Mama Samia Suluhu anajua kuongea Kiingereza?

Mama Samia Suluhu anajua kuongea Kiingereza?

Kimekusaidia kuandika “bull shiit” [emoji1787][emoji1787]
Kweli wewe ni nyani ngabu, huna tofauti na wale watumwa wa Kenya ambao kwao kujua kuongea kiingereza chenye lafudhi mbovu na kumiliki smart phone basi unakuwa umeyapatia maisha haswaaa....
 
Warusi, wachina, wakorea je? Ukiwa na akili za kitumwa kama zako huwezi kujikomboa. Kama wewe utaendelea kutoa mapovu humu JF kujikomboa kutoka akili za kitumwa itakuwa ni ndoto za Alinacha!
Wasiojua lugha ya malkia utawajua kwa povu la kupinga kiingereza kumbe hata Kiswahili hajui. Pole ndugu.
 
Kweli wewe ni nyani ngabu, huna tofauti na wale watumwa wa Kenya ambao kwao kujua kuongea kiingereza chenye lafudhi mbovu na kumiliki smart phone basi unakuwa umeyapatia maisha haswaaa....
Kiingereza hakikwepeki! We mwenyewe umeshindwa kuandika Kiswahili cha ‘smart phone’.
 
Ilishakubaliwa kuwa official communicating language Tanzania locally ni Kiswahili. Na mkutano yote ni Kiswahili. Nje ya nchi ndiyo tena Yai ila si mtu unaandikiwa unasoma? Na juhudi zikaanzishwa eti tusomeshwe sasa kwa Kiswahili kuanzia msingi mpaka Chuo. Hivi hii mambo iliishia wapi? Kazi ipo bado Tanzania.
 
Hey peeps, let’s have some little fun....shall we?

Si vibaya kuuliza kama Mama Samia anajua Kiingereza [emoji1787].

Kwa ‘kujua’ namaanisha ana uwezo wa kuongea Kiingereza kizuri, kinachoeleweka, na kilichonyooka.

Mama Samia nishawahi kumsikia akitumia maneno mawili matatu kwa kuyachomekea katikati ya Kiswahili.

Haikuwa fursa nzuri ya kupima uwezo wake.

Mwenye kujua, mwenye video zake akitema yai, n.k., hebu tuwekeeni hapa tuone.

Na Kasimu Majaliwa naye je?
Aisee achana na Huyu mama.Ongea mambo mengine,mimi sio cicemi kabisa,ila huyu mama tunamkubali hana makuu kabisa.
 
Kiingereza hakikwepeki! We mwenyewe umeshindwa kuandika Kiswahili cha ‘smart phone’.
Hakikwepeki kivipi, ni watanzania wangapi hawajui kichina ambacho ukifuatilia biashara inayofanyika kati ya china na afrika na hata uwekezaji wa china afrika na hata ulaya na marekani ni wa kutisha, maana yake china ndo ina emerge kama world superpower, na data za hivi karibuni zinaonyesha uchumi wake ulikua kwa 3.5% wakati mataifa mengine makubwa yalipata negative growth kutokana na janga la korona. Kwa hiyo utaona kama kuna umuhimu wa kujua lugha za kigeni, basi watu wengi wangejifunza kichina..
 
Warusi, wachina, wakorea je? Ukiwa na akili za kitumwa kama zako huwezi kujikomboa. Kama wewe utaendelea kutoa mapovu humu JF kujikomboa kutoka akili za kitumwa itakuwa ni ndoto za Alinacha!!
Warusi, wachina, wakorea pamoja na kutumia lugha zao hawajawahi dharau Kiingereza wanakigonga vizuri sana lakini pia hawatembezi bakuli kuomba kujengewa vyoo wala kuomba pesa za tohara.
Sasa ukitaka kujua kama kiingereza lugha ya dunia au la muulize Mzee wetu anapo omba mikopo bank ya dunia huwa anaandika kwa lugha gani?
 
Hakikwepeki kivipi, ni watanzania wangapi hawajui kichina ambacho ukifuatilia biashara inayofanyika kati ya china na afrika na hata uwekezaji wa china afrika na hata ulaya na marekani ni wa kutisha, maana yake china ndo ina emerge kama world superpower, na data za hivi karibuni zinaonyesha uchumi wake ulikua kwa 3.5% wakati mataifa mengine makubwa yalipata negative growth kutokana na janga la korona. Kwa hiyo utaona kama kuna umuhimu wa kujua lugha za kigeni, basi watu wengi wangejifunza kichina..
Umeshupaa kubisha wakati hata kuandika Kiswahili kitupu bila kuchanganya na Kiingereza umeshindwa!!!

FOH.
 
Kuna haja gani ya kutumia idiom?. ungeweza tu kuandika "don't become angry", bado ningekuelewa vizuri tu.
Google inatutoa wengi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣just saying
 
Hey peeps, let’s have some little fun....shall we?

Si vibaya kuuliza kama Mama Samia anajua Kiingereza [emoji1787].

Kwa ‘kujua’ namaanisha ana uwezo wa kuongea Kiingereza kizuri, kinachoeleweka, na kilichonyooka.

Mama Samia nishawahi kumsikia akitumia maneno mawili matatu kwa kuyachomekea katikati ya Kiswahili.

Haikuwa fursa nzuri ya kupima uwezo wake.

Mwenye kujua, mwenye video zake akitema yai, n.k., hebu tuwekeeni hapa tuone.

Na Kasimu Majaliwa naye je?
Naongezea na jiwe je?
 
Nina uhaika mwenyezi Mungu ameamua kutupunguzia majonzi yetu

Ni kipindi sasa cha kujipanga upya kama taifa.

Kuhusu Samia wengi tuna wasiwasi na uwezo wake!! Wacha tuone
"Uhakika" kiasi gani mkuu, asilimia 5, 10, 50 au 90 hivi?

Nataka wewe na mimi tusieleweke vibaya, kuna aina nyingi tu za "mwenyezi Mungu kutupunguzia majonzi yetu"; na si lazima kama wengine watakavyofikiria.
 
Mwinyi baba ana kingereza kidogo Sana Kama Cha la Saba ya English medium sio Cha hadhi ya rais Kama Cha mkapa kuhusu mama Samia wazanzibari wengi wanajua kingereza vizuri. Kuhusu huyohuyo mwinyi baba tafuta you tube video yake akiwa uingereza akizungumzia ubalozini juu ya tatizo la chakula Tanzania hiyo ilukuwa 1994 nadhani.
Anapiga ngeli nzuri sana.
binafsi sikuwahi kumsikiaga mzee Mwinyi akiongea kingereza siku niliyosikia kingereza chake kimenyooka hatari. Mama Samia nimemsikia akiongea, kimenyooka ila cha kipole pole vilele kama anavyoongea kiswahili...
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom