Mama Samia nakuhurumia kugombea uraisi 2025

Mama Samia nakuhurumia kugombea uraisi 2025

Msimsumbue mama, hakuwai taka hicho cheo, anafanya lile analoweza kufanya, Roma haikujengwa kwa siku moja, atafanya yake atampisha mwingine, maisha lazima yaendelee. Kazi iendelee
 
Mimi nilifurahi kuona such a smooth transition
, ukizingatia ni mwanamke kwa hilo watanzania tumekomaa.
Tatizo la huyu mama ni kwamba hajiamini. Amerudisha watu walioza. Tasisi ya Uraisi ikifanya maamuzi, haitakiwi kurudi nyuma au kumsafisha mtu; ndio maana kuna mahakama ya haki nk.
Mama is too Globalist. Sisi kwetu bado malema sana, na hawa ma-globalist ndio hatari zaidi kwa ustawi wa jamii changa duniani.

Mama sio visionary. Tukirudi kwenye point ya kwanza; haaminj kwenye maamuzi yake au upya. Yeye ndie Rais wa JMT. Ukiangalia mustakabli mnzima wa nchi na miaka ijayo ni wazi, tunahitaji katiba mpya, tunahitaji dual citizenship, tunahitaji serikali ndogo na ukuwaji wa sekta binafsi. Tunahitaji, haki sawa kwa wote bila kuangalia kabila, rangi na dini. Ila mama ndio anaona dini mbele na rangi. Yeye hana ukabila. Na sijui kwanini Waislam wanona waislam kwanza kabla kitu chochote. Sio kwa mzee ruksa wala kikwete ( Marais waislam).

Tunahitaji Rais visionary atakaye-transform nchi bila kutaka kumridhisha mtu, wala kikundi cha watu. Tunataka Rais kwaajili ya watz na sio CCM.
Amini usiamini Nachelea kusema hata wapinzani wanafurahia Utawala wa huyu Mama.

Yuko stable sana!!

Anachukua muda kupima jambo hakurupuki...

Anarudisha Nguvu ya UCHUMI kwa wakulima na Wafugaji sema shida iko kwa hilo kundi kwa Sababu ya ELIMU...lakini hawa wakishaona Faida au Biashara itakayowalipa huwezi tena kuwaambia kitu.

We fuatilia tu mikakati yake kwenye maeneo hayo..

Unataka maono gani tena zaidi ya Hayo?

Wakulima na Wafugaji wakishapata Masoko Makubwa na wakapata faida hakuna mtu atamgusa Huyu Mama kwenye medani za SIASA!

Na hilo ndilo eneo lililoachwa kwa muda mrefu sana...Mpeni Muda...
 
Ccm bado inanguvu ......labda itachukua miaka mingi.kuiangusha

Leo bara bara zinapitika nchi nzima

Shule za kutosha .......zote ni juhudi za chama makini

Kama kweli zipo sasa mbona wanazid kukusanya tozo wajenge hizo shule na barabara [emoji848]
 
hakuna namna tutaweza kufanya miaka 3 hii kuelekea 2025.

tunachoweza kusema tumeteleza na kuanguka, tuamke sasa turudi nyuma tuangalie ni wapi tulipo jikwaa tukateleza na kuanguka kisha tukiondoe kilichotukwaa.

hizi danadana tumechezeshwa tokea 2005 na pengine nyuma yake pia tukiwa tunangojea miaka 5 ipite atoke huyu mbaya aje yule mzuri, mwishowe wanaokuja ni aheri walio tangulia .

kilicho tukwaa na kianguka ni ccm kupitia katiba, tujaribu kuviangalia hivyo vinginevyo tutasubiri mpaka kiyama.
 
Mimi nilifurahi kuona such a smooth transition
, ukizingatia ni mwanamke kwa hilo watanzania tumekomaa.
Tatizo la huyu mama ni kwamba hajiamini. Amerudisha watu walioza. Tasisi ya Uraisi ikifanya maamuzi, haitakiwi kurudi nyuma au kumsafisha mtu; ndio maana kuna mahakama ya haki nk.
Mama is too Globalist. Sisi kwetu bado malema sana, na hawa ma-globalist ndio hatari zaidi kwa ustawi wa jamii changa duniani.

Mama sio visionary. Tukirudi kwenye point ya kwanza; haaminj kwenye maamuzi yake au upya. Yeye ndie Rais wa JMT. Ukiangalia mustakabli mnzima wa nchi na miaka ijayo ni wazi, tunahitaji katiba mpya, tunahitaji dual citizenship, tunahitaji serikali ndogo na ukuwaji wa sekta binafsi. Tunahitaji, haki sawa kwa wote bila kuangalia kabila, rangi na dini. Ila mama ndio anaona dini mbele na rangi. Yeye hana ukabila. Na sijui kwanini Waislam wanona waislam kwanza kabla kitu chochote. Sio kwa mzee ruksa wala kikwete ( Marais waislam).

Tunahitaji Rais visionary atakaye-transform nchi bila kutaka kumridhisha mtu, wala kikundi cha watu. Tunataka Rais kwaajili ya watz na sio CCM.
Visionary president well said.
Mama hajui hata tunaenda wapi
 
Mnamnyanyapaa kwa sababu ni mwanamke?

Naona mnamuandaa Mzenji kuja kuendeleza legacy.... ipo hivi, wanaomkwamisha ndiyo wanaoutaka urais
Sio kumnyanyapaa! Mama amewashindea Wahuni Wanaomribia is Nchi!
 
Mpinzani gani anaweza kuchukua Urais Nchi hii?
Acha kuota ndoto za mchana ndugu
...Njia Iko Wazi Kwa Mbowe! Najua Wewe na Watu Wengi Wengineo hamupendi hi y, lakini Dio Ukweli Wenyewe! Tukutane 2025....
 
Ccm bado inanguvu ......labda itachukua miaka mingi.kuiangusha

Leo bara bara zinapitika nchi nzima

Shule za kutosha .......zote ni juhudi za chama makini
Mkuu, KANU iliondoka Kila kitu kikiwepo! Na CCM nayo itaondoka TU. Tujiandae Kisakolojia....
 
Sio kumnyanyapaa! Mama amewashindea Wahuni Wanaomribia is Nchi!
Kuna mhuni zaidi ya yule anayemshauri kwa kumshinikiza?

Pia seems veins and capillaries za mfumo zimecompromise kwenye kumsaidia rais.

Naongea kwa kufahamu wazi kabisa kuwa uimara wa rais umebase kwenye vyombo tulivyompatia kikatiba kumsaidia.

Siwezi kumlaumu mama Samia kwa sababu yeye ni taasisi, anaeletewa info na briefings anazopaswa kuzifanyia kazi na maamuzi. Analetewa majina na CV zao awateue kumbe anateua mchwa wanaomtafuna.

Dawa ya kumsaidia Rais ipo TISS na kama wakiamua aanguke ni wao na siyo CCM wala wasaidizi wake.
 
Ukivuka vigingingi hivi viwili maishani basi wewe ni mtu Bora na anayejuamini:
1. DINI.
2. Mila na desturi
Hapo kwenye mila na desturi ungeweka neno Ukabila ingependeza sana.

Mila na desturi ni jambo constant halibadiliki popote utapokwenda hata katika jamii modern na civilized lazima ukute wana mila na desturi za kisasa zinazowasaidia kuwa modernist na civilized people.
 
Ccm bado inanguvu ......labda itachukua miaka mingi.kuiangusha

Leo bara bara zinapitika nchi nzima

Shule za kutosha .......zote ni juhudi za chama makini
Hizo barabara zingetengenezwa hata bila CCM kuwapo madarakani.

Hivi swala la barabara, hospital au huduma za afya, mawasiliano, na Nishati ni vitu vya kutumia kama sera za kisiasa miaka hii??

Yaani unachokiongelea ni sawa na baba ambaye tokea ukiwa mtoto alikuwa anakwambia "mwanangu mzuri ntakununulia baiskeli sawa baba?" Halafu umekuwa mkubwa mtu mzima aendelee na maneno yake yale ile hali wewe sasa ni mtu mzima na unamiliki gari.

Sasa raia wa Tanzania wa sasa sio mtu wa kumwambia nitakujengea barabara nitakujengea shule sijui hospital, hizo vitu hata raia tukitaka tunaweza jenga kwa ushirikiano wa serikali ya mtaa na ngazi ya kata bila shida yoyote.

Kwa sasa ukizungumzia miundo mbinu tunataka kusikia kiongozi anaezungumzia ujenzi wa fly overs na sio kama story bali kiutekelezaji kama vile magufuri alivyojaribu pale ubungo jambo dogo sana lile ila limeacha alama kubwa sana ambao hawa wala asali waliobakia hakuna wa kufanya jambo kama lile hata wapewe miaka 100.

Tunataka tusikie project kama mkondo wa taifa yaani fibers, kuachana na umeme wa Maji tuhamie umeme Nuclear. Nilitazama taifa kama Ukraine wana project za plant ndogo tu za Nuclear ambazo moja tu inatengeneza umeme wa Megawatts 5800 sawa na project tatu za Nyerere Hydro power station.

We hadi leo watu wanashindwa kuvuta maji kutoka ziwa Victoria kuleta Dodoma hapo na kufanya hilo jiji liwe New York ya East Africa.

Kazi kukimbia kimbia na maVX mara mkoa huu mara mkoa ule kwenda kufungua Visima, zahanati, shule ambazo mwisho wa siku ni geresha tu hakuna cha huduma wala nini.

Vijana tunakaa tu kusikilizia ngoja baada ya huyu atakuja nani. Ila hamshituki kuwa kila awamu inapoisha ni miaka 10 imepotea hiyo na hakuna maendeleo ni visingizio na maelezo ya kisanii tu wao na familia zao wanajijenga sisi tunalalamika na kubishana.

Hebu tuwe na sauti moja. Tuachane na maneno, hiyo katiba mpya hebu ipatikane kabla ya 2025 leo ni 2022 zimebakia siku chache sana huu mchakato ufanyike na uzae matunda serious.

Ifike wakati tujue tofauti ya Siasa za kuendesha nchi na raia kupitia serikali yao wanayoiamini na Siasa za mizaha kwenye maisha ya watu .
 
Mimi nilifurahi kuona such a smooth transition
, ukizingatia ni mwanamke kwa hilo watanzania tumekomaa.
Tatizo la huyu mama ni kwamba hajiamini. Amerudisha watu walioza. Tasisi ya Uraisi ikifanya maamuzi, haitakiwi kurudi nyuma au kumsafisha mtu; ndio maana kuna mahakama ya haki nk.
Mama is too Globalist. Sisi kwetu bado malema sana, na hawa ma-globalist ndio hatari zaidi kwa ustawi wa jamii changa duniani.

Mama sio visionary. Tukirudi kwenye point ya kwanza; haaminj kwenye maamuzi yake au upya. Yeye ndie Rais wa JMT. Ukiangalia mustakabli mnzima wa nchi na miaka ijayo ni wazi, tunahitaji katiba mpya, tunahitaji dual citizenship, tunahitaji serikali ndogo na ukuwaji wa sekta binafsi. Tunahitaji, haki sawa kwa wote bila kuangalia kabila, rangi na dini. Ila mama ndio anaona dini mbele na rangi. Yeye hana ukabila. Na sijui kwanini Waislam wanona waislam kwanza kabla kitu chochote. Sio kwa mzee ruksa wala kikwete ( Marais waislam).

Tunahitaji Rais visionary atakaye-transform nchi bila kutaka kumridhisha mtu, wala kikundi cha watu. Tunataka Rais kwaajili ya watz na sio CCM.
Fuka kweli ww
 
Back
Top Bottom