Mama SSH yuko madarakani kwa mpango wa Mungu kama ilivyokuwa kwa Ester wa Biblia.

Mama SSH yuko madarakani kwa mpango wa Mungu kama ilivyokuwa kwa Ester wa Biblia.

pilipili kichaa

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2013
Posts
18,406
Reaction score
14,643
Wapendwa nawasalimu kwa jina la Jamhuri, kazi iendelee

Binafsi nimekuwa nawaza sana kuhusu utawala wa huyu Mama yetu SSH namna anavyopiga makasia kuirudisha Tz ktk utawala wa kisheria, haki na usawa tofauti na mtangulizi wake.
Wote tunatambua kuwa mtangulizi wake (mwendazake) alikuwa haambiliki, katili, mwonevu, alijaa ukabila na ukanda alifikia hadi mahala pa kutenga wengine kutokana na makabila na ukanda wao! Watu walifilisiwa mali zao, waliporwa fedha zao mchana kweupe na watu kama sabaya na makonda)
Sasa Mama yetu SSH amekuja kwa kusudi la Mungu ambae tulimlilia na akasikia kilio chetu. Wajibu wetu wa Tz ni kuunga mkono Mama yetu SSH katika kujenga uchumi ambao uliharibiwa vibaya sana na Mwendazake (wenye akili ndogo hawawezi kuona hili) ili tuweze kujenga nchi yetu upya na kurudi ktk umoja wetu tuliokuwa nao kabla ya awamu ya 5 kuingia madarakani.

Mama yetu SSH unaupiga mwingi sana, tunakuombea kwa Mola akupe afya, uvumilivu na ari ya kuchapa kazi ili kwa pamoja tuweze kupata maendeleo na ustawi wa Nchi yetu.
 
Hadithi ya Esther ni tofauti na ya Rais wa sasa.

Unapotosha.
 
Wapendwa nawasalimu kwa jina la Jamhuri, kazi iendelee

Binafsi nimekuwa nawaza sana kuhusu utawala wa huyu Mama yetu SSH namna anavyopiga makasia kuirudisha Tz ktk utawala wa kisheria, haki na usawa tofauti na mtangulizi wake.
Wote tunatambua kuwa mtangulizi wake (mwendazake) alikuwa haambiliki, katili, mwonevu, alijaa ukabila na ukanda alifikia hadi mahala pa kutenga wengine kutokana na makabila na ukanda wao! Watu walifilisiwa mali zao, waliporwa fedha zao mchana kweupe na watu kama sabaya na makonda)
Sasa Mama yetu SSH amekuja kwa kusudi la Mungu ambae tulimlilia na akasikia kilio chetu. Wajibu wetu wa Tz ni kuunga mkono Mama yetu SSH katika kujenga uchumi ambao uliharibiwa vibaya sana na Mwendazake (wenye akili ndogo hawawezi kuona hili) ili tuweze kujenga nchi yetu upya na kurudi ktk umoja wetu tuliokuwa nao kabla ya awamu ya 5 kuingia madarakani.

Mama yetu SSH unaupiga mwingi sana, tunakuombea kwa Mola akupe afya, uvumilivu na ari ya kuchapa kazi ili kwa pamoja tuweze kupata maendeleo na ustawi wa Nchi yetu.
Kama unampenda zaidi kanywe nae chai acha kumfananisha na vitu ambavyo hafanani navyo.
 
Wapendwa nawasalimu kwa jina la Jamhuri, kazi iendelee

Binafsi nimekuwa nawaza sana kuhusu utawala wa huyu Mama yetu SSH namna anavyopiga makasia kuirudisha Tz ktk utawala wa kisheria, haki na usawa tofauti na mtangulizi wake.
Wote tunatambua kuwa mtangulizi wake (mwendazake) alikuwa haambiliki, katili, mwonevu, alijaa ukabila na ukanda alifikia hadi mahala pa kutenga wengine kutokana na makabila na ukanda wao! Watu walifilisiwa mali zao, waliporwa fedha zao mchana kweupe na watu kama sabaya na makonda)
Sasa Mama yetu SSH amekuja kwa kusudi la Mungu ambae tulimlilia na akasikia kilio chetu. Wajibu wetu wa Tz ni kuunga mkono Mama yetu SSH katika kujenga uchumi ambao uliharibiwa vibaya sana na Mwendazake (wenye akili ndogo hawawezi kuona hili) ili tuweze kujenga nchi yetu upya na kurudi ktk umoja wetu tuliokuwa nao kabla ya awamu ya 5 kuingia madarakani.

Mama yetu SSH unaupiga mwingi sana, tunakuombea kwa Mola akupe afya, uvumilivu na ari ya kuchapa kazi ili kwa pamoja tuweze kupata maendeleo na ustawi wa Nchi yetu.
Chawa ndiyo mmesababisha sukuma gang kuufyata,weka namba unaweza kupata uteuzi.
 
Wapendwa nawasalimu kwa jina la Jamhuri, kazi iendelee

Binafsi nimekuwa nawaza sana kuhusu utawala wa huyu Mama yetu SSH namna anavyopiga makasia kuirudisha Tz ktk utawala wa kisheria, haki na usawa tofauti na mtangulizi wake.
Wote tunatambua kuwa mtangulizi wake (mwendazake) alikuwa haambiliki, katili, mwonevu, alijaa ukabila na ukanda alifikia hadi mahala pa kutenga wengine kutokana na makabila na ukanda wao! Watu walifilisiwa mali zao, waliporwa fedha zao mchana kweupe na watu kama sabaya na makonda)
Sasa Mama yetu SSH amekuja kwa kusudi la Mungu ambae tulimlilia na akasikia kilio chetu. Wajibu wetu wa Tz ni kuunga mkono Mama yetu SSH katika kujenga uchumi ambao uliharibiwa vibaya sana na Mwendazake (wenye akili ndogo hawawezi kuona hili) ili tuweze kujenga nchi yetu upya na kurudi ktk umoja wetu tuliokuwa nao kabla ya awamu ya 5 kuingia madarakani.

Mama yetu SSH unaupiga mwingi sana, tunakuombea kwa Mola akupe afya, uvumilivu na ari ya kuchapa kazi ili kwa pamoja tuweze kupata maendeleo na ustawi wa Nchi yetu.
Hayo maandishi 'anaupiga mwingi sana' umeyaandika kwa wino tofauti kuweka msisitizo. Angalia mkuu, usije ukaitwa chawa.
 
Wewe kama huyo mama unampenda nenda kaolewe na kijana wake uwe unapigw amiti asubuhi ukiamka unamuona mama mkwe.
 
Wapendwa nawasalimu kwa jina la Jamhuri, kazi iendelee

Binafsi nimekuwa nawaza sana kuhusu utawala wa huyu Mama yetu SSH namna anavyopiga makasia kuirudisha Tz ktk utawala wa kisheria, haki na usawa tofauti na mtangulizi wake.
Wote tunatambua kuwa mtangulizi wake (mwendazake) alikuwa haambiliki, katili, mwonevu, alijaa ukabila na ukanda alifikia hadi mahala pa kutenga wengine kutokana na makabila na ukanda wao! Watu walifilisiwa mali zao, waliporwa fedha zao mchana kweupe na watu kama sabaya na makonda)
Sasa Mama yetu SSH amekuja kwa kusudi la Mungu ambae tulimlilia na akasikia kilio chetu. Wajibu wetu wa Tz ni kuunga mkono Mama yetu SSH katika kujenga uchumi ambao uliharibiwa vibaya sana na Mwendazake (wenye akili ndogo hawawezi kuona hili) ili tuweze kujenga nchi yetu upya na kurudi ktk umoja wetu tuliokuwa nao kabla ya awamu ya 5 kuingia madarakani.

Mama yetu SSH unaupiga mwingi sana, tunakuombea kwa Mola akupe afya, uvumilivu na ari ya kuchapa kazi ili kwa pamoja tuweze kupata maendeleo na ustawi wa Nchi yetu.
Aliletwa kututoa kwenye utumwa wa Sukuma gang 😆😆
 
Wapendwa nawasalimu kwa jina la Jamhuri, kazi iendelee

Binafsi nimekuwa nawaza sana kuhusu utawala wa huyu Mama yetu SSH namna anavyopiga makasia kuirudisha Tz ktk utawala wa kisheria, haki na usawa tofauti na mtangulizi wake.
Wote tunatambua kuwa mtangulizi wake (mwendazake) alikuwa haambiliki, katili, mwonevu, alijaa ukabila na ukanda alifikia hadi mahala pa kutenga wengine kutokana na makabila na ukanda wao! Watu walifilisiwa mali zao, waliporwa fedha zao mchana kweupe na watu kama sabaya na makonda)
Sasa Mama yetu SSH amekuja kwa kusudi la Mungu ambae tulimlilia na akasikia kilio chetu. Wajibu wetu wa Tz ni kuunga mkono Mama yetu SSH katika kujenga uchumi ambao uliharibiwa vibaya sana na Mwendazake (wenye akili ndogo hawawezi kuona hili) ili tuweze kujenga nchi yetu upya na kurudi ktk umoja wetu tuliokuwa nao kabla ya awamu ya 5 kuingia madarakani.

Mama yetu SSH unaupiga mwingi sana, tunakuombea kwa Mola akupe afya, uvumilivu na ari ya kuchapa kazi ili kwa pamoja tuweze kupata maendeleo na ustawi wa Nchi yetu.
Kazi ipi iendelee? Au ni hii ya kuwateua maswahiba wa JK?

55ACA1FC-CAAF-4B38-B0D5-10AAB3E0E218.jpeg


8ED3320E-F321-4FF0-8469-160E627408E9.jpeg
 
Back
Top Bottom