Mama Wa hiali na mtafuta

Mama Wa hiali na mtafuta

Pole sana mdogo wangu!!!
Hao wanaosema mams mpaka akuzae wanakosea,wapo wanawake wenye upendo mkuu . Mama ndo kila kitu ukimkosa inauma sana, ni wachache sana watakuelewa hapa. Natamani ningekuwa na umri mkubwa nimpate mtoto kama wewe apo aniite mama, ni heshima kubwa sana!!!!
Thanks Dada hakika naona kuna watu wasio jua maumivu ya kumkosa mama
 
Hii dunia usipokua na roho ngumu kila jambo litakutoa machozi.
Kaza moyo ndugu yangu, mimi nakaza moyo na sikuwahi kua tayari kushindwa tangu nikiwa shule mpaka leo, neno kufeli sitakikulisikia, kubaliana hali kwamba huna mama pambana, jitahidi ulinde damu yako ili usiwache wanao mapema wakapata shida, na jitahidi sasa uwe na familia kidogo utapata faraja.

kua na familia mimi imenisaidia kiasi flani, japo kuna wakati nakua stressed sana tena nikimkumbuka mama yangu, hata ndugu kama dada, kaka, mama mdogo, mama mkubwa, mjomba wote hawana mapenzi ya kweli zaidi ya kunitafuta wanapokua wanataka pesa zangu na wanapokua wamekwama wanahitaji mawazo yangu na hasa hasa pesa.
Nimekuelewa sana Mkuu asante sana ushauri kama huu ndio ninao ukosa najikuta nikiwaza na kufikiria mengi asante sana chief
 
Mm ni Kijana Wa miaka 27 ninataman na ninapenda nipate mama Wa hiali angalau namie nijivunie kutamka neno mama ,kulingana na kutokua na mama Mzazi kiukweli Nina miss kutamka kinywani mwangu neno mama ,kiukweli natamani sana na huwa naingiwa huzuni pale napokua na wenzangu wao wakijivunia mama zao so napenda angalau nimpate mama Wa hiali ili niwe namtamkia hili neno mama ,mie ni nes mkunga jinsia ni wakiume mwenye umri Wa miaka 27 mwanzo niliona kawaida tu kutokua na mama ila kadili siku ziendavyo ninatamani kuwa na mama japo nikipata shida ya kimawazo awe ananishauri hongera zenu wote wenye mama muwaheshimu sana mama mama mama jina hili nalimis saana kinywani mwangu mama popote ulipo rest in peace naomba kupata mama Wa hiari plz
Wakipatikana wengi naomba unigawie mmoja nami daaah[emoji26] [emoji26]
 
Acha ujinga miaka 27 unamlilia mama, umri wa kutafuta madem huo
Mkuu hata ukiwa na miaka elf moja chance ya mama bado inahitajika mama ni Dawa hata ukimiliki vyote lazma mama utaitaji japo akupongeze au akukosoe lakin kwangu hiyo haipo kunawakt MTU nakua ktk wakati ambao unahitaji mawazo ya mama
 
huna mama wakubwa ?wadogo >? huna mashangazi ? binamu ? pole sana
 
Pole sana mdogo wangu!!!
Hao wanaosema mams mpaka akuzae wanakosea,wapo wanawake wenye upendo mkuu . Mama ndo kila kitu ukimkosa inauma sana, ni wachache sana watakuelewa hapa. Natamani ningekuwa na umri mkubwa nimpate mtoto kama wewe apo aniite mama, ni heshima kubwa sana!!!!
Maneno yana hekima sana haya! Ubarikiwe!
 
Mungu akusamehe bure maake kuna watu hufanya makosa paspo kujua wanakosea
Amna faza najaribu tu kukuondolea mfadhaiko usio na msingi kwa sasa kubali matokeo kwamba mama hayupo songa mbele hakuna anayeweza kuishi milele
 
Back
Top Bottom