Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,588
- 22,752
Hata mgonjwa huwa anasema ETI TUPO KWENYE VITA YA KIUCHUMI NA MAREKANI BASI UAGA NACHEKAGAHivi hawanaga vitu vya msingi vya kuongea! Kwa Marekani amejifunza Tz!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mgonjwa huwa anasema ETI TUPO KWENYE VITA YA KIUCHUMI NA MAREKANI BASI UAGA NACHEKAGAHivi hawanaga vitu vya msingi vya kuongea! Kwa Marekani amejifunza Tz!
Alipatikana kidemokrasia huyo Specioza?Msaidizi makini asiyejua kuwa mwanamke wa kwanza kuwa VIce President kwa africa ni Specioza Kazibwe wa Uganda?
Alipatikana kidemokrasia huyo Specioza?
| Specioza Kazibwe | |
|---|---|
| 6th Vice President of Uganda | |
| Personal details | |
| In office 18 November 1994 – 21 May 2003 | |
| President | Yoweri Museveni |
| Preceded by | Samson Kisekka |
| Succeeded by | Gilbert Bukenya |
| Born | 1 July 1954 (age 66) Iganga, Uganda |
| Political party | Democratic Party |
| Alma mater | Makerere University |
Kwani samia alipatikana kidemokrasia? Umesahau juzi kati mwenyekiti wako kasema viongozi hawakuchaguliwa na wananchiAlipatikana kidemokrasia huyo Specioza?
Kumbe ndio kesi yako hiyo🙄🙄Msaidizi makini asiyejua kuwa mwanamke wa kwanza kuwa VIce President kwa africa ni Specioza Kazibwe wa Uganda?
Sasa unasemaje mtu ni makini wakati hata historia ndogo kama hiyo haijuiKumbe ndio kesi yako hiyo🙄🙄
Ila weusi ni wajinga sana sasa uke una impact gani kwenye utendajiMakamu wa Rais mama Samia Suluhu amewataka wanawake wa Tanzania kujiamini kwani wanawake ni jeshi kubwa.
Mama Samia amesema mataifa mengi huko duniani hujifunza kupitia Tanzania ndio maana hata Marekani sasa ina makamu wa Rais mwanamke na hilo ni jambo jema.
Chanzo: TBC
Maendeleo hayana vyama!
Who?Where is he?
Kama kabla ya Tanzania kuwa na vice president mwanamke mataifa mengine yalikuwa nao, iweje huyu mama ana-claim Marekani wameiga Tanzania? Sio kwamba waliiga kwengineko? Au kwa ujumla wake ikiwemo Tanzania? Huyu ndio mwanamke msomi akihamasisha wanawake wengine!!!!!!!!!!!!!!!!!Makamu wa Rais mama Samia Suluhu amewataka wanawake wa Tanzania kujiamini kwani wanawake ni jeshi kubwa.
Mama Samia amesema mataifa mengi huko duniani hujifunza kupitia Tanzania ndio maana hata Marekani sasa ina makamu wa Rais mwanamke na hilo ni jambo jema.
Chanzo: TBC
Maendeleo hayana vyama!
Nchi za Africa mpaka zilishatoa kitambo marais wanawake yeye anajivunia kuwa makamu?Msaidizi makini asiyejua kuwa mwanamke wa kwanza kuwa VIce President kwa africa ni Specioza Kazibwe wa Uganda?