Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke wa 40yrs atunzwe na watoto wake? Atakuwa aliwazaa akiwa na umri gani? Bado ni mwanamke mdogo, ana nguvu nyingi za kujipambania
Meaning?Her world never exist.
Ana watoto?Mama mtu mzima ,umri miaka 40 anatafuta kazi ya usafi wa nyumba za kulala wageni ,au kazi yoyote halalI ajipatie kipato,.
MahalI popote pale hata kijijini.yupo tayari
Meaning?
Mkuu; vipi umeamua kuanzisha uzi wa dizaini hii? Uzi huu kwa kupitia hizo komenti za wadau na majibu uliyotoa, ninashawishika kuchangia hivi:Mama mtu mzima ,umri miaka 40 anatafuta kazi ya usafi wa nyumba za kulala wageni ,au kazi yoyote halalI ajipatie kipato,.
MahalI popote pale hata kijijini.yupo tayari
Miaka 40 siyo mtuMama mtu mzima ,umri miaka 40 anatafuta kazi ya usafi wa nyumba za kulala wageni ,au kazi yoyote halalI ajipatie kipato,.
MahalI popote pale hata kijijini.yupo tayari
Miaka 40 siyo mtu mzima,bado bintiMama mtu mzima ,umri miaka 40 anatafuta kazi ya usafi wa nyumba za kulala wageni ,au kazi yoyote halalI ajipatie kipato,.
MahalI popote pale hata kijijini.yupo tayari
Yupo tayari, niambie aina ya kazi nimjulishe atafute nauli
Tunashukuru kwa mawazo yakoMkuu; vipi umeamua kuanzisha uzi wa dizaini hii? Uzi huu kwa kupitia hizo komenti za wadau na majibu uliyotoa, ninashawishika kuchangia hivi:
1. Huyo mwanamke mtu mzima unayemsemea, huyo ni mtu HEWA i.e. HAYUPO KABISA ni Mtu wa kuchonga ni FAKE.
2. Wewe katika Fiction au igizo hili umejipa nafasi ya UDALALI halafu unawa-enjoy watu kwa kuona jinsi wanavyotiririka. (Hili halina shida)
3. Tangazo lako hili lina mapungufu mengi mno e.g.
(a)Mtu gani anatafuta au anatafutiwa kazi halafu hakuna/haweki wajihi (sifa zake i.e. CV yake basi walau hata useme anajua kusoma na kuandika, hana matatizo ya kiafya/akili/viungo n.k. n.k.
(b) Wapo wadau wametaka mawasiliano naye lakini ww unasema hana simu i.e. hana hata majirani wenye simu? kweli? Na ww haukuonesha wala nia au ridhaa kumsaidia kupitia simu yako!!! Ina mana mhusika hajui kinachendelea kumhusu yeye mwenyewe.i.e. Yupo gizani na hiyo shida yake.
(c) Umewaeleza wadau kwamba yupo Moshi. Lakini hukutaja ni Moshi mjini, vijijini au wapi e.g. Kata, Kitongoji etc. kana kwamba huyo mama hana ndugu, majirani, haishi ndani ya Jamii ila wewe ndo umejitolea kumsaidia kumtafutia kazi. Kwani huko Moshi imeshindikana Locally kupata kibarua/kazi mpaka umeileta shida yake huku jamvini? Mbona Moshi kazi ni nyingi mno ila baadhi ya watu wanachagua kazi i.e. Wanaringa.
(d) Vipi ; huyo mama hana hata mtu mmoja wa kuzaliwa naye i.e. hana kaka, dada au wadogo zake? Hakuwahi kuolewa?
MWISHO: Naomba uniwie radhi kama nimekukwaza kwa hii komenti yangu.
Ila ni ruksa kutoa povu bila matusi.
Absolutely, huo bado ni umri wa kupambania watoto wake ambao bado wanakuwa wapo shuleni wanasoma , na bila shaka pengine wanakuwa hata hawajafika vyuoni wapo hapo katikatiHiyo dunia yake hijawahi kuwepo ya mwanamke kuwa na 40 yrs huku akuhudumiwa na kupewa kila kitu na mtoto wake
Pole Sana mkuu...ndo maishaHii dunia haipo fair kabisa.. huyo mama sasa hv alitakiwa atunzwe na watoto wake.. Roho imeniuma sana
Umemjibu vyema🙏🙏Tunashukuru kwa mawazo yako
Asante sanaSawa madam