Mama yangu kwanza

Mama yangu kwanza

Kuna watu wajinga hakuna mfano. Baba ndo kakutunza wewe na mama yako. Ni sawa na usafiri na gari ulishukuru bodi la gari ukayadharau matairi ambayo 1 yamelibeba gari, 2.

Yalizunguka njia nzima kuhakikisha safari inaisha salama 3. Wakati yanazunguka yalisuguana na lami hivo kuisha taratibu ili wewe ufike safari yako mapema.

Hata mm nikiwa mdogo nlimpenda sana mama yangu ila utu uzima ukanifunza kuwa baba ndie wa kusifiwa na sio mama kama nlivyofikiri
 
Mama ndiye mwanamke wa kwanza kabisa anayekutana na mtoto wake tangu kuzaliwa, na hivyo kuwa na uhusiano wa kipekee na mtoto huyo. Mwanamke huyu anamlea mtoto wake kwa miaka kadhaa, akimpatia upendo, ulinzi, na kumwezesha kukua na kuwa mtu mzima.

Kuna dhana potofu kwamba mke ndiye mwanamke pekee anayeweza kumpenda mume wake kwa dhati, lakini hiyo si kweli. Mama ndiye mwanamke anayependa mtoto wake kwa dhati, na hivyo kuwa na uhusiano wa kipekee na mtoto wake wa kiume.

Mama anampenda mtoto wake kwa sababu ya uhusiano wa kipekee kati yao. Kwa kweli, upendo wa mama kwa mtoto wake wa kiume hauna kifani. Hata kama mtoto wake anafanya makosa au anapitia changamoto, mama yake ataendelea kumpenda kwa dhati na kusimama naye katika kila hali.

Mama ndiye mtu anayejua mambo mengi kuhusu maisha ya mtoto wake wa kiume. Yeye ndiye anayejua jinsi ya kumpa ushauri bora na kumwezesha kupata mafanikio katika maisha yake. Mama anafanya kila awezalo kumtunza mtoto wake na kumpatia msaada wa kihisia, kiroho na kifedha, hata kama mtoto wake wa kiume amekwisha kuoa.

Mama ndiye mwanamke anayeweka masilahi ya mtoto wake wa kiume mbele, na kuwa tayari kufanya chochote kumsaidia mtoto wake kufanikiwa. Mke anaweza kumpenda mume wake kwa dhati, lakini upendo wa mama kwa mtoto wake wa kiume ni wa kipekee na hautawahi kulinganishwa na upendo wowote ule.

Kwa hiyo, dhana kwamba mke ndiye mwanamke pekee anayeweza kumpenda mume wake kwa dhati ni potofu na haikubaliki. Mama ndiye mwanamke anayempenda mtoto wake wa kiume kwa dhati na kuwa na uhusiano wa kipekee naye. Upendo wa mama kwa mtoto wake wa kiume ni wa milele na hautawahi kumalizika.


Asanteni 👍
Mke sio ndugu... Unaweza kufa na asili! Ukafa Leo kesho usiku akapigwa miti na mdogo wako wa damu.. Narudia mke sio ndugu
KATA NDOA
 
Mama ndiye mwanamke wa kwanza kabisa anayekutana na mtoto wake tangu kuzaliwa, na hivyo kuwa na uhusiano wa kipekee na mtoto huyo. Mwanamke huyu anamlea mtoto wake kwa miaka kadhaa, akimpatia upendo, ulinzi, na kumwezesha kukua na kuwa mtu mzima.

Kuna dhana potofu kwamba mke ndiye mwanamke pekee anayeweza kumpenda mume wake kwa dhati, lakini hiyo si kweli. Mama ndiye mwanamke anayependa mtoto wake kwa dhati, na hivyo kuwa na uhusiano wa kipekee na mtoto wake wa kiume.

Mama anampenda mtoto wake kwa sababu ya uhusiano wa kipekee kati yao. Kwa kweli, upendo wa mama kwa mtoto wake wa kiume hauna kifani. Hata kama mtoto wake anafanya makosa au anapitia changamoto, mama yake ataendelea kumpenda kwa dhati na kusimama naye katika kila hali.

Mama ndiye mtu anayejua mambo mengi kuhusu maisha ya mtoto wake wa kiume. Yeye ndiye anayejua jinsi ya kumpa ushauri bora na kumwezesha kupata mafanikio katika maisha yake. Mama anafanya kila awezalo kumtunza mtoto wake na kumpatia msaada wa kihisia, kiroho na kifedha, hata kama mtoto wake wa kiume amekwisha kuoa.

Mama ndiye mwanamke anayeweka masilahi ya mtoto wake wa kiume mbele, na kuwa tayari kufanya chochote kumsaidia mtoto wake kufanikiwa. Mke anaweza kumpenda mume wake kwa dhati, lakini upendo wa mama kwa mtoto wake wa kiume ni wa kipekee na hautawahi kulinganishwa na upendo wowote ule.

Kwa hiyo, dhana kwamba mke ndiye mwanamke pekee anayeweza kumpenda mume wake kwa dhati ni potofu na haikubaliki. Mama ndiye mwanamke anayempenda mtoto wake wa kiume kwa dhati na kuwa na uhusiano wa kipekee naye. Upendo wa mama kwa mtoto wake wa kiume ni wa milele na hautawahi kumalizika.


Asanteni [emoji106]
[emoji37][emoji37][emoji37][emoji37]**Natamani limama mkwe langu litoweke hapa duniani hata leo.
 
Wabaa
Kuna watu wajinga hakuna mfano. Baba ndo kakutunza wewe na mama yako. Ni sawa na usafiri na gari ulishukuru bodi la gari ukayadharau matairi ambayo 1 yamelibeba gari, 2. Yalizunguka njia nzima kuhakikisha safari inaisha salama 3. Wakati yanazunguka yalisuguana na lami hivo kuisha taratibu ili wewe ufike safari yako mapema.
Hata mm nikiwa mdogo nlimpenda sana mama yangu ila utu uzima ukanifunza kuwa baba ndie wa kusifiwa na sio mama kama nlivyofikiri
Wababa wanasahaulika Sana,Ila wanapitiaga mbilinge Sana mpaka sie tuwe watu wazima
 
Mama ndio kila kitu mkuu kuliko kugawana mali na mke bora niwape ndugu zangu zote
Sasa mali ndio inakufanya uone mama ndio kila kitu,we mpuuzi wa mwisho,mwisho wa siku wakati wa kugawa mashamba unaenda kulia kwa baba yako ambaye ni damu yako sio wajomba zako,mbona dogo hukui,hujui kutofautisha hisia na uhalisia...!!! Au unaitwa kwa jina la mama yako nini?
 
Kuna watu wajinga hakuna mfano. Baba ndo kakutunza wewe na mama yako. Ni sawa na usafiri na gari ulishukuru bodi la gari ukayadharau matairi ambayo 1 yamelibeba gari, 2. Yalizunguka njia nzima kuhakikisha safari inaisha salama 3. Wakati yanazunguka yalisuguana na lami hivo kuisha taratibu ili wewe ufike safari yako mapema.
Hata mm nikiwa mdogo nlimpenda sana mama yangu ila utu uzima ukanifunza kuwa baba ndie wa kusifiwa na sio mama kama nlivyofikiri
Haya ndio matoto masenge,yanayobaki kuimba mitandaoni nani kama mama...! Utakuta hela ya ada baba alikua anampa mama chumbani lenyewe halioni,halafu mama anakuja kujitamba mbele yake mwanangu soma unaona navyo kupambania babako Amna kitu, mwanangu usimwamini mwanamke hata awe mama Ako, wakati mwingine anaweza kukupa data za uongo ili tu kujihakikishia usalama wa baadae, mfano mzuri ni mahusiano uliyo nayo na mwanamke wako,kama humwamini mke wako vivo hivyo na baba yako anafanya kwa dem(mke) wake ambaye ni mama yako......!!!! Vijana tujifunze kuziheshim nafasi za baba zetu maana nasisi ni mababa...tutayakuta huko uzeeni
 
Mama ndiye mwanamke wa kwanza kabisa anayekutana na mtoto wake tangu kuzaliwa, na hivyo kuwa na uhusiano wa kipekee na mtoto huyo. Mwanamke huyu anamlea mtoto wake kwa miaka kadhaa, akimpatia upendo, ulinzi, na kumwezesha kukua na kuwa mtu mzima.

Kuna dhana potofu kwamba mke ndiye mwanamke pekee anayeweza kumpenda mume wake kwa dhati, lakini hiyo si kweli. Mama ndiye mwanamke anayependa mtoto wake kwa dhati, na hivyo kuwa na uhusiano wa kipekee na mtoto wake wa kiume.

Mama anampenda mtoto wake kwa sababu ya uhusiano wa kipekee kati yao. Kwa kweli, upendo wa mama kwa mtoto wake wa kiume hauna kifani. Hata kama mtoto wake anafanya makosa au anapitia changamoto, mama yake ataendelea kumpenda kwa dhati na kusimama naye katika kila hali.

Mama ndiye mtu anayejua mambo mengi kuhusu maisha ya mtoto wake wa kiume. Yeye ndiye anayejua jinsi ya kumpa ushauri bora na kumwezesha kupata mafanikio katika maisha yake. Mama anafanya kila awezalo kumtunza mtoto wake na kumpatia msaada wa kihisia, kiroho na kifedha, hata kama mtoto wake wa kiume amekwisha kuoa.

Mama ndiye mwanamke anayeweka masilahi ya mtoto wake wa kiume mbele, na kuwa tayari kufanya chochote kumsaidia mtoto wake kufanikiwa. Mke anaweza kumpenda mume wake kwa dhati, lakini upendo wa mama kwa mtoto wake wa kiume ni wa kipekee na hautawahi kulinganishwa na upendo wowote ule.

Kwa hiyo, dhana kwamba mke ndiye mwanamke pekee anayeweza kumpenda mume wake kwa dhati ni potofu na haikubaliki. Mama ndiye mwanamke anayempenda mtoto wake wa kiume kwa dhati na kuwa na uhusiano wa kipekee naye. Upendo wa mama kwa mtoto wake wa kiume ni wa milele na hautawahi kumalizika.


Asanteni 👍
Alie kuzaa tu ndio anakupenda, na ndie ambae anaweza akakaa na wewe kwa hali zote.. ukiugua wehu kichaa mke anakutelekeza mchana kweupe na atapata mkurungwa mwingine.. ila mama kila ambapo atakuwa anakuona na hiyo hali chozi litamtoka..
 
Mama ndiye mwanamke wa kwanza kabisa anayekutana na mtoto wake tangu kuzaliwa, na hivyo kuwa na uhusiano wa kipekee na mtoto huyo. Mwanamke huyu anamlea mtoto wake kwa miaka kadhaa, akimpatia upendo, ulinzi, na kumwezesha kukua na kuwa mtu mzima.

Kuna dhana potofu kwamba mke ndiye mwanamke pekee anayeweza kumpenda mume wake kwa dhati, lakini hiyo si kweli. Mama ndiye mwanamke anayependa mtoto wake kwa dhati, na hivyo kuwa na uhusiano wa kipekee na mtoto wake wa kiume.

Mama anampenda mtoto wake kwa sababu ya uhusiano wa kipekee kati yao. Kwa kweli, upendo wa mama kwa mtoto wake wa kiume hauna kifani. Hata kama mtoto wake anafanya makosa au anapitia changamoto, mama yake ataendelea kumpenda kwa dhati na kusimama naye katika kila hali.

Mama ndiye mtu anayejua mambo mengi kuhusu maisha ya mtoto wake wa kiume. Yeye ndiye anayejua jinsi ya kumpa ushauri bora na kumwezesha kupata mafanikio katika maisha yake. Mama anafanya kila awezalo kumtunza mtoto wake na kumpatia msaada wa kihisia, kiroho na kifedha, hata kama mtoto wake wa kiume amekwisha kuoa.

Mama ndiye mwanamke anayeweka masilahi ya mtoto wake wa kiume mbele, na kuwa tayari kufanya chochote kumsaidia mtoto wake kufanikiwa. Mke anaweza kumpenda mume wake kwa dhati, lakini upendo wa mama kwa mtoto wake wa kiume ni wa kipekee na hautawahi kulinganishwa na upendo wowote ule.

Kwa hiyo, dhana kwamba mke ndiye mwanamke pekee anayeweza kumpenda mume wake kwa dhati ni potofu na haikubaliki. Mama ndiye mwanamke anayempenda mtoto wake wa kiume kwa dhati na kuwa na uhusiano wa kipekee naye. Upendo wa mama kwa mtoto wake wa kiume ni wa milele na hautawahi kumalizika.


Asanteni [emoji106]
Ila mki zeeka, mkaona watoto wenu wanaanza kuhudumia mama Zao, msiwnze kulia lia
 
Kuna watu wajinga hakuna mfano. Baba ndo kakutunza wewe na mama yako. Ni sawa na usafiri na gari ulishukuru bodi la gari ukayadharau matairi ambayo 1 yamelibeba gari, 2.

Yalizunguka njia nzima kuhakikisha safari inaisha salama 3. Wakati yanazunguka yalisuguana na lami hivo kuisha taratibu ili wewe ufike safari yako mapema.

Hata mm nikiwa mdogo nlimpenda sana mama yangu ila utu uzima ukanifunza kuwa baba ndie wa kusifiwa na sio mama kama nlivyofikiri
It takes a man to understand a man , a boy will never understand the man's business.
 
Kuna watu wajinga hakuna mfano. Baba ndo kakutunza wewe na mama yako. Ni sawa na usafiri na gari ulishukuru bodi la gari ukayadharau matairi ambayo 1 yamelibeba gari, 2.

Yalizunguka njia nzima kuhakikisha safari inaisha salama 3. Wakati yanazunguka yalisuguana na lami hivo kuisha taratibu ili wewe ufike safari yako mapema.

Hata mm nikiwa mdogo nlimpenda sana mama yangu ila utu uzima ukanifunza kuwa baba ndie wa kusifiwa na sio mama kama nlivyofikiri
Holy star tell your daughter not me
 
Back
Top Bottom