Mama wa bibi harusi aona aibu: kwenye harusi wa binti yake. Aona aibu mbele ya wageni

Mama wa bibi harusi aona aibu: kwenye harusi wa binti yake. Aona aibu mbele ya wageni

Inaonesha hiyo harusi hukuchanga ulidandia tu kadi ya dezo, badala ya kufata kilichokupeleka unafata umbea wa kuandika mtandaoni, aone aibu kwa lipi na ushasema aliachana na huyo baba ulitaka akae peke yake kama sanamu?
Ila Dr.Bana uliwahi kunilima block ya kizazi kipya bila kosa lolote Huwa nacheka sana nkikuona humu.Vipi mambo lakini.
 
Sijapendezwa maneno yako ya kashfa na matusi...
Sijapendezwa kabisa tujifunze kua na stara...

Ukichukia uwe na sababu
Cee

Afu ni utakuta ni mtu mzima huyu
Kama
Kapeace
Hawajui kuwa huyo mtu ananitafuta tena sana tena san
20230529_173513.jpg

Yeye sasa hivi ndo anawivu na mimi
Sasa ngoja siku anikute nipo na mnyarwanda ndo atasanda kabisa.
Muache wivu akinadada.
Kama waume zenu wanafanyiwq hivyo na njemba nyingine
 
Cee

Afu ni utakuta ni mtu mzima huyu
Kama
Kapeace
Hawajui kuwa huyo mtu ananitafuta tena sana tena san
View attachment 2641940
Yeye sasa hivi ndo anawivu na mimi
Sasa ngoja siku anikute nipo na mnyarwanda ndo atasanda kabisa.
Muache wivu akinadada.
Kama waume zenu wanafanyiwq hivyo na njemba nyingine
😂😂😂Unavyohaha sio kugongewa tu hata wewe utagongwa
 
Habari wiki iliyopita nilikuwa kwenye harusi moja hivi niliarikwa. Sasa nda wa ukumbini na maharusi kuingia. Sasa katika utambulisho binti aliwatambulisha wazazi wake wa kumzaa na BABA mlezi...
Sasa mtu kama hakupendi anakunyanyasa au akaamua kuwa na mwingine unaendleaje kukomaa naye eti kuzaa na mtu mmoja.

Mapenzi yakiisha hayalazimishwi au kuna usaliti mtu akifanya hakuna kusamehe unatupa unavuta mwingine
 
Kuna watu wanaaibu hawawez ata kusimama mbele ya watu kumi/kweny jumuiya na Kutoa Neno.
 
Inaonesha hiyo harusi hukuchanga ulidandia tu kadi ya dezo, badala ya kufata kilichokupeleka unafata umbea wa kuandika mtandaoni, aone aibu kwa lipi na ushasema aliachana na huyo baba ulitaka akae peke yake kama sanamu?
Kwa huu uandishi hakuna mchangiaji hapa. Huyu ni mbea tu alifuata umbea😂😂
 
Back
Top Bottom