Mama yangu alinikataza kusomea Udaktari

Mama yangu alinikataza kusomea Udaktari

Mama yako bado yupo?muulize ili upate majibu

Siamini kama alivyokwambia kwa upole kwamba usisomee udaktari ukakubali bila kutaka sababu
Nyingine humu ni stori tu za kusindikizia jua lizame, siku iishe tupate LIKES na COMMENTS tu humu.

Don't get it complicated.
 
hahaaa kumbe mkuu umesomea fedhaa hongera sanaaa, mi nadili na forex sijui utanipa mawazo labda kwa vile we mtaalamu wa masuala ya fedhaa
 
Kwahiyo unatuuliza sisi au Kuna mama yako huku?
 
Mama alikuwa anapigwa tukio na Baba yako anaposema naigia night Leo kazini. Kumbe yupo kwa mke mdogo.
 
Back
Top Bottom