Zitto katuambia kumbe zile korosho mlizimwaga baharini, watu wana siri sana.
Mama Kikwete anataka eti na yeye alipwe kiinua mgongo cha mmewe.
Kingine mama wakati wewe uko royo tua msajili amekipiga kufuli chama cha Umoja kutumia picha ya mtangulizi wako eti yeye sio mwanachama wake.
Naye balozi mstaafu wa Swideni katukataza kuijadili ripoti ya CAG, hivi mama sawa hiyo.
Wakili msomi Peter Madeleka alipotea polisi wakasema wao waliye naye ni Peter lkn sio Madeleka, kelele zilipozidi wakamwachia.
Zitto tena katuambia tunaompenda Magufuli eti tukazikwe pembeni mwa kaburi lake, naye Kibajaji akamwambia akazikwe pembeni mwa kaburi la mama yake. Uhuru ulizidi sana.
Rais wa nchi ya jirani ya Muungano wetu katuambia ukweli usiouma kwao kuwa aridhi ni ya wazanzibari tu wengine kumiliki ardhi mwisho Nungwi eti mama ya kweli hayo.
Msekwa naye katuambia asiyeupenda muungano ajinyonge.....
Naye spika aliyestaafishwa kaibukia bungeni watu eti alipotea mambo yalikuwa mengi sana mama.
Mwisho usio mwisho sana leo ukimaliza kuzindua Royo Tua hapo karibu na mlima Kilimanjaro nakushauri upumzike kidogo.
Karibu tena nyumbani Kazi iendelee.
Mama Kikwete anataka eti na yeye alipwe kiinua mgongo cha mmewe.
Kingine mama wakati wewe uko royo tua msajili amekipiga kufuli chama cha Umoja kutumia picha ya mtangulizi wako eti yeye sio mwanachama wake.
Naye balozi mstaafu wa Swideni katukataza kuijadili ripoti ya CAG, hivi mama sawa hiyo.
Wakili msomi Peter Madeleka alipotea polisi wakasema wao waliye naye ni Peter lkn sio Madeleka, kelele zilipozidi wakamwachia.
Zitto tena katuambia tunaompenda Magufuli eti tukazikwe pembeni mwa kaburi lake, naye Kibajaji akamwambia akazikwe pembeni mwa kaburi la mama yake. Uhuru ulizidi sana.
Rais wa nchi ya jirani ya Muungano wetu katuambia ukweli usiouma kwao kuwa aridhi ni ya wazanzibari tu wengine kumiliki ardhi mwisho Nungwi eti mama ya kweli hayo.
Msekwa naye katuambia asiyeupenda muungano ajinyonge.....
Naye spika aliyestaafishwa kaibukia bungeni watu eti alipotea mambo yalikuwa mengi sana mama.
Mwisho usio mwisho sana leo ukimaliza kuzindua Royo Tua hapo karibu na mlima Kilimanjaro nakushauri upumzike kidogo.
Karibu tena nyumbani Kazi iendelee.