Mama Samia Suluhu anajua kuongea Kiingereza?

Mama Samia Suluhu anajua kuongea Kiingereza?

Kwenye moja Kati ya nyuzi humu uliandika kuhusu utaratibu wa uteuzi kishapo ukagusia Elimu yako kuwa ni kidato cha nne...

Kwa kipindi kile kama nilishawishika kukubali labda ila kwa hili la leo, nadhani hata hicho kidato cha nne ulidanganya au ulipata Zero ambayo ni sawa na darasa la saba...

USHAURI
Ifike pahala Nyani awe ana changia nyuzi zilizokuwa constructed na watu tena zile za umbea na vichekesho pekee.

Lakini hili la kuendelea kujidhalilisha na kuandika vitu ambavyo vinakuchojoa nguo kila siku tunaomba mapumziko tafadhali.
 
Nimecheka kwa nguvu ulichoongea hapa we kilaza, Warusi, wachina na wakorea wanapata elimu zao kwa kiingereza? Huyo anayejifanya anakienzi kiswahili ni kwakuwa hawezi kingereza cha kunyooka, na ukimsikiliza akiongea anachanganya kiswahili na maneno ya kiingereza mpaka inakuwa kinyaa.

Fuatilia viongozi wanaojifanya wazalendo, watoto wao wote wanasoma shule za kiingereza, na huwa wanacheka meno yote nje hao watoto wao wakiongea kiingereza, na sio wakiongea kiswahili fasaha.
Wewe hatakuandika paragraph moja tu ni shida lakini unaongelea mtu ambaye ana PHD!
 
Warusi, wachina, wakorea je? Ukiwa na akili za kitumwa kama zako huwezi kujikomboa. Kama wewe utaendelea kutoa mapovu humu JF kujikomboa kutoka akili za kitumwa itakuwa ni ndoto za Alinacha!!

Nimecheka kwa nguvu ulichoongea hapa we kilaza, Warusi, wachina na wakorea wanapata elimu zao kwa kiingereza? Huyo anayejifanya anakienzi kiswahili ni kwakuwa hawezi kingereza cha kunyooka, na ukimsikiliza akiongea anachanganya kiswahili na maneno ya kiingereza mpaka inakuwa kinyaa.

Fuatilia viongozi wanaojifanya wazalendo, watoto wao wote wanasoma shule za kiingereza, na huwa wanacheka meno yote nje hao watoto wao wakiongea kiingereza,y na sio wakiongea kiswahili fasaha.
 

"Usinione mpole, nina ujasiri" - Samia Suluhu Hassan



Mfahamu kwa kina pia kazi na maisha ya makamu wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

interview kama hii ni nadra kwa viongozi wa juu wa Tanzania tukimtoa Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
 
Wewe hatakuandika paragraph moja tu ni shida lakini unaongelea mtu ambaye ana PHD! Are you serious you ass??

PhD ya kuhonga, ningeitaka hiyo baada ya degree yangu ya sanaa, ningekuwa nazo hata mia. Viongozi wote waliongia kupata elimu hapa nchini wakiwa na madaraka fulani, wametumia madaraka yao na udhaifu wa mfumo kupata shahada zao, na sio uwezo wao kweli toka kwenye bongo zao. Huu ni ukweli unaokera we bwabwa.
 
Back
Top Bottom