Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si tungengoja tuka confirm ? Tusije kuua mtu angali hai....View attachment 3269029
Mama Tabitha Siwale, mwalimu na ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Elimu, miaka ya Mwalimu Nyerere, amefariki dunia usiku kuamkia leo.
Tetesi zimetolewa na ndugu wa karibu.
Mama Siwale ni kati ya mawaziri wanawake wachache waliotumikia nchi bila mawaa!
Juzi ilikuwa Prof Sarungi, passing of times
Tatizo liko wapi? Mwalimu ni wewe? Mwalimu ni kila aliyesomea uwalimu!Heshima kitu cha bure please
Kama ulivyoandika ungemuweka mama yako mwenyewe kwenye maudhui, nahisi ungefurahia sana.Tatizo liko wapi? Mwalimu ni wewe? Mwalimu ni kila aliyesomea uwalimu!
Butiama ni wilaya wanaishi watu wengi! Sio kwa mtu mmoja!
Kweli maisha yanapita, dunia iko pale pale.Life is temporary ase
Jiridhishe na vyombo vya habari leo.Sasa si tungengoja tuka confirm ? Tusije kuua mtu angali hai....
Sijasema haijatokea wala haikutokea issue ni kusema kama factual alafu ndani source tetesi ya ndugu wa karibuJiridhishe na vyombo vya habari leo.
Tetesi ni tahadhari tu, na fact imekuwa justified.Sijasema haijatokea wala haikutokea issue ni kusema kama factual alafu ndani source tetesi ya ndugu wa karibu
Haujapata point yangu siongelei huyu bali naongelea issue kwa ujumla kama nikisikia kwa wadau kwa Jidu amefariki naweza kuuliza hivi mna habari zozote kuhusu JLM; Sio naanza kutangazia umati kwamba Jidu is no More alafu nikiulizwa imekuwaje au ni vipi unaniambia ni tetesi kutoka kwa mdau... In this day and age ambapo wengi wamezushiwa vifo its just a precaution...Tetesi ni tahadhari tu, na fact imekuwa justified.
Muda wa tetesi unakoma pale fact inpokuwa justified, now you know.