Mama samia Rais wetu mpendwa jaribu kuangali bei za vitu Arusha

Mama samia Rais wetu mpendwa jaribu kuangali bei za vitu Arusha

FIKRA MAKINI

New Member
Joined
Jul 3, 2021
Posts
3
Reaction score
3
Kwa sasa anaye jua hizi bei na uhaba wa baadhi ya bidhaa atuambie tunaelekea wapi gesi Arusha ni pasua kichwa mtungi mdogo 25000, cement haipo na ukipata ni 18000, chumvi imepanda, mafuta ya kula lita 5 ni 30k, petrol na dieasel uko hatusemi, nondo nazo zimepanda bati ndio kasheshe kabisa, jamani serikali mnaelekea wapi na hizi bei
 
Back
Top Bottom