Nyingine humu ni stori tu za kusindikizia jua lizame, siku iishe tupate LIKES na COMMENTS tu humu.Mama yako bado yupo?muulize ili upate majibu
Siamini kama alivyokwambia kwa upole kwamba usisomee udaktari ukakubali bila kutaka sababu
Sio story ni really, mkuu sina kawaida ya kuandikaga uongo.Nyingine humu ni stori tu za kusindikizia jua lizame, siku iishe tupate LIKES na COMMENTS tu humu.
Don't get it complicated.
Zuzumagic wa watu ulitaka afanyaje?"tangia siku hiyo siupendi udaktari kabisa"..
I see!!Kukatazwa tu,ukaanza kuuchukia..!!
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
ππππππππShobo nyingi, Hamna hela