Mwanaume aweza kuwa na wake wengi ila mama ni mmoja tu. That's one. Pili, siti zinatofautiana hadhi?Wakuu naomba ufafanuzi katika hili.
Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.
Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.
Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.
Swali ni kwamba mkeo na mama yako nani akae mbele, jibu la huyu ni pombe! Kwenye swali hakuna option ya pombe!Kwa nini mkuu?
Kama mama amekulea vizuri atajua nafasi yake na Kama umepata demu wa maana wataelewa nafasi yoChanzo hapo kila mtu anataka kukaa na wewe 😅😅😅😅basi mama aendeshe.
Mke wangu na mimi ni mwili mmoja tunaji risk wote.Unam risk mke siyo
Kwangu mama yangu ndio anastahaili ulinzi zaidi kuliko mke wangu, hapo lazima nimuokoe mama, mke wangu atasubiri kama kutakuwa na nafasi ya kumuokoa mtu mwingine ataokolewa kama haipo basi itakuwa ni Mungu ametoa na sasa ametwaa.Yupi anayestahili ulinzi zaidi ya mwingine, mke au mama?
Swali tuliulizwa zamani hilo,... 'mtumbwi unataka kuzama, nani hapo utakayeanza kumuokoa, mama au mkeo?'.
ni muhimu sana,Wakuu naomba ufafanuzi katika hili.
Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.
Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.
Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.
Kwani hilo gari ni lazima uendeshe wewe. Si anaweza kuendesha mkeo?Wakuu naomba ufafanuzi katika hili.
Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.
Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.
Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.
We dereva kuwa wa kwanza kuingia kwenye gari humfungulii mtu mlango atakaye wahi seat unasepa nao ivo ivo mama akiwa mbele barid wife poa tu ukianza kuwaza hayo ni kujiletea complicationsWakuu naomba ufafanuzi katika hili.
Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.
Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.
Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.
Binafsi sipendi kukaa mbele,nitakaa tu kama naendesha mimi lakini kama dereva ni mwingine huwa mimi nakaa nyuma.Mpaka leo hauijui hadhi ya seat ya mbele mkuu?
Seat ya mbele huchukuliwa ki hadhi kama 1st class.
Ukiona kwa mfano Rais kapachikwa seat ya kati kati, hiyo ni kwa ajili ya itifaki za kiusalama tu, lakini 'mweshimiwa' anastahili pale mbele.
Hata wewe ukitaka kutoka na familia yako, kati ya mke na watoto, nani utamuweka seat ya mbele?
Ata kwa wazungu uko siti ya nyuma ndio Ina heshima kubwa.boss ataacha mbele akae mwanae au mfanyakazi wake yeye siti yake ni nyumaukijua kwanini rais hakai siti ya mbele hautaipa hadhi hiyo seat.
Hakuna uhalisia, ni fikra za watu ambao hawakulelews kwenye magari, mwanjo mwanjo.Tamthilia imeandaliwa kutokana na uhalisia mkuu.
Familia nzima hamtakiwi kupanda gari moja hivyo.Wakuu naomba ufafanuzi katika hili.
Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.
Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.
Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.
Hakuna Mama anayejitambua atakayekaa siti ya mbele na mwanae halafu mkwewe akae siti ya nyuma. Ukiona mama yako anang'ang'ania kukaa siti ya mbele wakati mnasafiri na mkeo ujue kuna tatizo kubwa.Wakuu naomba ufafanuzi katika hili.
Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.
Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.
Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.