britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Binafsi naweza kusema hii ni moja ya hotuba nzuri sana kutoka kwa Madam President.👏👏👏
1. Suala la Viongozi kujiamini na kufanya maamuzi ambayo wataweza kuyatetea, maana yake wakizingatia hili watafanya informed decision, zenye kuzingatia maslahi ya wengi, kuengage kabla ya kuamua na kutumia kiwango cha juu sanaa cha akili zao badala yakuamua tu ilimradi.
2. Taarifa vs Mawasiliano ni jambo muhimu sana kwa Viongozi kujua hilo tumeona Viongozi wamekuwa wakitoa matamuko ambayo ukienda kwenye utendaji hayafafanuliwi, kwa kuzingatia hoja hii Viongozi na watendaji hatapaswa kutoa tamko tu bila official communication.
3. Suala la kufanya kazi mpaka ukomo wa taratibu na endapo inatokea sheria imegota basi ubunifu muhimu kujua je kuna haja ya marekebisho, ikiwa kuna marekebisho angalizo yasiwe kwa maslahi binafsi maana unaweza kuta sheria inarekebishwa kwa cure jambo la msimu tu na kwa manufaa yawachache kukiwa na leeway ambayo ni uncontrolled.
4. Succession plan nakuangalia succession hiyo inatija!!! huyu mtu au watendaji wa chini wanauwezo wakukupa na kukushauri vizuri au kuweka watu ambao utapenda wakuamubudu au kutembelea kwenye viatu vya wakubwa kuliko ubunifu! hili nalo muhimu sanaa.
5. Kuheshimu watu wananchi na sekta binafsi haya mambo muhimu sana kimsingi Watendaji wakifuata haya watafanya kazi vyema sana.
Britanicca
1. Suala la Viongozi kujiamini na kufanya maamuzi ambayo wataweza kuyatetea, maana yake wakizingatia hili watafanya informed decision, zenye kuzingatia maslahi ya wengi, kuengage kabla ya kuamua na kutumia kiwango cha juu sanaa cha akili zao badala yakuamua tu ilimradi.
2. Taarifa vs Mawasiliano ni jambo muhimu sana kwa Viongozi kujua hilo tumeona Viongozi wamekuwa wakitoa matamuko ambayo ukienda kwenye utendaji hayafafanuliwi, kwa kuzingatia hoja hii Viongozi na watendaji hatapaswa kutoa tamko tu bila official communication.
3. Suala la kufanya kazi mpaka ukomo wa taratibu na endapo inatokea sheria imegota basi ubunifu muhimu kujua je kuna haja ya marekebisho, ikiwa kuna marekebisho angalizo yasiwe kwa maslahi binafsi maana unaweza kuta sheria inarekebishwa kwa cure jambo la msimu tu na kwa manufaa yawachache kukiwa na leeway ambayo ni uncontrolled.
4. Succession plan nakuangalia succession hiyo inatija!!! huyu mtu au watendaji wa chini wanauwezo wakukupa na kukushauri vizuri au kuweka watu ambao utapenda wakuamubudu au kutembelea kwenye viatu vya wakubwa kuliko ubunifu! hili nalo muhimu sanaa.
5. Kuheshimu watu wananchi na sekta binafsi haya mambo muhimu sana kimsingi Watendaji wakifuata haya watafanya kazi vyema sana.
Britanicca