Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
-
- #21
TRA ni matapeli!Ulimuelewa aliposema kuna wafanyabiashara walikuwa wamepewa certificates za kodi miaka mitano iloyopita halafu wanakuja kufunguliwa tena madai ya malimbikizo ya kodi?
Watu walioshabikia matatzo ya wafanyabiashara na kuwaita wezi, hawawezi tena kuwa watetezi wa biashara huru, au free market.Ni vizuri wengi wao wakabadilishwa ili kuleta tumaini jipya.
Mwigulu is a text book hypocrite.Mwigullu anabadirika kama kinyonga wala usimhofie.
Na wala hakuwai kuwa na furaha na ule ufalme uliopita hivyo hana intention yoyote ya kudumisha fikra za jiwe.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ubabaishaji, Magu aliingia kichwa kichwa,laiti angempa msaidizi wake majukumu hayo labda sifa za wizara ya pesa ingekuwa na hati safi . Lakini hadi mawaziri, katibu mkuu,TRA wameondoshwa at the same time kuna walakini,ni aibu.Ulimuelewa aliposema kuna wafanyabiashara walikuwa wamepewa certificates za kodi miaka mitano iloyopita halafu wanakuja kufunguliwa tena madai ya malimbikizo ya kodi?
Msimamo wa Rais Samia Suluhu sasa unaanza kueleweka vizuri.
Yale tuliykuwa tukilalamika mitandaoni kutwa kuchwa ameanza kuyashghulikia bila kupepesa macho wala kupoteza muda.
Tlilia kuwa kuna juhudi za makhsusu za kwafilisi wazalendo walipa kodi, laki wengine walikejeli na hata Waziri Mwigulu Nchemba alidhihaki kwa kusema wafanya biashara ni wezi wakwepa kodi wakubwa.
Sasa ni dhahiri , walipa kodi wegi walifunga biashara na wale weye mitaji mikubwa waliihamishia nchi za nje.
Mama Samia amanza vizuri kwanza kwa kuwapiga chini vinara wa kuziba midomo ya malalamiko ya wananchi.
Eng Kilaba na Dr Abbas, na yule wa TRA inabidi waone aibu kwa jinsi AKILI inavyoweza kutumika kwa maufaa badala ya MAGUVU.
Hata kumwondoa Profesa Kabudi inabidi kupongezwe maana alikuwa na msimamo hasi juu ya uwekezaji toka nje.
Lugha ya "mabeberu" sasa itapumzika
Sasa kinachotia shaka ni wale walioshabikia kuua biashara wengine ndio hao hao utawakuta kweye madeski yale yale.
Mfano ni Mwigulu na wengine kama yeye.
Siyo siri, hatuna imani naye.
Serikali isafishwe.
Unasahau kuwa tulikua katika stage ya quasi-dictatorship.You aren’t being realistic here! Hivi Wabongo wa tangu enzi za Mwalimu umeshawasahau kabisa? Kama kuna ukweli wowote juu ya any wrongdoing, huyu Rais anawezaje kupona wakati alikuwa second in command?
Ukishindwa kujitenga na any wrongdoing, you’re complicit. Trying to blacklist certain underlings who served alongside you is hypocrisy!