Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Kweli alikuwa Iron LadyNyakati ngumu hazipiti ila wati wagumu wanapita, pumzika kwa amani Iron Lady
Mwalimu Nyerere vs Thabita Siwale
Wadau wa historia habari zenu? naombeni msaada kuna habari nimewahi kuisikia zamani kidogo inamhusu Mwalimu Nyerere kipindi hicho akiwa Rais wa Tz na mwanasiasa mkongwe Bi Thabita Siwale waziri wa zamani wa elimu na utamaduni! Hbr yenyewe ipo hivi huyu bi Thabita Siwale chanzo cha yeye...www.jamiiforums.com
Dua la kuku halimpati mwewe!Siku nikisikia yule wa magogoni, nitasali sala zote!
Pumzika kwa amani Mama yetu Mama Siwale.View attachment 3269029
Mama Tabitha Siwale, mwalimu na ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Elimu, miaka ya Mwalimu Nyerere, amefariki dunia usiku kuamkia leo.
Tetesi zimetolewa na ndugu wa karibu.
Mama Siwale ni kati ya mawaziri wanawake wachache waliotumikia nchi bila mawaa!
Juzi ilikuwa Prof Sarungi, passing of times
Heshima kitu cha bure pleaseAlimfanyaga mwalimu anasahau kupeleka unyumba Butiama!