GeniSys101
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,229
- 1,465
Hapa nilipo naongea kilugha na wa nyumbani and yes niko DarMtawadanya wajinga, eti dar uongee kilugha..subutu si unaonekana tahira huku wenzako kukukejeli na kukuita mkabila..
Nyie lugha za kikabila labda muendelea kuzitumia katika mambo ya kishirikina tu, sana sana waganga