuwa wanaweka mizengwe ili asikutane naye wakijua fika ataenda kumuambia mambo ambayo yeye angeweza kuyaona tofauti na hayapo kwenye agenda za hao wana protokali.

Mama Samia tusishangae amekuwa akibadilisha sana viongozi wa usalama wa taifa ni kwasababu anagundua mabyo alikuwa hajui. Kwasasa kwa watu wa ndani wana wasiwasi kwamba Mama analisha vitu ambavyo sio vya msingi.

Hata habari za mitandaoni anapelekewa vitu vya kumsifia tu. Mikutano wanamzunguka na wasanii machawa na watu wanaosubiri ajira kutoka kwake.

Hata wale wafanyabiashara ambao walikuwa wanamwambia ukweli Mama kama Rostam sasa wamewekwa pembeni na watu wa protokali ambao wanafanya kazi na mafisadi sasa wafanyabiashara waongeaji hawakaribishwi tena Ikulu maana wanaweza kupasua majibu na mama akajua wizi unao endeshwa na mafisadi.

Wataita wale wafanyabiashara kama wa Azam ambao hawaongei lolote. Lakini Mo na Rostam wamepigwa stop na watu wa protokali Mo ametishiwa na kuhamia Dubai kabisa hata akija ni kwa sirisiri.

Hata wale wanasiasa washauri kama Warioba, Ulimwengu watu wa protokali wamewapiga chini na kuwazuia hawapati nafasi ya kuongea na Raisi mambo ya kitaifa. Mtu pekee anayepewa nafasi ni Kikwete ambaye ana watu wake na agenda zake binafsi kwake na familia yake.

Tusishangae Makamu Mpango kunyamazishwa kiasi hiki hapewi nafasi hata ya kuongea siku hizi ni hawa watu wa protokali. Nyuma ya hawa watu ni mafisadi ambao kwanza Mama mwenyewe hawamtaki.

Tujiulize 4R za Mama hii sera zimeishia wapi ni hawa hawa watu wa protokali wamezika hiyo agenda. Sheria mpya Mama alikuwa na nia ya kuboresha sheria hawa watu wa protokali wakazima na kumtishia spika Tulia ambaye ni mchungu wa Madara na kufanya lolote kama roboti.

Mama asikobadilisha hawa watu wa usalama na protokali na kuweka watu ambao ni wazalendo na watamwambia ulkweli atashangaa na mambo ambayo yatatokea kwa miezi ijayo. Hizi cheka cheka za Mama kuanzia mwezi wa tano mtaona zinabadilika
 
Pale rais anapopokwa madaraka yake na taasisi ya urais!
Kuna mtu aliwahi sema kuhusu "parallel gov", ni hatari.
 
Rais abnamfahamu Melo personally na anaihmhua JF.

Hakuna kinachomzuia kupata habari, taarifa na maoni firsthand
 
Najua kuna watu wengi pamoja na mimi binafsi tunamshangaa huyu Mama kubadilika sana kuanzia 2021. Sababu moja wapo inawezekana ikawa watu wake wa protokali ambao wanajiona sasa wenyewe ndiyo wana mlisha habari na kuzuia habari zisifike kwake.

Kitendo cha waziri wa elimu kulalamikia kwamba watu wa protokali walikuwa wanaweka mizengwe ili asikutane naye wakijua fika ataenda kumuambia mambo ambayo yeye angeweza kuyaona tofauti na hayapo kwenye agenda za hao wana protokali.

Mama Samia tusishangae amekuwa akibadilisha sana viongozi wa usalama wa taifa ni kwasababu anagundua mabyo alikuwa hajui. Kwasasa kwa watu wa ndani wana wasiwasi kwamba Mama analisha vitu ambavyo sio vya msingi.

Hata habari za mitandaoni anapelekewa vitu vya kumsifia tu. Mikutano wanamzunguka na wasanii machawa na watu wanaosubiri ajira kutoka kwake.

Hata wale wafanyabiashara ambao walikuwa wanamwambia ukweli Mama kama Rostam sasa wamewekwa pembeni na watu wa protokali ambao wanafanya kazi na mafisadi sasa wafanyabiashara waongeaji hawakaribishwi tena Ikulu maana wanaweza kupasua majibu na mama akajua wizi unao endeshwa na mafisadi.

Wataita wale wafanyabiashara kama wa Azam ambao hawaongei lolote. Lakini Mo na Rostam wamepigwa stop na watu wa protokali Mo ametishiwa na kuhamia Dubai kabisa hata akija ni kwa sirisiri.

Hata wale wanasiasa washauri kama Warioba, Ulimwengu watu wa protokali wamewapiga chini na kuwazuia hawapati nafasi ya kuongea na Raisi mambo ya kitaifa. Mtu pekee anayepewa nafasi ni Kikwete ambaye ana watu wake na agenda zake binafsi kwake na familia yake.

Tusishangae Makamu Mpango kunyamazishwa kiasi hiki hapewi nafasi hata ya kuongea siku hizi ni hawa watu wa protokali. Nyuma ya hawa watu ni mafisadi ambao kwanza Mama mwenyewe hawamtaki.

Tujiulize 4R za Mama hii sera zimeishia wapi ni hawa hawa watu wa protokali wamezika hiyo agenda. Sheria mpya Mama alikuwa na nia ya kuboresha sheria hawa watu wa protokali wakazima na kumtishia spika Tulia ambaye ni mchungu wa Madara na kufanya lolote kama roboti.

Mama asikobadilisha hawa watu wa usalama na protokali na kuweka watu ambao ni wazalendo na watamwambia ulkweli atashangaa na mambo ambayo yatatokea kwa miezi ijayo. Hizi cheka cheka za Mama kuanzia mwezi wa tano mtaona zinabadilika
Tulia uchomwe sindano simitano tena nini kinakuwasha... uchawa tu unatutesa huku mitano tena huku nyenyenye... akaa
 
Mbona kina makonda wanapiga simu direct waziri hawezi kupiga simu au wanapokea hao protocol?
 
Najua kuna watu wengi pamoja na mimi binafsi tunamshangaa huyu Mama kubadilika sana kuanzia 2021. Sababu moja wapo inawezekana ikawa watu wake wa protokali ambao wanajiona sasa wenyewe ndiyo wana mlisha habari na kuzuia habari zisifike kwake.

Kitendo cha waziri wa elimu kulalamikia kwamba watu wa protokali walikuwa wanaweka mizengwe ili asikutane naye wakijua fika ataenda kumuambia mambo ambayo yeye angeweza kuyaona tofauti na hayapo kwenye agenda za hao wana protokali.

Mama Samia tusishangae amekuwa akibadilisha sana viongozi wa usalama wa taifa ni kwasababu anagundua mabyo alikuwa hajui. Kwasasa kwa watu wa ndani wana wasiwasi kwamba Mama analisha vitu ambavyo sio vya msingi.

Hata habari za mitandaoni anapelekewa vitu vya kumsifia tu. Mikutano wanamzunguka na wasanii machawa na watu wanaosubiri ajira kutoka kwake.

Hata wale wafanyabiashara ambao walikuwa wanamwambia ukweli Mama kama Rostam sasa wamewekwa pembeni na watu wa protokali ambao wanafanya kazi na mafisadi sasa wafanyabiashara waongeaji hawakaribishwi tena Ikulu maana wanaweza kupasua majibu na mama akajua wizi unao endeshwa na mafisadi.

Wataita wale wafanyabiashara kama wa Azam ambao hawaongei lolote. Lakini Mo na Rostam wamepigwa stop na watu wa protokali Mo ametishiwa na kuhamia Dubai kabisa hata akija ni kwa sirisiri.

Hata wale wanasiasa washauri kama Warioba, Ulimwengu watu wa protokali wamewapiga chini na kuwazuia hawapati nafasi ya kuongea na Raisi mambo ya kitaifa. Mtu pekee anayepewa nafasi ni Kikwete ambaye ana watu wake na agenda zake binafsi kwake na familia yake.

Tusishangae Makamu Mpango kunyamazishwa kiasi hiki hapewi nafasi hata ya kuongea siku hizi ni hawa watu wa protokali. Nyuma ya hawa watu ni mafisadi ambao kwanza Mama mwenyewe hawamtaki.

Tujiulize 4R za Mama hii sera zimeishia wapi ni hawa hawa watu wa protokali wamezika hiyo agenda. Sheria mpya Mama alikuwa na nia ya kuboresha sheria hawa watu wa protokali wakazima na kumtishia spika Tulia ambaye ni mchungu wa Madara na kufanya lolote kama roboti.

Mama asikobadilisha hawa watu wa usalama na protokali na kuweka watu ambao ni wazalendo na watamwambia ulkweli atashangaa na mambo ambayo yatatokea kwa miezi ijayo. Hizi cheka cheka za Mama kuanzia mwezi wa tano mtaona zinabadilika
Mama au mamaa.?
Mama yake nani ?
Sijui kwa nini Wakatoliki wanasema mama wa Yesu!!

Ok, mama !

Ok, Ganga ma
Maza.
Maza hausi .
Ok, bi mkubwa.

.
 
Najua kuna watu wengi pamoja na mimi binafsi tunamshangaa huyu Mama kubadilika sana kuanzia 2021. Sababu moja wapo inawezekana ikawa watu wake wa protokali ambao wanajiona sasa wenyewe ndiyo wana mlisha habari na kuzuia habari zisifike kwake.

Kitendo cha waziri wa elimu kulalamikia kwamba watu wa protokali walikuwa wanaweka mizengwe ili asikutane naye wakijua fika ataenda kumuambia mambo ambayo yeye angeweza kuyaona tofauti na hayapo kwenye agenda za hao wana protokali.

Mama Samia tusishangae amekuwa akibadilisha sana viongozi wa usalama wa taifa ni kwasababu anagundua mabyo alikuwa hajui. Kwasasa kwa watu wa ndani wana wasiwasi kwamba Mama analisha vitu ambavyo sio vya msingi.

Hata habari za mitandaoni anapelekewa vitu vya kumsifia tu. Mikutano wanamzunguka na wasanii machawa na watu wanaosubiri ajira kutoka kwake.

Hata wale wafanyabiashara ambao walikuwa wanamwambia ukweli Mama kama Rostam sasa wamewekwa pembeni na watu wa protokali ambao wanafanya kazi na mafisadi sasa wafanyabiashara waongeaji hawakaribishwi tena Ikulu maana wanaweza kupasua majibu na mama akajua wizi unao endeshwa na mafisadi.

Wataita wale wafanyabiashara kama wa Azam ambao hawaongei lolote. Lakini Mo na Rostam wamepigwa stop na watu wa protokali Mo ametishiwa na kuhamia Dubai kabisa hata akija ni kwa sirisiri.

Hata wale wanasiasa washauri kama Warioba, Ulimwengu watu wa protokali wamewapiga chini na kuwazuia hawapati nafasi ya kuongea na Raisi mambo ya kitaifa. Mtu pekee anayepewa nafasi ni Kikwete ambaye ana watu wake na agenda zake binafsi kwake na familia yake.

Tusishangae Makamu Mpango kunyamazishwa kiasi hiki hapewi nafasi hata ya kuongea siku hizi ni hawa watu wa protokali. Nyuma ya hawa watu ni mafisadi ambao kwanza Mama mwenyewe hawamtaki.

Tujiulize 4R za Mama hii sera zimeishia wapi ni hawa hawa watu wa protokali wamezika hiyo agenda. Sheria mpya Mama alikuwa na nia ya kuboresha sheria hawa watu wa protokali wakazima na kumtishia spika Tulia ambaye ni mchungu wa Madara na kufanya lolote kama roboti.

Mama asikobadilisha hawa watu wa usalama na protokali na kuweka watu ambao ni wazalendo na watamwambia ulkweli atashangaa na mambo ambayo yatatokea kwa miezi ijayo. Hizi cheka cheka za Mama kuanzia mwezi wa tano mtaona zinabadilika
Mapambio na kusifu ndo vinampofusha mama Kizimkazi
 
CCM oyee
 

Attachments

  • 993762e6-2f7d-48f0-af5d-f0c04532b2ba.mov
    3.7 MB
Najua kuna watu wengi pamoja na mimi binafsi tunamshangaa huyu Mama kubadilika sana kuanzia 2021. Sababu moja wapo inawezekana ikawa watu wake wa protokali ambao wanajiona sasa wenyewe ndiyo wana mlisha habari na kuzuia habari zisifike kwake.

Kitendo cha waziri wa elimu kulalamikia kwamba watu wa protokali walikuwa wanaweka mizengwe ili asikutane naye wakijua fika ataenda kumuambia mambo ambayo yeye angeweza kuyaona tofauti na hayapo kwenye agenda za hao wana protokali.

Mama Samia tusishangae amekuwa akibadilisha sana viongozi wa usalama wa taifa ni kwasababu anagundua mabyo alikuwa hajui. Kwasasa kwa watu wa ndani wana wasiwasi kwamba Mama analisha vitu ambavyo sio vya msingi.

Hata habari za mitandaoni anapelekewa vitu vya kumsifia tu. Mikutano wanamzunguka na wasanii machawa na watu wanaosubiri ajira kutoka kwake.

Hata wale wafanyabiashara ambao walikuwa wanamwambia ukweli Mama kama Rostam sasa wamewekwa pembeni na watu wa protokali ambao wanafanya kazi na mafisadi sasa wafanyabiashara waongeaji hawakaribishwi tena Ikulu maana wanaweza kupasua majibu na mama akajua wizi unao endeshwa na mafisadi.

Wataita wale wafanyabiashara kama wa Azam ambao hawaongei lolote. Lakini Mo na Rostam wamepigwa stop na watu wa protokali Mo ametishiwa na kuhamia Dubai kabisa hata akija ni kwa sirisiri.

Hata wale wanasiasa washauri kama Warioba, Ulimwengu watu wa protokali wamewapiga chini na kuwazuia hawapati nafasi ya kuongea na Raisi mambo ya kitaifa. Mtu pekee anayepewa nafasi ni Kikwete ambaye ana watu wake na agenda zake binafsi kwake na familia yake.

Tusishangae Makamu Mpango kunyamazishwa kiasi hiki hapewi nafasi hata ya kuongea siku hizi ni hawa watu wa protokali. Nyuma ya hawa watu ni mafisadi ambao kwanza Mama mwenyewe hawamtaki.

Tujiulize 4R za Mama hii sera zimeishia wapi ni hawa hawa watu wa protokali wamezika hiyo agenda. Sheria mpya Mama alikuwa na nia ya kuboresha sheria hawa watu wa protokali wakazima na kumtishia spika Tulia ambaye ni mchungu wa Madara na kufanya lolote kama roboti.

Mama asikobadilisha hawa watu wa usalama na protokali na kuweka watu ambao ni wazalendo na watamwambia ulkweli atashangaa na mambo ambayo yatatokea kwa miezi ijayo. Hizi cheka cheka za Mama kuanzia mwezi wa tano mtaona zinabadilika
Mama anafungua madirisha

CC Lucas Mwashambwa
 
Wanamwambia mambo ni shwari kumbe HAKUBALIKI KABISA -afu hao wasanii nao njaa tupu zipo katika makoromeo yao... yaani mama Abduli hakubaliki.
 
Mifumo imeshachanganyikana, kwa jinsi hali ilivyo inaonesha kuwa Vyeo ni kama zawadi au kulipa fadhila ni si suala la ku-fit kwenye nafasi husika. Tunahitaji a totally overhaul ya mifumo yote nchini. Kelele ni nyingi kutokea kila pande, ijapokuwa kelele nyingine ni za mapambio lakini kelele za malalamiko ni kubwa zaidi.
Watu wanalalamika, wananchi wanalalamika, jikoni pia wanalalamika..basi tabu tupu. Sitaki kukumbushia yaliyopita lakini ili tuende mbele hatuhitaji kupiga KELELE, tunahitaji kupiga kazi kwa bidii na mambo yatakuwa mazuri. Tumeshuhudia DT kule ng'ambo baada tu ya kuingia WH ameanza kazi, na milio ikaanza kusikika. Hakika kazi ni kipimo cha utu. Rais ni mtu muhimu ni wa watu wote, si wa familia yake, ndugu zake, chama chake, dini yake, classmates wake n.k.
Rais akishaapa anamilikiwa na watu wote na amebeba dhamana ya kila mwananchi. Hichi kirusi cha uchawa kilichoingia hapa nchini ni hatari sanaa sanaa, kitokomezwe haraka mno hata kama kuna tatizo la ajira lakini tusirihusu upuuzi huu unaoitwa uchawa kuwa ni mbadala wa ajira! Taifa litapotea.
Mungu hana chawa , japo anao marafiki wa karibu mno ndiyo maana huwambia siri zake, na sisi wanadamu tumepewa hiyo hadhi ya uuungu ndani yetu kwa namna fulani.
Tusikubali watu wanaotuzunguka kujifanya ni machawa wetu, haipendezi na ni hatari kwako wewe mwenyewe.
 
Back
Top Bottom