[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukitaka kujua kuwa ww si wa muhimu ktk chama na serikali ni kipindi hiki ambacho hata ww hujui Rais yuko wapi na ni mwanaccm kindakindaki au hata kiongozi mkubwa tuu kwenye serikali.
Hawa watu ni wajinga hakuna mfano. Ngoja tupenyezewe kapicha ka full na oxygen kisha waseme ni photoshop.Mambo mengine ni ya kitoto sana. Yaani salamu mpaka amtume Samia? Anatusalimia kutokea wapi akiwa katika hali gani?
Kuna siku utakuja kujilaumu kwanini uliwaita BAVICHA bure. Maana huta yasmini yanayo kwenda kuonekana hivi karibuni. Jipe moyo.Mibavicha itakwambia yuko wapi!
Hii mijitu bure kabisa
Onesha hapa..TIN Kila mtu anayo na hasa mwenye leseni ya gari na bodabodaNikuonyeshe TIN yangu?
Utajua hujuiKwani alitakiwa awe wapi?
Muuluze chakubanga wenu anajuaUlimzoea kumuona tbccm?
Ndio wapo hapo?
Bwana Magu anawasalimia watanzania,Leo Mama Samia ameanza ziara mkoani Tanga na akiwa kwenye kiwanda kimojawapo alichozindua kinachoshughulika na matunda wilayani Korogwe, alipata nafasi ya kusalimu wananchi baada ya kuombwa na mkuu wa mkoa wa Tanga ambapo alianza na salam kutoka kwa Rais Magufuli
"Kabla ya kuwapongeza niwasalimie salam za Rais anawasalimia, anasema tuendelee tuchape kazi, kipindi hiki tushikane tujenge mshikamano, tujenge upendo, tuchape kazi tulete tija kwa Taifa letu"
Baada ya salam hizo Mama Samia amewapongeza kwa kuwa na kiwanda kwani ni mkombozi.
Pia soma > Mama Samia: Katika wakati muhimu Watanzania kushikamana ni wakati huu, Si wakati wa kusikiliza maneno yanayotoka nje yakatuparaganya vichwa
Mnaleta taharuki tuBwashee acha kukariri!
Mbinu za kisiasa hubadilika kulingana na wakati!Mnaleta taharuki tu
Wewe ndio uko mafichoni bwashee na hii id fake!Anatusalimu akiwa mafichoni bila shaka! π
Kama kobe wa Kipanya.πππAnatusalimu akiwa mafichoni bila shaka! π
Bwashee! Sisi watumishi wa umma pia tunatambulika kama Public Servants!! Huwa tunafanya kazi zetu katika mazingira ya uwazi!Mbinu za kisiasa hubadilika kulingana na wakati!