Mama Sofia Kawawa

Mama Sofia Kawawa

Kuna vitoto vina miaka 10 hapa JF na vinatongoza wamama inbox balaa. Usijitetee kipare. Niamkie
Hakika Asprin wewe ndie unatakiwa uniamkie! Au unahadaika na hizi comments za humu tunazotoa, humu ni sehemu tu ya kucheka na kuongeza siku hahahahahaha, huku JF ukitathimini kwa kuangalia comments utaingia chaka aisee!!!!
 
Hakika Asprin wewe ndie unatakiwa uniamkie! Au unahadaika na hizi comments za humu tunazotoa, humu ni sehemu tu ya kucheka na kuongeza siku hahahahahaha, huku JF ukitathimini kwa kuangalia comments utaingia chaka aisee!!!!
Hii hekima ya babu kumwamkia mjukuu imetokea upare ya Mwanga au Same?
 
Thabita Siwale
Huyo Tabitha Siwale nasikia eti zamani alikuwa mkuu wa shule ya Korogwe wasichana, akaja kiongozi mmoja wa kitaifa kutembelea huko, baadae akampa maelekezo kuwa anataka mwanafunzi wa "kupoozea" usiku, huyo mama akampelekea huyo mheshimiwa mkware msichana ambaye ni mwanae wa kumzaa, hahahha
 
Huyo Tabitha Siwale nasikia eti zamani alikuwa mkuu wa shule ya Korogwe wasichana, akaja kiongozi mmoja wa kitaifa kutembelea huko, baadae akampa maelekezo kuwa anataka mwanafunzi wa "kupoozea" usiku, huyo mama akampelekea huyo mheshimiwa mkware msichana ambaye ni mwanae wa kumzaa, hahahha
Duu
 
Mheshimiwa mwenyewe alikuwa mbunge wa Same miaka hiyo na waziri wa elimu ndugu na hayati CHEDIEL MGONJA hahahahahahahha
Mbona kama unamtaja kijanja!!kwani kulikua na mpare mwingine alikua Waziri wa Elimu kipindi cha JKN tofauti na Mgonja?
 
Ndiyo kipindi nilikuwa chuo. Huyo mama alikuwa so charismatic hata mme wake asingeweza kutoa hotuba kama mama. Those were the real politicians who ment what they said siyo hawa wa mipasho. Sidhani kama Mama Sophia angepinga wasichana wanaopata ujauzito kuendelea na masomo. It is a shame to our politicians ambao waume zao ndo ...... Ulizia Mhu alikuwa anakuwaje akenda NY halafu mke wake anakuja kutoa hayo maneno ya kejeri.
Yale maneno ya kutopanua mapaja ili mdudu asiingie? [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Back
Top Bottom