Mama wa Rayvany anauza mbogamboga na Mama wa Martha anauza Juice. Maisha ya wasanii ni magumu sana

Wasanii wa Tz ukiachana na showoff zao, Ila kiufupi wana maisha magumu Sana .

Mama wa Rayvanny yupo mbeya sokoni anauza Mboga za majani za reja reja.

Na mama yake Martha anaokota machupa na kuuza juice.


This industry is all about shit.
Sasa ulitakaje? Wawe kula kulala... kuna watu hawawezi kukaa bila kufanya kazi hata kama watoto wao wanawapa hela.
Kuna jirani zetu walimleta bibi yao town kutokea njombe baada ya muda mfupi akafariki..hakuzoea maisha ya kukaa tu kama yai.. wakabaki wanalaumiana.. Bibi alivyokuwa kijijini alikuwa analima freshi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…