The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Najua nafsi yako haitaki uwe hata ulivyo Sasa kwenye nafasi ya uraisi.
Ila wahuni waneona wewe ni mteremko wanafanya mambo Yao kiulaini ndo maana wamekung'ang'ania.
2025-2030 siasa za Tanzania zitakuwa ngumu Sana Kwa mara ya Kwanza tunaweza kupata Raisi kutoka upinzani..
Na uhakika 100% hutazimudu wahuni watakuwa wameshaharibu vya kutosha.
Ni muujiza Tu utakaokufanya uishi kwa Amani tofauti na hapo kiti kitakuwa cha Moto Sana.
Naomba Uzi huu utunzwe.
Adiós.
Ila wahuni waneona wewe ni mteremko wanafanya mambo Yao kiulaini ndo maana wamekung'ang'ania.
2025-2030 siasa za Tanzania zitakuwa ngumu Sana Kwa mara ya Kwanza tunaweza kupata Raisi kutoka upinzani..
Na uhakika 100% hutazimudu wahuni watakuwa wameshaharibu vya kutosha.
Ni muujiza Tu utakaokufanya uishi kwa Amani tofauti na hapo kiti kitakuwa cha Moto Sana.
Naomba Uzi huu utunzwe.
Adiós.