Mama Samia ungefuata ushauri wangu wa tar29/03/2021" Mapema tu baada ya kuapishwa aibu hii isingekukuta

Mama Samia ungefuata ushauri wangu wa tar29/03/2021" Mapema tu baada ya kuapishwa aibu hii isingekukuta

Mnamo tarehe 29/03/2021 niliikosoa hadharani hotuba ya kwanza kabisa ya Rais wa JMT Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani nilimweleza wazi kwamba sera zake za uchumi hazina tija kwa baadaye na nikamkumbusha ilani ya kurasa zaidi ya 200 zinazotaka kufanyiwa kazi na nikamsihi asitoboe matundu ya pesa lkn hatukusikilizwa Nampa ujumbe mwingine Leo tar 28/06/2024 kuwa chukua hatua kali kabla mambo hayajaharibika

mfukuze Mara moja Waziri wa fedha Ndg Mwigulu nchemba kwa sababu sera zake za uchumi zimefeli Sana

Mwigulu nchemba anaencourage government spending on luxurious goods kama ununuzi wa Mashangingi na magari ya kifahari ambapo bidhaa kama Gari ni composite goods unatumia fedha za kigeni kuiagiza lkn vipuri na mafuta ya kuihudumia hii Gari na vyenyewe vinatumia fedha za kigeni kwa hiyo fedha zetu za kigeni hazitumiki kwa mambo ya maana yaani zinatumika kuagiza luxurious goods zisizokuwa na tija kwenye maendeleo na hivyo basi tunajikuta tuna deficit kubwa ya Foreign currency na hii imepelekea kushuka kwa thamani ya shilingi yetu

Kushuka kwa thamani ya shilingi yetu kumepelekea kuwepo kwa mfumko mkubwa wa bei na kuua mitaji ya wafanyabiashara wengi Sana .

Kwenye serikali yako mheshimiwa Rais Kuna Rushwa ya kutisha Sana watu wanashindana kujenga na kununua Magari hili ni jambo zuri lkn lisifanyike kwa kukwapua hela za serikali yaani watu wanashindana kuiba ili wanunue vitu vya anasa ambavyo vyoote hatunavyo nchini lazima tuviagize kwa kutumia pesa yetu ya kigeni automatically fedha yetu Ina depreciate

Tukio hili la wafanyabiashara nchi nzima kugoma si jambo la kawaida ni warning sign unayopewa mapema kwamba mfumo unaoutumia haufanyi vizuri kazi badilisha mwelekeo hujachelewa mfukuze makamba yaani yeye anapokuwa kila sehemu anawaza kuanzisha deal za kupiga pesa hata wazo la kujenga majengo Nairobi ni upigaji tu anawaza fukuza watu woote wanaowaza kukupamba waibe ikiwezekana vunja baraza la mawaziri usicheke na Nyani utavuna mabua
Hivi nyie mnaosemaga Kuna Rushwa ya kutisha ni pesa za Umma au ni zipi? Mbona sisi huku chini tunakofanya kazi hatuoni hayo mnayoyasema?

Nachojua Rushwa pekee kubwa watu wanayopata ni aidha Kwa Ajili ya kupendelewa kazi au tenda ambayo technically Haina athari hasi kwenye uchumi au Kwa mtu mmja mmja.

Tofauti na hiyo wengine wanakulaje pesa za Rushwa kubwa kubwa hebu tupeni mbinu maana hela za serikali ziko kwenye mifumo.

Rushwa za hivyo hazidhibitiki maana ni makubaliano ya watu ila hakuja anaechukua hela ya serikali na kuila na Mimi nikipata nakula.

Tofauti na hiyo ni Rushwa ndogo ndogo za Polisi,Mahakamani , hospital na labda Wakusanya Mapato kutopeleka hela zote Serikalini.

Sasa hayo nani amewahi yamaliza?
 
Hili la kujenga vyumba vya kupanga Nairobi waachane nalo, Kuna wale vijana waliochukuliwa kwa ajili ya kilimo siwasikii.
 
Mnamo tarehe 29/03/2021 niliikosoa hadharani hotuba ya kwanza kabisa ya Rais wa JMT Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani nilimweleza wazi kwamba sera zake za uchumi hazina tija kwa baadaye na nikamkumbusha ilani ya kurasa zaidi ya 200 zinazotaka kufanyiwa kazi na nikamsihi asitoboe matundu ya pesa lkn hatukusikilizwa Nampa ujumbe mwingine Leo tar 28/06/2024 kuwa chukua hatua kali kabla mambo hayajaharibika

mfukuze Mara moja Waziri wa fedha Ndg Mwigulu nchemba kwa sababu sera zake za uchumi zimefeli Sana

Mwigulu nchemba anaencourage government spending on luxurious goods kama ununuzi wa Mashangingi na magari ya kifahari ambapo bidhaa kama Gari ni composite goods unatumia fedha za kigeni kuiagiza lkn vipuri na mafuta ya kuihudumia hii Gari na vyenyewe vinatumia fedha za kigeni kwa hiyo fedha zetu za kigeni hazitumiki kwa mambo ya maana yaani zinatumika kuagiza luxurious goods zisizokuwa na tija kwenye maendeleo na hivyo basi tunajikuta tuna deficit kubwa ya Foreign currency na hii imepelekea kushuka kwa thamani ya shilingi yetu

Kushuka kwa thamani ya shilingi yetu kumepelekea kuwepo kwa mfumko mkubwa wa bei na kuua mitaji ya wafanyabiashara wengi Sana .

Kwenye serikali yako mheshimiwa Rais Kuna Rushwa ya kutisha Sana watu wanashindana kujenga na kununua Magari hili ni jambo zuri lkn lisifanyike kwa kukwapua hela za serikali yaani watu wanashindana kuiba ili wanunue vitu vya anasa ambavyo vyoote hatunavyo nchini lazima tuviagize kwa kutumia pesa yetu ya kigeni automatically fedha yetu Ina depreciate

Tukio hili la wafanyabiashara nchi nzima kugoma si jambo la kawaida ni warning sign unayopewa mapema kwamba mfumo unaoutumia haufanyi vizuri kazi badilisha mwelekeo hujachelewa mfukuze makamba yaani yeye anapokuwa kila sehemu anawaza kuanzisha deal za kupiga pesa hata wazo la kujenga majengo Nairobi ni upigaji tu anawaza fukuza watu woote wanaowaza kukupamba waibe ikiwezekana vunja baraza la mawaziri usicheke na Nyani utavuna mabua
Eti wizara ya mambo ya nje inatoa pesa Tanzania inaenda kujenga majengo kenya
 
Hivi nyie mnaosemaga Kuna Rushwa ya kutisha ni pesa za Umma au ni zipi? Mbona sisi huku chini tunakofanya kazi hatuoni hayo mnayoyasema?

Nachojua Rushwa pekee kubwa watu wanayopata ni aidha Kwa Ajili ya kupendelewa kazi au tenda ambayo technically Haina athari hasi kwenye uchumi au Kwa mtu mmja mmja.

Tofauti na hiyo wengine wanakulaje pesa za Rushwa kubwa kubwa hebu tupeni mbinu maana hela za serikali ziko kwenye mifumo.

Rushwa za hivyo hazidhibitiki maana ni makubaliano ya watu ila hakuja anaechukua hela ya serikali na kuila na Mimi nikipata nakula.

Tofauti na hiyo ni Rushwa ndogo ndogo za Polisi,Mahakamani , hospital na labda Wakusanya Mapato kutopeleka hela zote Serikalini.

Sasa hayo nani amewahi yamaliza?
Mkuu upo serious? Sasa kama unakubali kuna kutoa rushwa tenda ipatikane, ukinipa rushwa ukapata tenda nashindwa vp kukuambia hii tenda ongeza B1 hapo juu ukilipwa nitakupa maelekezo halafu mimi nikakaa na kamati yangu?
 
Hivi nyie mnaosemaga Kuna Rushwa ya kutisha ni pesa za Umma au ni zipi? Mbona sisi huku chini tunakofanya kazi hatuoni hayo mnayoyasema?

Nachojua Rushwa pekee kubwa watu wanayopata ni aidha Kwa Ajili ya kupendelewa kazi au tenda ambayo technically Haina athari hasi kwenye uchumi au Kwa mtu mmja mmja.

Tofauti na hiyo wengine wanakulaje pesa za Rushwa kubwa kubwa hebu tupeni mbinu maana hela za serikali ziko kwenye mifumo.

Rushwa za hivyo hazidhibitiki maana ni makubaliano ya watu ila hakuja anaechukua hela ya serikali na kuila na Mimi nikipata nakula.

Tofauti na hiyo ni Rushwa ndogo ndogo za Polisi,Mahakamani , hospital na labda Wakusanya Mapato kutopeleka hela zote Serikalini.

Sasa hayo nani amewahi yamaliza?
Moja ya ufisadi mkubwa ni kuanzisha mradi wa majengo kenya na Kinshasa kwa mabillioni ya walipakodi
 
Nikishaona mtu anaandika bila kuweka koma, nukta ama kuzingatia matumizi sahihi ya herufi kubwa na ndogo, huwa namdharau sana.
Utachelewa sana,

Dhahabu mara zote Huwa imefichwa gizani na imechangamana na Kila aina ya uchafu.

Pembua pumba na Mchele maisha yaendelee.
 
mfukuze Mara moja Waziri wa fedha Ndg Mwigulu nchemba kwa sababu sera zake za uchumi zimefeli Sana

Mwigulu nchemba anaencourage government spending on luxurious goods kama ununuzi wa Mashangingi na magari ya kifahari ambapo bidhaa kama Gari ni composite goods unatumia fedha za kigeni kuiagiza lkn vipuri na mafuta ya kuihudumia hii Gari na vyenyewe vinatumia fedha za kigeni kwa hiyo fedha zetu za kigeni hazitumiki kwa mambo ya maana yaani zinatumika kuagiza luxurious goods zisizokuwa na tija kwenye maendeleo na hivyo basi tunajikuta tuna deficit kubwa ya Foreign currency na hii imepelekea kushuka kwa thamani ya shilingi yetu
Government spending on luxurious goods ndio inaporomosha thamani ya Shilingi?

Halafu, japo simpendi Mwigulu, lets be fair, niulize kitu. Ikiwa gari za seikali hazitakuwa hizi Landcruizer na Prado, ambazo ziko katika muongozo wa serikali, circular, juu ya government issue vehicles, mbadala wake uwe gari gani? Tusilaumu viongozi wa serikali kutumia V8 wakati hatusemi watumie nini badala yake.

Kumbuka wakati wa Nyerere government issue vehicles zilikuwa ni Land Rovers, ambazo kwa sasa hazipo au model iliyopo huenda hata bei yake ni juu zaidi ya Land Cruiser, na haifai tena kwenye off roads.

Kwa hivyo basi, kama sio Landcruisers Wagon V8 na Box body (Dube) ambazo zinatumika sana Halmashauri za miji na majiji, serikali itumie gari gani? Maana hata Polisi sasa tumewatoa kwenye Land Rovers na kuwaingiza kwenye Land Cruisers Pick ups.
 
Back
Top Bottom