Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwanini umeuliza hao hujauliza "mwenye nyumba"[emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ufasaha?Mmoja anajua kwa ufasaha zaidi ya mwingine.
Akah, akah,akah!😀Kiingereza ni kiswahili cha dunia, ukiwa na madaraka halafu umepata elimu yako kwa lugha hiyo, ni aibu na fedheha kutokuijua fullstop.
Chakustaajabisha lakini;Warusi, wachina, wakorea je? Ukiwa na akili za kitumwa kama zako huwezi kujikomboa. Kama wewe utaendelea kutoa mapovu humu JF kujikomboa kutoka akili za kitumwa itakuwa ni ndoto za Alinacha!!
Kama kweli hutaki utumwa acha kabisa kutumia vitu vyao, acha kutumia smart phone, internet, computer zao, chanjo zao etc. Panda punda au fisi ukienda job au kula bata... Ndege zao usipande, panda ungo...Warusi, wachina, wakorea je? Ukiwa na akili za kitumwa kama zako huwezi kujikomboa. Kama wewe utaendelea kutoa mapovu humu JF kujikomboa kutoka akili za kitumwa itakuwa ni ndoto za Alinacha!!
Ni Rais gani kati ya hizo nchi hajui kidhungu?,kiduku mwenyewe kasomea Australia.Warusi, wachina, wakorea je? Ukiwa na akili za kitumwa kama zako huwezi kujikomboa. Kama wewe utaendelea kutoa mapovu humu JF kujikomboa kutoka akili za kitumwa itakuwa ni ndoto za Alinacha!!
Dah mkuu,hivi umepataje u platinum member.Kujua Kiingereza ndio nini?
Dah mkuu,hivi umepataje u platinum member.
Kujua kiingereza ni kigezo cha kuwa we we ulienda shule na ukasoma.
Kwa hiyo wanafata kiingereza huko[emoji16][emoji16][emoji16].Nimecheka kwa nguvu ulichoongea hapa we kilaza, Warusi, wachina na wakorea wanapata elimu zao kwa kiingereza? Huyo anayejifanya anakienzi kiswahili ni kwakuwa hawezi kingereza cha kunyooka, na ukimsikiliza akiongea anachanganya kiswahili na maneno ya kiingereza mpaka inakuwa kinyaa.
Fuatilia viongozi wanaojifanya wazalendo, watoto wao wote wanasoma shule za kiingereza, na huwa wanacheka meno yote nje hao watoto wao wakiongea kiingereza, na sio wakiongea kiswahili fasaha.
Umefanya nini huko kwenye sanaa!!!au ndio uko kwenye chuo cha sanaaa hapo UFIPA??PhD ya kuhonga, ningeitaka hiyo baada ya degree yangu ya sanaa, ningekuwa nazo hata mia. Viongozi wote waliongia kupata elimu hapa nchini wakiwa na madaraka fulani, wametumia madaraka yao na udhaifu wa mfumo kupata shahada zao, na sio uwezo wao kweli toka kwenye bongo zao. Huu ni ukweli unaokera we bwabwa.
Umefanya nini huko kwenye sanaa!!!au ndio uko kwenye chuo cha sanaaa hapo UFIPA??
mhhhh haaya bana.Nimejiongeza nafanya shughuli za ujasiriamali. Kimsingi mimi ni tajiri uchwara.
ni mbwembwe na ulimbukeni za baadhi ya waswahili, wenye asili ya lugha ya kingereza huwezi kuwaona wakijisumbua kutumia idioms kwenye conversation zao.Idioms ni tamu mkuu, zinaongeza ladha kwenye lugha. Take a chill pill....hahaha!
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee!Huyu mimi nilimuona akiwa Afisa elimu kule Singida; sijui kama ngeli inapanda sijawahi kumshuhudia! Mataga hawathamini intenational relations, they belive in living in AUTARKY hence kutema YAI sio muhimu!
Kuongea anaweza. Tatizo ni nini atakacho ongea.Hivi Rais Samia anaweza kweli kufanya mahojiano na vipindi kama BBC HardTalk?