Mama Samia walipeni makandarasi wazalendo madeni yao-ndio wapiga kura wako.

Mama Samia walipeni makandarasi wazalendo madeni yao-ndio wapiga kura wako.

Samia alishawai kusema hata mkiwapigia kura wapinzani mshindi atatangazwa wa CCM

Hili andiko lako ni umepoteza mda
 
Kama kuna kosa serikali ya Awamu ya Sita itafanya, ni kutowalipa Makandarasi wa ndani, wazalendo kabla ya uchaguzi Nonember 2025.
Hili ni angalizo tu!
Tukiachana na kodi za PAYEE, NSSF, WCF na michango mingi inayochelewa kulipwa kwa kukosa pesa, hali ya ajira kwa wafanyakazi na vibaru a wa makandarasi liangaliwe kwa undani zaidi.

Makandarasi wanaa ajiri vijana kwa 100% katika miradi yao
Kuna wanaofaidika moja kwa moja na malipo ya makandarasi, mama ntilie ndo wa kwanza maana hawa kazi yao ni kuwalisha vibarua. Tunaelewa kuwa vibarua wanawakopa Mama Ntilie chakua na wanalipa mwishoni mwa wiki au mwezi.
Wenye nyumba nao, hufaidika malipo ya kodi za nyumba, kutokana na vibarua au wafanya kazi wa makandarasi.

Hao wote hufaidika na malipo ya makandarasi wazawa.
Sasa malipo hayo yanapokoma, matokeo yake kisiasa hayako mbali kuyatabiri.
Halafu mtu humlipi mkandarasi, lakini kwa upande mwingine unampiga penati kwa kuchelewa kulipa kodi, inayotokana na malipo ambayo hujamlipa...!!! Ajabu sana.
 
Halafu mtu humlipi mkandarasi, lakini kwa upande mwingine unampiga penati kwa kuchelewa kulipa kodi, inayotokana na malipo ambayo hujamlipa...!!! Ajabu sana.
Hali hii inasikitisha sana.
Kwa kutolipwa makandarasi wengi wamefilisika.
Serikali iko kimya as if kumlipa mkandarasi ni fadhila.
 
Kama kuna kosa serikali ya Awamu ya Sita itafanya, ni kutowalipa Makandarasi wa ndani, wazalendo kabla ya uchaguzi Nonember 2025.
Hili ni angalizo tu!
Tukiachana na kodi za PAYEE, NSSF, WCF na michango mingi inayochelewa kulipwa kwa kukosa pesa, hali ya ajira kwa wafanyakazi na vibaru a wa makandarasi liangaliwe kwa undani zaidi.

Makandarasi wanaa ajiri vijana kwa 100% katika miradi yao
Kuna wanaofaidika moja kwa moja na malipo ya makandarasi, mama ntilie ndo wa kwanza maana hawa kazi yao ni kuwalisha vibarua. Tunaelewa kuwa vibarua wanawakopa Mama Ntilie chakua na wanalipa mwishoni mwa wiki au mwezi.
Wenye nyumba nao, hufaidika malipo ya kodi za nyumba, kutokana na vibarua au wafanya kazi wa makandarasi.

Hao wote hufaidika na malipo ya makandarasi wazawa.
Sasa malipo hayo yanapokoma, matokeo yake kisiasa hayako mbali kuyatabiri.

Kura tangu 2010 hazijawahi kumpata Rais .

Wapiga kura hata wasipopiga zitapigwa na mawakala kujaza masanduku ya kura .

Kwa hiyo kama wakandarasi hawajatimiza masharti ya mkataba basi wakae kwa kutulia .
CCM walishasema Ikulu watu hawaingii kwa vikaratasi kwenye Sanduku.
 
Kura tangu 2010 hazijawahi kumpata Rais .

Wapiga kura hata wasipopiga zitapigwa na mawakala kujaza masanduku ya kura .

Kwa hiyo kama wakandarasi hawajatimiza masharti ya mkataba basi wakae kwa kutulia .
CCM walishasema Ikulu watu hawaingii kwa vikaratasi kwenye Sanduku.
Kwa hiyo unabariki watu kutolipwa na kubaki na donge moyoni!
 
Kwa hiyo unabariki watu kutolipwa na kubaki na donge moyoni!


Tenda nyingi za wazawa zinapatikana kifisadi na zipo kutekeleza ufisadi wa watu wachache.

Wanachelewesha miradi na malipo kwa makusudi ili waidai serikali fidia kwa makusudi na mchongo unafanywa kwa makubaliano na wachache kunufaika
 
Tenda nyingi za wazawa zinapatikana kifisadi na zipo kutekeleza ufisadi wa watu wachache.

Wanachelewesha miradi na malipo kwa makusudi ili waidai serikali fidia kwa makusudi na mchongo unafanywa kwa makubaliano na wachache kunufaika
Weka uthibitisho.
 
Back
Top Bottom