Mama yangu alinikataza kusomea Udaktari

Mama yangu alinikataza kusomea Udaktari

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Katika mambo ambayo huwa siyasahau ni hili.

Mama yangu ndugu zake kadhaa wamesomea udaktari. Na hata jina alilonipatia mimi nila baba yake ambaye mpaka sasa ni daktari. Lakini pia mara mimi baada ya kuzaliwa na kupatiwa jina hilo la huyo baba yake, nilianza kuitwa jina la utani Dokta, Dokta.

Nilisoma sana kwa bidii ili na mimi nije kuwa daktari. Mara baada ya kuhitimu kidato cha sita na kufanikiwa kufaulu vizuri.

Nilimwendea mama yangu na kumwambia mama mimi nataka kuwa daktari. Aliniambia kwa upole kabisa mwanangu mimi sipendi wewe uwe daktari hivyo achana na mambo ya udaktari somea mambo mengine. Basi tangia siku hiyo siupendi udaktari kabisa.

Lakini maswali mengi bado najiulizaga kwanini mama hakupenda nisomee udaktari, mpaka leo sijawai pata majibu.
 
Katika mambo ambayo huwa siyasahau ni hili.

Mama yangu ndugu zake kadhaa wamesomea udaktari. Na hata jina alilonipatia mimi nila baba yake ambaye mpaka sasa ni daktari. Lakini pia mara mimi baada ya kuzaliwa na kupatiwa jina hilo la huyo baba yake, nilianza kuitwa jina la utani Dokta, Dokta.

Nilisoma sana kwa bidii ili na mimi nije kuwa daktari. Mara baada ya kuhitimu kidato cha sita na kufanikiwa kufaulu vizuri.

Nimwendea mama yangu na kumwambia mama mimi nataka kuwa daktari. Aliniambia kwa upole kabisa mwanangu mimi sipendi wewe uwe daktari hivyo achana na mambo ya udaktari somea mambo mengine. Basi tangia siku hiyo siupendi udaktari kabisa.

Lakini maswali mengi bado najiulizaga kwanini mama hakupenda nisomee udaktari, mpaka leo sijawai pata majibu.
"tangia siku hiyo siupendi udaktari kabisa"..
I see!!Kukatazwa tu,ukaanza kuuchukia..!!

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Katika mambo ambayo huwa siyasahau ni hili.

Mama yangu ndugu zake kadhaa wamesomea udaktari. Na hata jina alilonipatia mimi nila baba yake ambaye mpaka sasa ni daktari. Lakini pia mara mimi baada ya kuzaliwa na kupatiwa jina hilo la huyo baba yake, nilianza kuitwa jina la utani Dokta, Dokta.

Nilisoma sana kwa bidii ili na mimi nije kuwa daktari. Mara baada ya kuhitimu kidato cha sita na kufanikiwa kufaulu vizuri.

Nilimwendea mama yangu na kumwambia mama mimi nataka kuwa daktari. Aliniambia kwa upole kabisa mwanangu mimi sipendi wewe uwe daktari hivyo achana na mambo ya udaktari somea mambo mengine. Basi tangia siku hiyo siupendi udaktari kabisa.

Lakini maswali mengi bado najiulizaga kwanini mama hakupenda nisomee udaktari, mpaka leo sijawai pata majibu.
Sababu anaijua mama yako. Muulize
 
alikuona hautaweza mtiti wa udaktar ndo maana.. alafau sababu nyinge inawezekana anafundishaa na aliwakunjia watu.. ssa wakiona jina lako tena kwa orodha ya wanafunzi watakunyoosha vibaya mnoo
 
Sikushindwa mkuu, hadi leo sijawai upenda hata kizazi changu sipendi kiusome kabisa. Nilisomea uchumi na usimamizi wa fedha (💵💸💴), hata kizazi changu kitasomea mambo hayo cha uchumi na usimamizi wa fedha.
 
alikuona hautaweza mtiti wa udaktar ndo maana.. alafau sababu nyinge inawezekana anafundishaa na aliwakunjia watu.. ssa wakiona jina lako tena kwa orodha ya wanafunzi watakunyoosha vibaya mnoo
Hamna mkuu mama yangu ni mfanya biashara tu, ila ndio hivyo aliona mbali tu. Kiukweli nimeuona msaada wake kama nisingefuata ushauri wake ningefuata mkumbo na kusomea hayo mambo ambayo watu wanasomea ili kupata ajira kwa haraka lakini hizo ajira zake sasa ni shida na mateso tu. Wakati kuna kozi za kawaida kabisa mtu anasomea miaka michache tu lakini pesa anayotengeneza ni ya hatari. Hebu jaribu kufuatilia watu wanaotamba Tanzania wamesomea kozi gani. Hapo ndio nilianza kupata somo.
 
Sikushindwa mkuu, hadi leo sijawai upenda hata kizazi changu sipendi kiusome kabisa. Nilisomea uchumi na usimamizi wa fedha (💵💸💴), hata kizazi changu kitasomea mambo hayo cha uchumi na usimamizi wa fedha.
Ooh ,sawasawa mkuu ila sababu ya kutoupenda ndio hakuna.
 
Katika mambo ambayo huwa siyasahau ni hili.

Mama yangu ndugu zake kadhaa wamesomea udaktari. Na hata jina alilonipatia mimi nila baba yake ambaye mpaka sasa ni daktari. Lakini pia mara mimi baada ya kuzaliwa na kupatiwa jina hilo la huyo baba yake, nilianza kuitwa jina la utani Dokta, Dokta.

Nilisoma sana kwa bidii ili na mimi nije kuwa daktari. Mara baada ya kuhitimu kidato cha sita na kufanikiwa kufaulu vizuri.

Nilimwendea mama yangu na kumwambia mama mimi nataka kuwa daktari. Aliniambia kwa upole kabisa mwanangu mimi sipendi wewe uwe daktari hivyo achana na mambo ya udaktari somea mambo mengine. Basi tangia siku hiyo siupendi udaktari kabisa.

Lakini maswali mengi bado najiulizaga kwanini mama hakupenda nisomee udaktari, mpaka leo sijawai pata majibu.
wazazi wanaiona kesho yetu,mama ako ana akili sana ungesomea udaktari sasa hivi ungekuwa zero distance na uviko19 na pia usengekuwa meneja wa makampuni
 
Hamna mkuu mama yangu ni mfanya biashara tu, ila ndio hivyo aliona mbali tu. Kiukweli nimeuona msaada wake kama nisingefuata ushauri wake ningefuata mkumbo na kusomea hayo mambo ambayo watu wanasomea ili kupata ajira kwa haraka lakini hizo ajira zake sasa ni shida na mateso tu. Wakati kuna kozi za kawaida kabisa mtu anasomea miaka michache tu lakini pesa anayotengeneza ni ya hatari. Hebu jaribu kufuatilia watu wanaotamba Tanzania wamesomea kozi gani. Hapo ndio nilianza kupata somo.
wanasema udaktar ni wito
 
Udaktari bongo imebaki jina tu..ni njaa na mwendo wa vijiwe kila kona ili kunisuru maisha..hali ni tete..graduates wamejaa hakuna tofauti na graduates wa ualimu mtaani...ukiwa na rafiki yako daktari kama uko vzr mtumie hela those people wanapitia maisha magumu kiuchumi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom