Mama Samia walipeni makandarasi wazalendo madeni yao-ndio wapiga kura wako.

Mama Samia walipeni makandarasi wazalendo madeni yao-ndio wapiga kura wako.

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Kama kuna kosa serikali ya Awamu ya Sita itafanya, ni kutowalipa Makandarasi wa ndani, wazalendo kabla ya uchaguzi Nonember 2025.
Hili ni angalizo tu!
Tukiachana na kodi za PAYEE, NSSF, WCF na michango mingi inayochelewa kulipwa kwa kukosa pesa, hali ya ajira kwa wafanyakazi na vibaru a wa makandarasi liangaliwe kwa undani zaidi.

Makandarasi wanaa ajiri vijana kwa 100% katika miradi yao
Kuna wanaofaidika moja kwa moja na malipo ya makandarasi, mama ntilie ndo wa kwanza maana hawa kazi yao ni kuwalisha vibarua. Tunaelewa kuwa vibarua wanawakopa Mama Ntilie chakua na wanalipa mwishoni mwa wiki au mwezi.
Wenye nyumba nao, hufaidika malipo ya kodi za nyumba, kutokana na vibarua au wafanya kazi wa makandarasi.

Hao wote hufaidika na malipo ya makandarasi wazawa.
Sasa malipo hayo yanapokoma, matokeo yake kisiasa hayako mbali kuyatabiri.
 
Kama kuna kosa serikali ya Awamu ya Sita itafanya, ni kutowalipa Makandarasi wa ndani, wazalendo kabla ya uchaguzi Nonember 2025.
Hili ni angalizo tu!
Tukiachana na kodi za PAYEE, NSSF, WCF na michango mingi inayochelewa kulipwa kwa kukosa pesa, hali ya ajira kwa wafanyakazi na vibaru a wa makandarasi liangaliwe kwa undani zaidi.

Makandarasi wanaa ajiri vijana kwa 100% katika miradi yao
Kuna wanaofaidika moja kwa moja na malipo ya makandarasi, mama ntilie ndo wa kwanza maana hawa kazi yao ni kuwalisha vibarua. Tunaelewa kuwa vibarua wanawakopa Mama Ntilie chakua na wanalipa mwishoni mwa wiki au mwezi.
Wenye nyumba nao, hufaidika malipo ya kodi za nyumba, kutokana na vibarua au wafanya kazi wa makandarasi.

Hao wote hufaidika na malipo ya makandarasi wazawa.
Sasa malipo hayo yanapokoma, matokeo yake kisiasa hayako mbali kuyatabiri.
Sio kwamba kwa uzalendo walio nao wamsamehe Hilo deni kwa manufaa ya mapana ya taifa
 
Kama kuna kosa serikali ya Awamu ya Sita itafanya, ni kutowalipa Makandarasi wa ndani, wazalendo kabla ya uchaguzi Nonember 2025.
Hili ni angalizo tu!
Tukiachana na kodi za PAYEE, NSSF, WCF na michango mingi inayochelewa kulipwa kwa kukosa pesa, hali ya ajira kwa wafanyakazi na vibaru a wa makandarasi liangaliwe kwa undani zaidi.

Makandarasi wanaa ajiri vijana kwa 100% katika miradi yao
Kuna wanaofaidika moja kwa moja na malipo ya makandarasi, mama ntilie ndo wa kwanza maana hawa kazi yao ni kuwalisha vibarua. Tunaelewa kuwa vibarua wanawakopa Mama Ntilie chakua na wanalipa mwishoni mwa wiki au mwezi.
Wenye nyumba nao, hufaidika malipo ya kodi za nyumba, kutokana na vibarua au wafanya kazi wa makandarasi.

Hao wote hufaidika na malipo ya makandarasi wazawa.
Sasa malipo hayo yanapokoma, matokeo yake kisiasa hayako mbali kuyatabiri.
Hategemei kura kuwa rais.
 
Mbona kuna kilio kikubwa sana kwa Wakandarasi wazawa ya kutolipwa stahiki zao ili hali tayari wamekwishamaliza utekelezaji wa 100% ya miradi yao. Kuna nini nyuma ya pazia?. Juzi Waziri wa Ujenzi katamka kuwa Serikali imeingiza 380bn/- kuwalipa wakandarasi. Je wakandarasi wazawa hawakujumuishwa kwenye fedha hizi?. Hapo ndo namkumbuka Hayati Mhe. Magufuli. Wakati wake madeni ya wakandarasi yalikuwa yanalipwa kwa wakati.
 
Kama kuna kosa serikali ya Awamu ya Sita itafanya, ni kutowalipa Makandarasi wa ndani, wazalendo kabla ya uchaguzi Nonember 2025.
Hili ni angalizo tu!
Tukiachana na kodi za PAYEE, NSSF, WCF na michango mingi inayochelewa kulipwa kwa kukosa pesa, hali ya ajira kwa wafanyakazi na vibaru a wa makandarasi liangaliwe kwa undani zaidi.

Makandarasi wanaa ajiri vijana kwa 100% katika miradi yao
Kuna wanaofaidika moja kwa moja na malipo ya makandarasi, mama ntilie ndo wa kwanza maana hawa kazi yao ni kuwalisha vibarua. Tunaelewa kuwa vibarua wanawakopa Mama Ntilie chakua na wanalipa mwishoni mwa wiki au mwezi.
Wenye nyumba nao, hufaidika malipo ya kodi za nyumba, kutokana na vibarua au wafanya kazi wa makandarasi.

Hao wote hufaidika na malipo ya makandarasi wazawa.
Sasa malipo hayo yanapokoma, matokeo yake kisiasa hayako mbali kuyatabiri.
Hata baadhi ya wastaafu yafaa walipwe maana bado wana kilio hicho .
 
Halafu hawahawa wakandarasi walijinasibu kuwa mama kawa saidia sana mpaka wakatoa ahadi yakumulia Ndege ya Kampeni
 
TANROADS ndio usiseme, wamepelekewa pesa Kidogo November December mwaka Jana, wamelipa Watu Wachache Sana ila sasa kila Siku ni procurement Tu then Mkandarasi halipwi
 
Kama kuna kosa serikali ya Awamu ya Sita itafanya, ni kutowalipa Makandarasi wa ndani, wazalendo kabla ya uchaguzi Nonember 2025.
Hili ni angalizo tu!
Tukiachana na kodi za PAYEE, NSSF, WCF na michango mingi inayochelewa kulipwa kwa kukosa pesa, hali ya ajira kwa wafanyakazi na vibaru a wa makandarasi liangaliwe kwa undani zaidi.

Makandarasi wanaa ajiri vijana kwa 100% katika miradi yao
Kuna wanaofaidika moja kwa moja na malipo ya makandarasi, mama ntilie ndo wa kwanza maana hawa kazi yao ni kuwalisha vibarua. Tunaelewa kuwa vibarua wanawakopa Mama Ntilie chakua na wanalipa mwishoni mwa wiki au mwezi.
Wenye nyumba nao, hufaidika malipo ya kodi za nyumba, kutokana na vibarua au wafanya kazi wa makandarasi.

Hao wote hufaidika na malipo ya makandarasi wazawa.
Sasa malipo hayo yanapokoma, matokeo yake kisiasa hayako mbali kuyatabiri.
Hivi huko mashuleni ulienda somea ujinga?!
Kwamba makandarasi walipwe kwasababu ni wapiga kura wake!! Na sio kwamba ni haki yao ya jasho lao?!

What if wasipokuwa wapiga kura wake wadhurumiwe??
 
Kama kuna kosa serikali ya Awamu ya Sita itafanya, ni kutowalipa Makandarasi wa ndani, wazalendo kabla ya uchaguzi Nonember 2025.
Hili ni angalizo tu!
Tukiachana na kodi za PAYEE, NSSF, WCF na michango mingi inayochelewa kulipwa kwa kukosa pesa, hali ya ajira kwa wafanyakazi na vibaru a wa makandarasi liangaliwe kwa undani zaidi.

Makandarasi wanaa ajiri vijana kwa 100% katika miradi yao
Kuna wanaofaidika moja kwa moja na malipo ya makandarasi, mama ntilie ndo wa kwanza maana hawa kazi yao ni kuwalisha vibarua. Tunaelewa kuwa vibarua wanawakopa Mama Ntilie chakua na wanalipa mwishoni mwa wiki au mwezi.
Wenye nyumba nao, hufaidika malipo ya kodi za nyumba, kutokana na vibarua au wafanya kazi wa makandarasi.

Hao wote hufaidika na malipo ya makandarasi wazawa.
Sasa malipo hayo yanapokoma, matokeo yake kisiasa hayako mbali kuyatabiri.
Kama hawajalipwa wako site kufanya nini? Wanatumia hela za nani? Kama ni za kwao basi hawana akili.
 
Hivi huko mashuleni ulienda somea ujinga?!
Kwamba makandarasi walipwe kwasababu ni wapiga kura wake!! Na sio kwamba ni haki yao ya jasho lao?!

What if wasipokuwa wapiga kura wake wadhurumiwe??
Mkuu hili somo kama liko juu ya uwezo wako, kaa kimya tu.
Usifungue mdomo kuonyesha ujinga wako.
 
Ndio walio mnunulia helicopter? Au sio hawa?

Ni lini watajifunza mwanasiasa haaminiki?
Yule aliyemnunulia mama helikopta wala hajulikaninkatika fani ya ukandarasi.
Tapeli tu yule.
Mtu hujalipwa utanunuaje helikopta?
Tapeli wahedi!
 
Sio kwamba kwa uzalendo walio nao wamsamehe Hilo deni kwa manufaa ya mapana ya taifa

Ndivyo ukijifunza shuleni kwa Habari ya kanuni za biashara ufanye hivyo ?
Au hujajaliwa kuliona darasa ?
Unafahamu impact yake kwenye uchumi ??
 
Back
Top Bottom