Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hey peeps, let’s have some little fun....shall we?
Si vibaya kuuliza kama Mama Samia anajua Kiingereza [emoji1787].
Kwa ‘kujua’ namaanisha ana uwezo wa kuongea Kiingereza kizuri, kinachoeleweka, na kilichonyooka.
Mama Samia nishawahi kumsikia akitumia maneno mawili matatu kwa kuyachomekea katikati ya Kiswahili.
Haikuwa fursa nzuri ya kupima uwezo wake.
Mwenye kujua, mwenye video zake akitema yai, n.k., hebu tuwekeeni hapa tuone.
Na Kasimu Majaliwa naye je?
Si vibaya kuuliza kama Mama Samia anajua Kiingereza [emoji1787].
Kwa ‘kujua’ namaanisha ana uwezo wa kuongea Kiingereza kizuri, kinachoeleweka, na kilichonyooka.
Mama Samia nishawahi kumsikia akitumia maneno mawili matatu kwa kuyachomekea katikati ya Kiswahili.
Haikuwa fursa nzuri ya kupima uwezo wake.
Mwenye kujua, mwenye video zake akitema yai, n.k., hebu tuwekeeni hapa tuone.
Na Kasimu Majaliwa naye je?