lukatony
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 667
- 523
Kesi yake mbona kimya mpaka leo hstujui hatima yake?Yule aliyechinja kisha akanunua gunia za kutosha za mkaa akachoma umemsahau mara hii? Tabia ya mtu mmoja mmoja usi-generalize kwa jamii yote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesi yake mbona kimya mpaka leo hstujui hatima yake?Yule aliyechinja kisha akanunua gunia za kutosha za mkaa akachoma umemsahau mara hii? Tabia ya mtu mmoja mmoja usi-generalize kwa jamii yote.
... kesi za aina hiyo huchukua miaka kaka! Mnakaa mnasahau mnakuja baadaye kushtukizwa fulani kakatiwa hukumu miaka 10 au hata 15 baadaye.Kesi yake mbona kimya mpaka leo hstujui hatima yake?
Oky... kesi za aina hiyo huchukua miaka kaka! Mnakaa mnasahau mnakuja baadaye kushtukizwa fulani kakatiwa hukumu miaka 10 au hata 15 baadaye.
Mmh! Eeh kwa hapo sio mchezo. Hakuna expert wa ndoa. 30 years bado mnatengana!!Mambo ya ndoa ni hatari nilishuhudia ndoa ya Mama yangu mdogo walifikia hatua ya kushikiana pistol, huku wana watoto wa 30+yrs na ndoa iliuodumu zaidi ya 30+ yrs iliisha
😀😀😀😀😀😀🙏🙏Wewe endelea na tabia hiyo siku utakayogeuziwa kibao usije kuua mtu. Pia ukumbuke siku utakayopeleka kwako huyo mdudu anayeitwa HIV usilalamike.
Anakuzidi kipato, anakudharau.
Mbaya zaidi Ananza kuliwa Ovyoovyo , kiasi cha wewe kujua kua analiwa.
Mshahara wa Dhambi ni Mauti.
Kuliwa liweni, ila liweni kwa Staha basi...
siku hizi ni Utamaduni kua na Mchepuko/michepuko
Maisha ya naenda kasi sana, hiki kizazi cha FB ,IG, Twt, Tktok ,Badoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bladifakeni.
Hii kali pilipili mbuzi haiwashi!Ila jamani kuishi na mke kwahitaji akili sana. Wakati Fulani Mimi nahisi wanawake hawataki kuishi kwa amani na starehe.
1. Akiona mmeishi kwa amani kwa muda bila vurugu Wala Nini anavizia simu yako aichunguze au hata ukiongea kwenye simu anajitahidi ajue Ni Nani unaongea nae.
2. Akiona Kuna besti yako mmeshibada atataka atibue urafiki kwa kusema besti anakutafutia wanawake.
3. Kosa hela za matumizi ya ndani ndio utajua tofauti ya ibilisi na mwanamke Ni ndogo sana.
4. Ukitulia nyumbani lazima akupige vijembe ili mradi tu usione Raha.
5. Siku usile hapo nyumbani halafu jioni kosea uombe uroda ndio utajua kumbe hata wachaga wanajua taarabu
Hahahaaa kwa nini ujitese hivi Jombaa? Si uishi free agent lifestyle tu. My peace of mind means everything to me.Ila jamani kuishi na mke kwahitaji akili sana. Wakati Fulani Mimi nahisi wanawake hawataki kuishi kwa amani na starehe.
1. Akiona mmeishi kwa amani kwa muda bila vurugu Wala Nini anavizia simu yako aichunguze au hata ukiongea kwenye simu anajitahidi ajue Ni Nani unaongea nae.
2. Akiona Kuna besti yako mmeshibada atataka atibue urafiki kwa kusema besti anakutafutia wanawake.
3. Kosa hela za matumizi ya ndani ndio utajua tofauti ya ibilisi na mwanamke Ni ndogo sana.
4. Ukitulia nyumbani lazima akupige vijembe ili mradi tu usione Raha.
5. Siku usile hapo nyumbani halafu jioni kosea uombe uroda ndio utajua kumbe hata wachaga wanajua taarabu
Siku ukioa kisha Mke wako aliwe kwa staha na utambue hilo nadhani utafurahi.Anakuzidi kipato, anakudharau.
Mbaya zaidi Ananza kuliwa Ovyoovyo , kiasi cha wewe kujua kua analiwa.
Mshahara wa Dhambi ni Mauti.
Kuliwa liweni, ila liweni kwa Staha basi...
siku hizi ni Utamaduni kua na Mchepuko/michepuko
Maisha ya naenda kasi sana, hiki kizazi cha FB ,IG, Twt, Tktok ,Badoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bladifakeni.
Huyu Anna wa Mugabe ilikuwaje story yake?Nadhani watu wa Bunju beach wanaweza kusaidia kueleza Mzava na mke walikuwa wanamaelewano mazuri au ilifika stage wanavumiliana kwa.mapungufu ya kibinadamu.
Mzava alikuwa anamalizia ghorofa lake ahamie, watoto washakuwa wakubwa. Wananzengo wanadai mpaka kwa yaliyotokea itakuwa bingwa kavumilia mengi kwa miaka kadhaa naona akasema sasa fullstop. Kama ni kweli ni yeye aliyemaliza uhai wa.mke wake.
Wanawake wa TRA wengi huwa wanakamatika na vishawashi vya wafanyabiashara wakubwa na wadogo, wapo ma clearing agent nao wana mbwembwe hatari utafikiri ndio wenye mali. Dada yetu mmoja amekufa alikuwa TRA airport marehemu Anna wa sinza mugabe alikuwa pisi kali ila kazi ikachangia kufupisha maisha yake. Maana kazi ilimkutanisha na watu wengi mwishoe huwezi kukwepa mishale ya wanaume.
Dada cathe nakupa pongezi kwa kuendelea kuwa na Tabia njema nadhani kumpenda yesu kumekusaidia Samora usibebwe na wimbi la bahari la wafanyabiashara na ma agents.
Nasikia ameishi kwa mateso sana wajuba wanasema.Nadhani watu wa Bunju beach wanaweza kusaidia kueleza Mzava na mke walikuwa wanamaelewano mazuri au ilifika stage wanavumiliana kwa.mapungufu ya kibinadamu.
Mzava alikuwa anamalizia ghorofa lake ahamie, watoto washakuwa wakubwa. Wananzengo wanadai mpaka kwa yaliyotokea itakuwa bingwa kavumilia mengi kwa miaka kadhaa naona akasema sasa fullstop. Kama ni kweli ni yeye aliyemaliza uhai wa.mke wake.
Wanawake wa TRA wengi huwa wanakamatika na vishawashi vya wafanyabiashara wakubwa na wadogo, wapo ma clearing agent nao wana mbwembwe hatari utafikiri ndio wenye mali. Dada yetu mmoja amekufa alikuwa TRA airport marehemu Anna wa sinza mugabe alikuwa pisi kali ila kazi ikachangia kufupisha maisha yake. Maana kazi ilimkutanisha na watu wengi mwishoe huwezi kukwepa mishale ya wanaume.
Dada cathe nakupa pongezi kwa kuendelea kuwa na Tabia njema nadhani kumpenda yesu kumekusaidia Samora usibebwe na wimbi la bahari la wafanyabiashara na ma agents.
Mtumwa mama yako kwa baba yako huna adabu wwNaam naaam Mkuu, Wanawake tuliumbiwa sisi wanaume.
Sisi wanaume ndio wamiliki wa wanawake.
Ni watumwa Wetu hao.
Ndio maana Joyce Kiria alikua anatunanga weeeee ,nakujiona Feminist, lkn unaona mwisho wasiku kaingia penzin upya, kwa sababu ASINGEWEZA KUISHI BILA MWANAUME kwa umri wake.
Sasa sisi wanaume tufanyeje ???
Kwa kua mpira uko kwetu, na mabadiliko ya mazingira na maisha ,yewabadilisha wao pia..... Hatupaswi kuacha kuwashughulikia.
Kwa sasa tuwashughulikie tukiwa na Akili kichwani, Tusiwape Moyo wala nn.
Muishi kama vile kesho atasepa....USIWEKEZE MOYO. USIWEKEZE AKILI, USIWEKEZE NGUVU, USIWEKEZE PESA,..KWA UFUPI USIFANYE UWEKEZAJI UNAOJUA ,SIKU AKISEPA, UTAKUFWAAA
Alafu kama umegundua Kitu.... WANAWAKE SIKU HIZI NAO WANATAGETI ZAO, YAAN NAWAO SAIZI WANAINGIA KIMAHESABU MNOOO,... HUMJALI . NO FREE PAPUCHI.
Kama anakuelewa ,anakuelewa tu na atajua hapa Mwamba Niko naye kuchapana miti tuu .... Akikubali Poa....asipokubali Poa.
Kwan Utakufa???? Mpaka uanze kuhangaika wee kumvuta. Utumie pesa, nguvu,Moyo,akili..kumshawishi awe wako.... ...unategemea siku ukijua, anakusaliti utafanyaje ????.
UNAPOKUTANA NA DEMU, ASSUME KUA ANA BWANA AU MABWANA ZAKE... IVO USIJIPE USIPESHOO SANA KWENYE MAISHA YAKE.
HAMNA MWANAMKE SINGO.!!.
Umemaliza kubweka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wee ni kaschana Kadogo kembamba itakua sura mbovuuu kama ya baba yako , umbo baya kama panzi alikufa kwa njaa, alafu kadogooo ,kwambali unaonekana sio mwanamke lkn kwa karibu sio mwanamke kweli.
UKOME KABISA ,MJINGA MMOJA WEE, ULOKOSWA ELIMU KICHWAN NA KUJAZA UOZO NA TOPETOPE KICHWANI.
Wee unajua nilivyo sema Mtumwa, niligusa Sehem gan??? Matope yako kichwan yamekupeleka kwenye utumwa wa mateso ?.
USIRUDIE.
We tukunyema una nn zaidi ya minofu ka kitimoto mavi ya popo kabisaWee ni kaschana Kadogo kembamba itakua sura mbovuuu kama ya baba yako , umbo baya kama panzi alikufa kwa njaa, alafu kadogooo ,kwambali unaonekana sio mwanamke lkn kwa karibu sio mwanamke kweli.
UKOME KABISA ,MJINGA MMOJA WEE, ULOKOSWA ELIMU KICHWAN NA KUJAZA UOZO NA TOPETOPE KICHWANI.
Wee unajua nilivyo sema Mtumwa, niligusa Sehem gan??? Matope yako kichwan yamekupeleka kwenye utumwa wa mateso ?.
USIRUDIE.