Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je kama mke hajui kuendesha gariMimi mke namuweka mbele then Mimi nakaa nyuma na Mama mzazi
Binafsi nitaitazama kama baba.Kwa kiwango cha heshima Mkuu
Good thinkingBinafsi nitaitazama kama baba.
Mitoto ya kiume inapenda tabia ya kuacha mama zao washindane na wake zao. Hii ndo inaleta ukakasi wa nani muhimu.
Upuuzi wa mke wangu kuchukua nafasi ya mkwe wangu sitaki.
Kwanza Kila mtu akae na mkewe nyumbani kwake.
Au kama unataka sana kukaa na mke wangu mbele mlete wako nikae nae huku aliponiacha mke wangu akaja huko kupanda gari yako.
NB: Heshima ya mama haina vipimo sawa na heshima ya mke. Mama ni mama, hawezi chukua nafasi ya mke kwa kigezo cha heshima.
Mama mwenye akili anajua mipaka yake anapokuwa kwenye nyumba ya mwanae mwenye mke. Mke mwenye adabu anajua namna ya kumpa heshima mama wa mume wake maana kuna siku naye atakuwa kwenye hiyo nafasi.
Toa ujinga na ukrtimba wako hapaKimamlaka
1. Mungu kwanza
2. Wazazi.
3. Watoto( mke na mume)
Pia seat ya mbele kiutaratibu unatakiwa kubaki wazi,
Ila ikiwa seat unapewa Heshima, ngazi hapo juu zifuatwe.
Unam risk mke siyoBinafsi mama yangu atakaa siti ya nyuma kwa sababu za kiusalama.
Na mkeo akiwa kwa baba yako nani ana mamlaka nae?Kimamlaka
1. Mungu kwanza
2. Wazazi.
3. Watoto( mke na mume)
Pia seat ya mbele kiutaratibu unatakiwa kubaki wazi,
Ila ikiwa seat unapewa Heshima, ngazi hapo juu zifuatwe.
bila kujali siti gani wamekaa, they all arive to the destination at the same timeWakuu naomba ufafanuzi katika hili.
Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.
Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.
Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.
OKOKA mkuu, ulevi utakumalizaSiti ya mbele litakaa box la pombe mama na mkwe wake watakaa huko nyuma, wakipiga stories zao na umbea wa hapa na pale.
Fuata biashara zako .OKOKA mkuu, ulevi utakumaliza
zipiFuata biashara zako .
Utajua mwenyewe asee.zipi
Ukijaa nyuma unakufa???Wakuu naomba ufafanuzi katika hili.
Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.
Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.
Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.
Ni jambo jepesi sana kama mkeo na mama wana akili.Mimi mama yangu mzazi kwa heshima yake ,na hata kama ni gari ya mke wangu basi nitakaa nyuma maranyingi
Hili jibu linafikirisha sana!9Siti ya mbele litakaa box la pombe mama na mkwe wake watakaa huko nyuma, wakipiga stories zao na umbea wa hapa na pale.
Kwa nini mkuu?Hili jibu linafikirisha sana!9