mutu murefu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 996
- 2,636
Kwani kuna wamama wanakomaa kukaa mbele? Mie mama hata kama tuko wawili tu huwaga anajikalia siti ya nyuma. Mbele anakaaga wife
Ila akiwa na baba ndo anakaa siti ya mbele (baba akiwa ana drive).
Kiufupi maza hanaga shobo na kukaa mbele kwenye gari yangu, anakaaga kwny gari ya mumewe
Ila akiwa na baba ndo anakaa siti ya mbele (baba akiwa ana drive).
Kiufupi maza hanaga shobo na kukaa mbele kwenye gari yangu, anakaaga kwny gari ya mumewe