kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Do the best of it mkuuHabari zenu wana JF
Juzi tar 26 nilileta Uzi hapa jamvini wa kumtafuna jimama wa kizungu
Na leo tarehe 28 amenitafuta tena anataka leo saa 11 jion niende kwake nikampe kampani kisa anafeel loneliness.
Naona kama bahati imeniangukia make juzijuzi tuu nimelizwa na binti wa kimeru
Now nipo najiandaa niende, baadae nitakuja hapa jamvini niwape mrejesho.
Anaenda kukiwakilisha chama cha mabaharia Taifa😀😀Hapo ni kama unaenda kuwakilisha Nchi.Jitaidi sana usituangushe Kiongozi.
What if it's his first time? For him I can conquer it's a YESKuwa na mzungu Ni ujanja?
Umepitwa miaka mingapi naye? Wakongwe wa box wakutabirie ?Juzi nilitoka na Dora 50 ngoja nione leo itakuaje
Ila akinigusia kwenda ulaya siachii
Ntapospond masomo
Yule mdada yupo poa sana. Akakuranena john madhambi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu usijali ARV ni bure tu kuu kwahiyo nenda katwange.
Umelizwa na makaaya ,makisetu au manambwe?Habari zenu wana JF
Juzi tar 26 nilileta Uzi hapa jamvini wa kumtafuna jimama wa kizungu
Na leo tarehe 28 amenitafuta tena anataka leo saa 11 jion niende kwake nikampe kampani kisa anafeel loneliness.
Naona kama bahati imeniangukia make juzijuzi tuu nimelizwa na binti wa kimeru
Now nipo najiandaa niende, baadae nitakuja hapa jamvini niwape mrejesho.
Na chumvin unazama..kwel umaskin mbaya..
Kuwa na mzungu Ni ujanja?
Ndugu Entreprenuare hiyo Avatar yako chunga Sana.Ni ujanja ndio, tuna tafuta connection ya kwenda majuu
Mkuu we acha tu walikuwa wanakuja sana shule ya MAASAI GIRLS kule Monduli na Moringe SSS
Habari zenu wana JF
Juzi tar 26 nilileta Uzi hapa jamvini wa kumtafuna jimama wa kizungu
Na leo tarehe 28 amenitafuta tena anataka leo saa 11 jion niende kwake nikampe kampani kisa anafeel loneliness.
Naona kama bahati imeniangukia make juzijuzi tuu nimelizwa na binti wa kimeru
Now nipo najiandaa niende, baadae nitakuja hapa jamvini niwape mrejesho.
Habari wanajamvi
Ule mkeka niliokua nausuka wa kumpa kampani Mama Mzungu naona umetiki make amekolea mpaka anasema hawezi kurudi Bulgaria bila Mimi.
Nipo njia panda Kati ya Bulgaria na chuo kipi niache kwanza.
Juzi kaniita kumpa kampani for the second time but amejaa mazima.