Mama Samia, piga chini wale wote walioshiriki kuhujumu uchumi, uwekezaji na biashara!

Mama Samia, piga chini wale wote walioshiriki kuhujumu uchumi, uwekezaji na biashara!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Msimamo wa Rais Samia Suluhu sasa unaanza kueleweka vizuri.

Yale tuliykuwa tukilalamika mitandaoni kutwa kuchwa ameanza kuyashghulikia bila kupepesa macho wala kupoteza muda.
Tlilia kuwa kuna juhudi za makhsusu za kwafilisi wazalendo walipa kodi, laki wengine walikejeli na hata Waziri Mwigulu Nchemba alidhihaki kwa kusema wafanya biashara ni wezi wakwepa kodi wakubwa.

Sasa ni dhahiri , walipa kodi wegi walifunga biashara na wale weye mitaji mikubwa waliihamishia nchi za nje.

Mama Samia amanza vizuri kwanza kwa kuwapiga chini vinara wa kuziba midomo ya malalamiko ya wananchi. Eng Kilaba na Dr Abbas, na yule wa TRA inabidi waone aibu kwa jinsi AKILI inavyoweza kutumika kwa maufaa badala ya MAGUVU. Hata kumwondoa Profesa Kabudi inabidi kupongezwe maana alikuwa na msimamo hasi juu ya uwekezaji toka nje. Lugha ya "mabeberu" sasa itapumzika

Sasa kinachotia shaka ni wale walioshabikia kuua biashara wengine ndio hao hao utawakuta kweye madeski yale yale.
Mfano ni Mwigulu na wengine kama yeye.

Siyo siri, hatuna imani naye.

Serikali isafishwe.
 
Huweze kufanya kazi na watu wale wale , wenye mentality ile ile, na tuka expect positive results.
Mfano, kuna watu wa TRA mpaka sasa wanawazungukia wafanya biashara kudai chao cha juu!
Hata leo wapo.
Kweli kabisa mkuu. Hivi tukiwa na majina ya wanaoharass wafanyabiashara na ushahidi tunafanyaje!!??( PCCB hawana msaada).
 
Na wale waliohujumu uchaguzi wa 28/10 na serikali za mitaa. Ila alisema: "Hata msipochagua CCM itaunda serikali tu".
 
Nchi haiwezi kwenda kwa visasi, wengi walicheza nhoma ya mkulu, ingawa kunaa viburi boa nakubali, kama yule alioko karibu na mlima kilimanjaro
 
Nchi haiwezi kwenda kwa visasi, wengi walicheza nhoma ya mkulu, ingawa kunaa viburi boa nakubali, kama yule alioko karibu na mlima kilimanjaro
1617715160022.png


Ni huyu ?????
 
Kama walikuwa wanatekeleza amri za Rais kosa Lao liko wapi?
Walikuwa wanatekeleza sheria za kodi, hakuna sheria ya kodi iliyokiukwa. Ndio maana Mama anataka tutoke kwenye sheria turudi kwenye busara za mtu mmoja mmoja. Tusubiri kuibeba gharama ya ili.
 
Ulimuelewa aliposema kuna wafanyabiashara walikuwa wamepewa certificates za kodi miaka mitano iloyopita halafu wanakuja kufunguliwa tena madai ya malimbikizo ya kodi?
Walikuwa wanatekeleza sheria za kodi, hakuna sheria ya kodi iliyokiukwa. Ndio maana Mama anataka tutoke kwenye sheria turudi kwenye busara za mtu mmoja mmoja. Tusubiri kuibeba gharama ya ili.
 
Back
Top Bottom