KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Meaningless.Don’t get bent out of shape.
How can something/someone be bent out of shape; it/he will simply take a different shape.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Meaningless.Don’t get bent out of shape.
Simu janjaKiingereza hakikwepeki! We mwenyewe umeshindwa kuandika Kiswahili cha ‘smart phone’.
Wapo wanaoweza kusoma ila kasheshe inakuja kwenye kuongea....Kama hujui kuongea kiingereza hata ukaiandikiwa huwezi kusoma vizuri.
Kwa bahati mbaya sana, huo ndio ukweli wenyewe; na aibu kubwa kwa vyuo vyetu.PhD ya kuhonga, ningeitaka hiyo baada ya degree yangu ya sanaa, ningekuwa nazo hata mia. Viongozi wote waliongia kupata elimu hapa nchini wakiwa na madaraka fulani, wametumia madaraka yao na udhaifu wa mfumo kupata shahada zao, na sio uwezo wao kweli toka kwenye bongo zao. Huu ni ukweli unaokera we bwabwa.
basi mwenyewe "unajifanya" bingwa wa kingereza.Kuna ubaya gani mimi kuandika hivyo nilivyoandika?
Mbona ni msemo wa kawaida sana huo...
Au umekutoa jasho hadi umeenda ku Google?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani hiyo ni tiketi ya kumuona Mungu? Acheni fikra mbaya!Yani mtu unaondoka duniani bila kujua kiingereza? Wasted life kabisa.
We ni boya sana!Wapo wanaoweza kusoma ila kasheshe inakuja kwenye kuongea....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna ubaya gani mimi kuandika hivyo nilivyoandika?
Mbona ni msemo wa kawaida sana huo...
Au umekutoa jasho hadi umeenda ku Google?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huwa n wakali sanaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wasiojua lugha ya malkia utawajua kwa povu la kupinga kiingereza kumbe hata Kiswahili hajui. Pole ndugu.
We unahisi usuperpower ni uchumi tu wa makaratasi jidanganye. Mchina miaka buku hawezi kuwa super power hana ushawishi wowote hasa mambo ya kijamii kama culture. Nani anashobokea kichina? Nani anavaa nguo za kichina? Wao wenyewe bidhaa wanazotegemea ni kuchakachua za west.Hakikwepeki kivipi, ni watanzania wangapi hawajui kichina ambacho ukifuatilia biashara inayofanyika kati ya china na afrika na hata uwekezaji wa china afrika na hata ulaya na marekani ni wa kutisha, maana yake china ndo ina emerge kama world superpower, na data za hivi karibuni zinaonyesha uchumi wake ulikua kwa 3.5% wakati mataifa mengine makubwa yalipata negative growth kutokana na janga la korona. Kwa hiyo utaona kama kuna umuhimu wa kujua lugha za kigeni, basi watu wengi wangejifunza kichina..
Kwa mama samia,namfahamu tokea akiwa waziri kuke zanzibar,anafahamu vizuri sio kama yule jamaa wa font fed,huyu majaaliwa sijui maana ni mwalimu kadoma chuo kikuu cha udsm na ni kocha wa mpiraHey peeps, let’s have some little fun....shall we?
Si vibaya kuuliza kama Mama Samia anajua Kiingereza [emoji1787].
Kwa ‘kujua’ namaanisha ana uwezo wa kuongea Kiingereza kizuri, kinachoeleweka, na kilichonyooka.
Mama Samia nishawahi kumsikia akitumia maneno mawili matatu kwa kuyachomekea katikati ya Kiswahili.
Haikuwa fursa nzuri ya kupima uwezo wake.
Mwenye kujua, mwenye video zake akitema yai, n.k., hebu tuwekeeni hapa tuone.
Na Kasimu Majaliwa naye je?
Uwiiii nimechekaaaaa best ww ukapimwe🤣🤣🤣🤣Huu uzi bila kavideo hautanoga ati!😄😄😄
View attachment 1726688
Hakuwa Afisa Elimu,bali katibu wa CWT Mkoa kabla hajala shavu ya ukuu wa wilayaHuyu mimi nilimuona akiwa Afisa elimu kule Singida; sijui kama ngeli inapanda sijawahi kumshuhudia! Mataga hawathamini intenational relations, they belive in living in AUTARKY hence kutema YAI sio muhimu!
Idioms ni tamu mkuu, zinaongeza ladha kwenye lugha. Take a chill pill....hahaha!Kuna haja gani ya kutumia idiom?. ungeweza tu kuandika "don't become angry", bado ningekuelewa vizuri tu.
Wacha Mungu aitwe MunguNina uhaika mwenyezi Mungu ameamua kutupunguzia majonzi yetu
Ni kipindi sasa cha kujipanga upya kama taifa.
Kuhusu Samia wengi tuna wasiwasi na uwezo wake!! Wacha tuone
Aisee nawewe bana, Mtu kuuliza swali la kawaida ni kutuchanganya.Nyani Ngabu wewe endelea kubeba mabox uko stastes, usituchanganye sisi tuna mambo yetu uku Bongo.
Kuna kibarua kingine unataka kumpatia ?Hey peeps, let’s have some little fun....shall we?
Si vibaya kuuliza kama Mama Samia anajua Kiingereza [emoji1787].
Kwa ‘kujua’ namaanisha ana uwezo wa kuongea Kiingereza kizuri, kinachoeleweka, na kilichonyooka.
Mama Samia nishawahi kumsikia akitumia maneno mawili matatu kwa kuyachomekea katikati ya Kiswahili.
Haikuwa fursa nzuri ya kupima uwezo wake.
Mwenye kujua, mwenye video zake akitema yai, n.k., hebu tuwekeeni hapa tuone.
Na Kasimu Majaliwa naye je?