Mama Wema afunguka kuhusu ugomvi wa Wema na Munalove

Mama Wema afunguka kuhusu ugomvi wa Wema na Munalove

Anauzwa wapi? hata mimi nataka kumnunua
Ukiona kuna mtu yupo karibu nae huyo ndio meneja wake a.k.a Dalali wake kwa booking na kila kitu unaongea nae huyo. (kwa mujibu wa maelezo ya mama)
 
Ukiona kuna mtu yupo karibu nae huyo ndio meneja wake a.k.a Dalali wake kwa booking na kila kitu unaongea nae huyo. (kwa mujibu wa maelezo ya mama)

Sawa Mkuu. ntajitahidi sana nimtafute huyu mrembo na mie nipitie huko wanakopita wengine
 
Hivi kwanini huyu mama anapenda sana kujishushia heshima.
Ugomvi wa watoto yeye si akae kimya tu kwani anapungukiwa nini jamani.
Hivi haoni wazazi wengine wenye watoto wao ambao ni famous kama mwanae hawajishughulishi na mambo ya watoto wao katika media au anadhani hao wazazi hawana akili.
Busara na hekima vimempita pembeni kabisa kama mzazi.
Mzazi atabaki kuwa mzazi tu, inamuuma na kutoa dukuduku ni dawa ya nini ajifie na presha bure?
 
Huyu mama amefeli kumfundisha mwanae, kuwa na nidhamu ya pesa na hilo wema kafeli na ndio maana kutulia na mtu mmoja hatoweza, kwa sababu maisha ya ndoa ni kupanda na kushuka na hata akianzisha biashara, lazima itafeli kwa sababu biashara inahitaji nidhamu ya hali ya juu ya matumizi ya pesa unayo iingiza kama faida
 
Kumbe problem anazi sort out. Nilijua anazitafutia solution. Mtanisamehe wandugu, ila huyu ni mama....
 
Huyu mama amefeli kumfundisha mwanae, kuwa na nidhamu ya pesa na hilo wema kafeli na ndio maana kutulia na mtu mmoja hatoweza, kwa sababu maisha ya ndoa ni kupanda na kushuka na hata akianzisha biashara, lazima itafeli kwa sababu biashara inahitaji nidhamu ya hali ya juu ya matumizi ya pesa unayo iingiza kama faida
kwani hili swala linahusiana na ndoa?
 
maana haya mambo na digitali hii..
kuomba Mungu tu!
Yaah! mwisho mtu unakuwa kama myng'unya huharibika hata ukubwani kwa kweli malezi ni changamoto kubwa mwisho mtu unaanza kuangalia mpaka historia ya koo (clan )nazo pia zinachangia maana unaweza kukuta familia zina maadili mema mpaka unashangaa nyingine ndo hivyo pasua kichwa au kaongoka mmoja waliobaki mtihani.
 
Like mother like daughter, mtoto umleavyo ndivyo akuavyo~life goes on
 
Mama wema bora angenyamaza kabisaaa ,,tulikuaga tunasikia tu kua junaithar anamtafutia mabwana wema kumbe kweliii katuthibitishia ahahahah
 
Back
Top Bottom