Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea

Ndoo ivyo mkuu unaweza mpata mtu wa nyota lakini mkolofi sana hapo inakuaje
 
Mzee heshima yako, una drama kinoma mzee!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Hujui mengi, hujawahi kuona mtu anafedheheshwa mama yake mzazi kisa hana hela? Halafu baba hujamtaja ingawa ni mgumu kumuacha mwanawe! Ni YESU pekee ndio hatokuacha.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Hahah,sumbawanga kuna mme kaondoka na masikio ya mke wake mke alikuwa hasiki
nyboma naona mzee wewe unataka kuondoka na k yake kabisa 😂😂

ova
Tangu lini mwanamme wa kanda ya ziwa akakubali kudhalauriwa na mwanamke, huoni polepole alivyo na msimamo ule ndio ukanda wa ziwa wenyewe sio mwanamme mzima unalialia kama mgogo Ndugai tena kwa mwanamke.
 
Tangu lini mwanamme wa kanda ya ziwa akakubali kudhauriwa na mwanamke, huoni polepole alivyo na msimamo ule ndio ukanda wa ziwa sio mwanamme mzima unalialia kama mgogo Ndugai..
😂😂😂

Ova
 

Noted sana mkuu[emoji1320][emoji1320][emoji1320]
 
sura inaonyesha ni lijeuri sana!anyway RIP
 
Achenu ujinga nani kasema ndoa ai minyama au mihips? Yaani wee unaoa mwanamke kisa tuu ana mcha mungu?

Lazima uoe mwanamke ambaye nafsi yako inafurahi. Wee kama wapenda matiti oa mwenye matiti kama wapenda mwanamke tako tako oa mwanamke tako lenge bonge la vibration.

Muhimu ni kutambua kuwa unaoa mwanadamu ambaye sio mkamilifu na kugongewa kunaweza kutokea eapecially kwa wanawake hawa ambao tunaoa brekk ya kwanza mbupuz
 

Hahahaaa daah mwanangu kula bia nitalipia kwa imanitu.
Mapenzi ya kishamba shamba ndio yanawakost wengi sana.
 
Tangu lini mwanamme wa kanda ya ziwa akakubali kudhalauriwa na mwanamke, huoni polepole alivyo na msimamo ule ndio ukanda wa ziwa wenyewe sio mwanamme mzima unalialia kama mgogo Ndugai tena kwa mwanamke.
Kama mwanamke ndio kashikilia ufunguo wako je.Wakimama tunawapet peti Ili mambo yetu yaende si unajua bila kuwasifia kuwapamba awatoi.
 
Carlos Tha Jackal..wewe ni Great thinker hatari sana wa kubomoa mbongo za watu !!
 
well said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…