DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ikiwa wewe hauendeshi Gari je ungechagua wapi ?Chagua mmoja Dr.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikiwa wewe hauendeshi Gari je ungechagua wapi ?Chagua mmoja Dr.
Mama atakaa kwenye seat ya mbele kwenye Gari la mme wake!Wakuu naomba ufafanuzi katika hili.
Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.
Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.
Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.
Aisee kumbe bado Mungu ananipenda walahi😆😆,. Wamama wengine jau sana aiseeHuyo hana shida 😅😅😅 kuna wenye jicho huku hadi unampisha mwenyewe 😅 halafu ukute alikuwa Single mama halafu alimlea kwa shida na mwanae kafanikiwa. Usiombe kukutana nae. 😛😛
Mimi kama mke Nataka kukaa na my husband 😜ikiwezekana mama adrive 🤭
Umemaliza mkuu. Tujue kwanza heshima ya siti ya mbele inapimwa kwa vigezo gani.Kwani seat ya mbele ina heshima Gani
Yaani watu wagombanie kukaa seat ya mbele
Mkuu kwani hapo hujalielewa jibu langu?!Hapa tunazungumzia akija kwako kukutembelea 😅
Nimesema kila mtu atakaa mbele kwenye gari la mme wake...hapo vipi umeelewa?Sijaelewa vizuri
Tuanze na Baba yako, je Kati ya baba yako na mke wako nani inatakiwa akae mbeleWakuu naomba ufafanuzi katika hili.
Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.
Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.
Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.
Sawa Mimi najenga msingi wa hojaUzi unamzungumzia Mama na Mke.