Mama Samia ungefuata ushauri wangu wa tar29/03/2021" Mapema tu baada ya kuapishwa aibu hii isingekukuta

Mama Samia ungefuata ushauri wangu wa tar29/03/2021" Mapema tu baada ya kuapishwa aibu hii isingekukuta

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Mnamo tarehe 29/03/2021 niliikosoa hadharani hotuba ya kwanza kabisa ya Rais wa JMT Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani nilimweleza wazi kwamba sera zake za uchumi hazina tija kwa baadaye na nikamkumbusha ilani ya kurasa zaidi ya 200 zinazotaka kufanyiwa kazi na nikamsihi asitoboe matundu ya pesa lkn hatukusikilizwa Nampa ujumbe mwingine Leo tar 28/06/2024 kuwa chukua hatua kali kabla mambo hayajaharibika

mfukuze Mara moja Waziri wa fedha Ndg Mwigulu nchemba kwa sababu sera zake za uchumi zimefeli Sana

Mwigulu nchemba anaencourage government spending on luxurious goods kama ununuzi wa Mashangingi na magari ya kifahari ambapo bidhaa kama Gari ni composite goods unatumia fedha za kigeni kuiagiza lkn vipuri na mafuta ya kuihudumia hii Gari na vyenyewe vinatumia fedha za kigeni kwa hiyo fedha zetu za kigeni hazitumiki kwa mambo ya maana yaani zinatumika kuagiza luxurious goods zisizokuwa na tija kwenye maendeleo na hivyo basi tunajikuta tuna deficit kubwa ya Foreign currency na hii imepelekea kushuka kwa thamani ya shilingi yetu

Kushuka kwa thamani ya shilingi yetu kumepelekea kuwepo kwa mfumko mkubwa wa bei na kuua mitaji ya wafanyabiashara wengi Sana .

Kwenye serikali yako mheshimiwa Rais Kuna Rushwa ya kutisha Sana watu wanashindana kujenga na kununua Magari hili ni jambo zuri lkn lisifanyike kwa kukwapua hela za serikali yaani watu wanashindana kuiba ili wanunue vitu vya anasa ambavyo vyoote hatunavyo nchini lazima tuviagize kwa kutumia pesa yetu ya kigeni automatically fedha yetu Ina depreciate

Tukio hili la wafanyabiashara nchi nzima kugoma si jambo la kawaida ni warning sign unayopewa mapema kwamba mfumo unaoutumia haufanyi vizuri kazi badilisha mwelekeo hujachelewa mfukuze makamba yaani yeye anapokuwa kila sehemu anawaza kuanzisha deal za kupiga pesa hata wazo la kujenga majengo Nairobi ni upigaji tu anawaza fukuza watu woote wanaowaza kukupamba waibe ikiwezekana vunja baraza la mawaziri usicheke na Nyani utavuna mabua
 
Mnamo tarehe 29/03/2021 niliikosoa hadharani hotuba ya kwanza kabisa ya Rais wa JMT Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani nilimweleza wazi kwamba sera zake za uchumi hazina tija kwa baadaye na nikamkumbusha ilani ya kurasa zaidi ya 200 zinazotaka kufanyiwa kazi na nikamsihi asitoboe matundu ya pesa lkn hatukusikilizwa Nampa ujumbe mwingine Leo tar 28/06/2024 kuwa chukua hatua kali kabla mambo hayajaharibika

mfukuze Mara moja Waziri wa fedha Ndg Mwigulu nchemba kwa sababu sera zake za uchumi zimefeli Sana

Mwigulu nchemba anaencourage government spending on luxurious goods kama ununuzi wa Mashangingi na magari ya kifahari ambapo bidhaa kama Gari ni composite goods unatumia fedha za kigeni kuiagiza lkn vipuri na mafuta ya kuihudumia hii Gari na vyenyewe vinatumia fedha za kigeni kwa hiyo fedha zetu za kigeni hazitumiki kwa mambo ya maana yaani zinatumika kuagiza luxurious goods zisizokuwa na tija kwenye maendeleo na hivyo basi tunajikuta tuna deficit kubwa ya Foreign currency na hii imepelekea kushuka kwa thamani ya shilingi yetu

Kushuka kwa thamani ya shilingi yetu kumepelekea kuwepo kwa mfumko mkubwa wa bei na kuua mitaji ya wafanyabiashara wengi Sana .

Kwenye serikali yako mheshimiwa Rais Kuna Rushwa ya kutisha Sana watu wanashindana kujenga na kununua Magari hili ni jambo zuri lkn lisifanyike kwa kukwapua hela za serikali yaani watu wanashindana kuiba ili wanunue vitu vya anasa ambavyo vyoote hatunavyo nchini lazima tuviagize kwa kutumia pesa yetu ya kigeni automatically fedha yetu Ina depreciate

Tukio hili la wafanyabiashara nchi nzima kugoma si jambo la kawaida ni warning sign unayopewa mapema kwamba mfumo unaoutumia haufanyi vizuri kazi badilisha mwelekeo hujachelewa mfukuze makamba yaani yeye anapokuwa kila sehemu anawaza kuanzisha deal za kupiga pesa hata wazo la kujenga majengo Nairobi ni upigaji tu anawaza fukuza watu woote wanaowaza kukupamba waibe ikiwezekana vunja baraza la mawaziri usicheke na Nyani utavuna mabua
Hoja inanamashiko ifanyiwe kazi
 
Mnamo tarehe 29/03/2021 niliikosoa hadharani hotuba ya kwanza kabisa ya Rais wa JMT Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani nilimweleza wazi kwamba sera zake za uchumi hazina tija kwa baadaye na nikamkumbusha ilani ya kurasa zaidi ya 200 zinazotaka kufanyiwa kazi na nikamsihi asitoboe matundu ya pesa lkn hatukusikilizwa Nampa ujumbe mwingine Leo tar 28/06/2024 kuwa chukua hatua kali kabla mambo hayajaharibika

mfukuze Mara moja Waziri wa fedha Ndg Mwigulu nchemba kwa sababu sera zake za uchumi zimefeli Sana

Mwigulu nchemba anaencourage government spending on luxurious goods kama ununuzi wa Mashangingi na magari ya kifahari ambapo bidhaa kama Gari ni composite goods unatumia fedha za kigeni kuiagiza lkn vipuri na mafuta ya kuihudumia hii Gari na vyenyewe vinatumia fedha za kigeni kwa hiyo fedha zetu za kigeni hazitumiki kwa mambo ya maana yaani zinatumika kuagiza luxurious goods zisizokuwa na tija kwenye maendeleo na hivyo basi tunajikuta tuna deficit kubwa ya Foreign currency na hii imepelekea kushuka kwa thamani ya shilingi yetu

Kushuka kwa thamani ya shilingi yetu kumepelekea kuwepo kwa mfumko mkubwa wa bei na kuua mitaji ya wafanyabiashara wengi Sana .

Kwenye serikali yako mheshimiwa Rais Kuna Rushwa ya kutisha Sana watu wanashindana kujenga na kununua Magari hili ni jambo zuri lkn lisifanyike kwa kukwapua hela za serikali yaani watu wanashindana kuiba ili wanunue vitu vya anasa ambavyo vyoote hatunavyo nchini lazima tuviagize kwa kutumia pesa yetu ya kigeni automatically fedha yetu Ina depreciate

Tukio hili la wafanyabiashara nchi nzima kugoma si jambo la kawaida ni warning sign unayopewa mapema kwamba mfumo unaoutumia haufanyi vizuri kazi badilisha mwelekeo hujachelewa mfukuze makamba yaani yeye anapokuwa kila sehemu anawaza kuanzisha deal za kupiga pesa hata wazo la kujenga majengo Nairobi ni upigaji tu anawaza fukuza watu woote wanaowaza kukupamba waibe ikiwezekana vunja baraza la mawaziri usicheke na Nyani utavuna mabua
Matatizo yetu ni beyond Mwigulu au Makamba...tatizo ni CCM
 
No hurry in Tanganyika! Labda hilo atalifikiria baada ya uchaguzi wa 2025!
Ngoja sisi tuendelee kuvuta shuka ni usiku bado jua halijachomoza.
 
Mnamo tarehe 29/03/2021 niliikosoa hadharani hotuba ya kwanza kabisa ya Rais wa JMT Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani nilimweleza wazi kwamba sera zake za uchumi hazina tija kwa baadaye na nikamkumbusha ilani ya kurasa zaidi ya 200 zinazotaka kufanyiwa kazi na nikamsihi asitoboe matundu ya pesa lkn hatukusikilizwa Nampa ujumbe mwingine Leo tar 28/06/2024 kuwa chukua hatua kali kabla mambo hayajaharibika

mfukuze Mara moja Waziri wa fedha Ndg Mwigulu nchemba kwa sababu sera zake za uchumi zimefeli Sana

Mwigulu nchemba anaencourage government spending on luxurious goods kama ununuzi wa Mashangingi na magari ya kifahari ambapo bidhaa kama Gari ni composite goods unatumia fedha za kigeni kuiagiza lkn vipuri na mafuta ya kuihudumia hii Gari na vyenyewe vinatumia fedha za kigeni kwa hiyo fedha zetu za kigeni hazitumiki kwa mambo ya maana yaani zinatumika kuagiza luxurious goods zisizokuwa na tija kwenye maendeleo na hivyo basi tunajikuta tuna deficit kubwa ya Foreign currency na hii imepelekea kushuka kwa thamani ya shilingi yetu

Kushuka kwa thamani ya shilingi yetu kumepelekea kuwepo kwa mfumko mkubwa wa bei na kuua mitaji ya wafanyabiashara wengi Sana .

Kwenye serikali yako mheshimiwa Rais Kuna Rushwa ya kutisha Sana watu wanashindana kujenga na kununua Magari hili ni jambo zuri lkn lisifanyike kwa kukwapua hela za serikali yaani watu wanashindana kuiba ili wanunue vitu vya anasa ambavyo vyoote hatunavyo nchini lazima tuviagize kwa kutumia pesa yetu ya kigeni automatically fedha yetu Ina depreciate

Tukio hili la wafanyabiashara nchi nzima kugoma si jambo la kawaida ni warning sign unayopewa mapema kwamba mfumo unaoutumia haufanyi vizuri kazi badilisha mwelekeo hujachelewa mfukuze makamba yaani yeye anapokuwa kila sehemu anawaza kuanzisha deal za kupiga pesa hata wazo la kujenga majengo Nairobi ni upigaji tu anawaza fukuza watu woote wanaowaza kukupamba waibe ikiwezekana vunja baraza la mawaziri usicheke na Nyani utavuna mabua
Nakubaliana na wewe kwa mengi. Umekosea uliposema ''Mwingulu sera zake za uchumi zimefeli''. Mwingulu hana sera yoyote ya uchumi. Ni kanyaga twende, chuma unavyoweza, tutajuana mbele. BTW. Huyo ''mama'' ni sehemu ya hao mafisadi na amewaweka vilaza kama kina Mwingulu ili wamrahisishie upigaji wake.
 
Mnamo tarehe 29/03/2021 niliikosoa hadharani hotuba ya kwanza kabisa ya Rais wa JMT Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani nilimweleza wazi kwamba sera zake za uchumi hazina tija kwa baadaye na nikamkumbusha ilani ya kurasa zaidi ya 200 zinazotaka kufanyiwa kazi na nikamsihi asitoboe matundu ya pesa lkn hatukusikilizwa Nampa ujumbe mwingine Leo tar 28/06/2024 kuwa chukua hatua kali kabla mambo hayajaharibika

mfukuze Mara moja Waziri wa fedha Ndg Mwigulu nchemba kwa sababu sera zake za uchumi zimefeli Sana

Mwigulu nchemba anaencourage government spending on luxurious goods kama ununuzi wa Mashangingi na magari ya kifahari ambapo bidhaa kama Gari ni composite goods unatumia fedha za kigeni kuiagiza lkn vipuri na mafuta ya kuihudumia hii Gari na vyenyewe vinatumia fedha za kigeni kwa hiyo fedha zetu za kigeni hazitumiki kwa mambo ya maana yaani zinatumika kuagiza luxurious goods zisizokuwa na tija kwenye maendeleo na hivyo basi tunajikuta tuna deficit kubwa ya Foreign currency na hii imepelekea kushuka kwa thamani ya shilingi yetu

Kushuka kwa thamani ya shilingi yetu kumepelekea kuwepo kwa mfumko mkubwa wa bei na kuua mitaji ya wafanyabiashara wengi Sana .

Kwenye serikali yako mheshimiwa Rais Kuna Rushwa ya kutisha Sana watu wanashindana kujenga na kununua Magari hili ni jambo zuri lkn lisifanyike kwa kukwapua hela za serikali yaani watu wanashindana kuiba ili wanunue vitu vya anasa ambavyo vyoote hatunavyo nchini lazima tuviagize kwa kutumia pesa yetu ya kigeni automatically fedha yetu Ina depreciate

Tukio hili la wafanyabiashara nchi nzima kugoma si jambo la kawaida ni warning sign unayopewa mapema kwamba mfumo unaoutumia haufanyi vizuri kazi badilisha mwelekeo hujachelewa mfukuze makamba yaani yeye anapokuwa kila sehemu anawaza kuanzisha deal za kupiga pesa hata wazo la kujenga majengo Nairobi ni upigaji tu anawaza fukuza watu woote wanaowaza kukupamba waibe ikiwezekana vunja baraza la mawaziri usicheke na Nyani utavuna mabua
Unampigia mbuzi gitaa
 
Kuwa kiongozi wa taifa lazima uwe na upeo, uwe na uwezo wa kuliona tatizo kabla halijatokea na uwe tayari umeshalipatia majibu endapo litatokea.

Bahati mbaya ukiwa na kiongozi mwenye upeo mdogo hawezi kuona hata akili ndogo za wasaidizi wake, huu ndio mwanzo wa tatizo.

Matokeo yake anaendelea kuwakumbatia kwa kujiamini nao kwa kutambua hilo wanaendelea kumsifia huku wakitupiga.
 
USHAURI hujafika mwisho

Ungesema uchumi wake auendesheje?

Kumfukuza waziri halafu uchumi utapanda?

Unamwambia abadilishe sera ya uchumi wake hujampa USHAURI aubadilisheje?
 
Mnamo tarehe 29/03/2021 niliikosoa hadharani hotuba ya kwanza kabisa ya Rais wa JMT Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani nilimweleza wazi kwamba sera zake za uchumi hazina tija kwa baadaye na nikamkumbusha ilani ya kurasa zaidi ya 200 zinazotaka kufanyiwa kazi na nikamsihi asitoboe matundu ya pesa lkn hatukusikilizwa Nampa ujumbe mwingine Leo tar 28/06/2024 kuwa chukua hatua kali kabla mambo hayajaharibika

mfukuze Mara moja Waziri wa fedha Ndg Mwigulu nchemba kwa sababu sera zake za uchumi zimefeli Sana

Mwigulu nchemba anaencourage government spending on luxurious goods kama ununuzi wa Mashangingi na magari ya kifahari ambapo bidhaa kama Gari ni composite goods unatumia fedha za kigeni kuiagiza lkn vipuri na mafuta ya kuihudumia hii Gari na vyenyewe vinatumia fedha za kigeni kwa hiyo fedha zetu za kigeni hazitumiki kwa mambo ya maana yaani zinatumika kuagiza luxurious goods zisizokuwa na tija kwenye maendeleo na hivyo basi tunajikuta tuna deficit kubwa ya Foreign currency na hii imepelekea kushuka kwa thamani ya shilingi yetu

Kushuka kwa thamani ya shilingi yetu kumepelekea kuwepo kwa mfumko mkubwa wa bei na kuua mitaji ya wafanyabiashara wengi Sana .

Kwenye serikali yako mheshimiwa Rais Kuna Rushwa ya kutisha Sana watu wanashindana kujenga na kununua Magari hili ni jambo zuri lkn lisifanyike kwa kukwapua hela za serikali yaani watu wanashindana kuiba ili wanunue vitu vya anasa ambavyo vyoote hatunavyo nchini lazima tuviagize kwa kutumia pesa yetu ya kigeni automatically fedha yetu Ina depreciate

Tukio hili la wafanyabiashara nchi nzima kugoma si jambo la kawaida ni warning sign unayopewa mapema kwamba mfumo unaoutumia haufanyi vizuri kazi badilisha mwelekeo hujachelewa mfukuze makamba yaani yeye anapokuwa kila sehemu anawaza kuanzisha deal za kupiga pesa hata wazo la kujenga majengo Nairobi ni upigaji tu anawaza fukuza watu woote wanaowaza kukupamba waibe ikiwezekana vunja baraza la mawaziri usicheke na Nyani utavuna mabua
Nikishaona mtu anaandika bila kuweka koma, nukta ama kuzingatia matumizi sahihi ya herufi kubwa na ndogo, huwa namdharau sana.
 
Back
Top Bottom