Ninaweza kuamini hivyo hata Maajaliwa huenda alikuwa hajui wapi yupo raisi. Huenda wakazungumza kwa simu na sauti inayofanana na muheshimiwa wakajua wanazungumza na mwenyewe kumbe watu wanafanya yao. Hizi intelijensia si za kuziamini.
mkuu pole na msiba huu kila mtu kaguswa hakuna aliekuwa anataka magu atoke kweny kiti kwa staili hii we didn't see that coming ukiwa na jazba it's better kukaa kimya kuliko matusi