ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,551
Well saidacha jolie aendelee kuwa tajir kuna vitu anafanya hata Mungu anakuongezea sio unakuwa tajir unakomaa hata kimsaidia mtu akifa ndo unatoa gar na vyakula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well saidacha jolie aendelee kuwa tajir kuna vitu anafanya hata Mungu anakuongezea sio unakuwa tajir unakomaa hata kimsaidia mtu akifa ndo unatoa gar na vyakula
Toka lini mwanamke akawa baba?
From EthiopiaNi raia wa wapi huyo mama wa mtoto?
Ila huyo mtoto atarudi akikua.From Ethiopia
Hawezi rudi akijitaidi sana labda kumsaidia kifedha tu mama take.Ila huyo mtoto atarudi akikua.
Kwani Baloteli naye alihasiwa?Hawezi rudi akijitaidi sana labda kumsaidia kifedha tu mama take.
Baloteli aligoma kurudi kwao ghana
Yaa tena jamaa aliemuasili alikuwa ni MTU wa dini wa kikatolikiKwani Baloteli naye alihasiwa?
Una maana kuasiliwa nadhani.Kwani Baloteli naye alihasiwa?
Mkuu najua umelielewa swali, lakini jamaa sijui ni typing error???Yaa tena jamaa aliemuasili alikuwa ni MTU wa dini wa kikatoliki
Hahahaha ni kuasiliwa. Lugha gongana.Una maana kuasiliwa nadhani.
Kwani Baloteli alikuwa muislam?Yaa tena jamaa aliemuasili alikuwa ni MTU wa dini wa kikatoliki
Hahaha unazingua.Jamani na mimi huku nilishakufa tangu mwaka 2011... nisaidieni jinsi ya kupata wazungu wa kuasili wanangu watano nimeshindwa kuwalea..
Nimecheka sana ,utafikiria mazuri dah kuna watu mmepindaJamani na mimi huku nilishakufa tangu mwaka 2011... nisaidieni jinsi ya kupata wazungu wa kuasili wanangu watano nimeshindwa kuwalea..
Huyu hajapinda bali kanyongorota, amenifanya nicheke.Nimecheka sana ,utafikiria mazuri dah kuna watu mmepinda
Umejuaje kuwa wa kiswahili huyu mama? Wacheni kupayuka ovyo hamjui mazingira yalivyokuwa mpaka mtoto akafika kwa Jolie, sit back and think before you provoke nonsense.Huyu mama wa kiswahili ni wa kutoka nchi gani