KWELI Mamba (Gustave) anakadiriwa kuua watu takribani 300 Ziwa Tangayika

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Huyo aliyekwenda kumpima urefu na uzito alishindwa nini kwenda na bunduki akamuua
 
Mamba kumkamata tembo???!!


☕🍵
 
Hilo jina la huyo mamba GUSTAVE ni mamba aliye sumbua nchin Burundi miaka 90s na sio Tz.Lakn pia matukio ya mamba kuua watu mkoa wa kigoma yako vijij vya kusin mwa mji wa kigoma kuanzia Ilagala na maeneo jirani,sunuka,Lubengera,kapara mpaka huko Lukoma,katumbi mpakan na Hifadhi ya Milima mahale.Tena maeneo hayo huathiriwa saana kwakuw mamba huvinjari ktk mito mikubwa inayo mwaga maji ziwa Tanganyika huo upande wa huo wa kusin kama vile mto Lwiche na Malagarasi.
Kwa upande wa kaskzin mwa mji wa Kigoma (uelekeo wa burund) kuna misim michache saana ambayo vboko na mamba wanaotoka burund huwa wanafka mpaka maeneo ya hifadhi ya taifa Gombe(km 24 kutoka kgoma mjini) hata hivyo ni nadra saana kuwa na matukio ya watu kushambuliw na mamba au vboko.Vijij viilvyoko within 24 km yaaan kati Hifadh ya Gombe na Kigoma mjin ambavyo ni Mtanga,kagongo migazin/ziwan na Kigarye hiv huwez ckia taarfa za kuonekana kwa hao viumbe.Na ikitokea ujue JW huwa wanakula nao sahan moja coz ktk orodha ya wanyama walioko hifadh ya Gombe mamba hawamo kbsaa,kwahyo wanapo onekana maeneo huleta taharuki mno coz sio ktu kilicho zoeleka ktk hayo maeneo.
HITIMISHO:
Hizo taarfa za Gustave na mkoa wa kigoma ni mpya kwangu labda kama ni huko kijij cha KAGUNGA ambacho kiko mpakan kbsaa na Burund,amabacho najua JW wangekuw washa mshusha ktambo maana cna hakika kama wanaeza subiria TANAPA ukzngatia hao viumbe wanatokea nchi jirani.
 
Kumekuwa na majaribio kadhaa ya kumuua au kumkamata bila mafanikio.

Huu utambuzi wa uzito wa kilo 907 umepatikanaje!!?
 
wamejuaje kuwa watu hao wote wameuawa na huyo Mamba mmoja?
Uwezo wake ni mkubwa sana wa kukamata na nguvu zake hazieleziki. Urefu wake ni mita 6.1 ana uzito wa kilo 907 kwa mujibu wa tafiti zilizofanyika.
Kama hawajawahi kumkamata wamewezaje kumpima?
Ana uwezo wa kukamata mnyama yeyote yule wa nchi kavu na majini ikiwemo Kiboko. tembo n.k.
Tembo?? Kiboko??? Una maanisha watoto wa Tembo na Viboko?
Picha ya Gustave imepigwa na 'Martin Best' wa National Geographic Society.
Kama wameweza kumpiga picha, wakaweza kumpima urefu na uzito maana yake hawajashindwa kumuua.
 

Hadi urefu na uzito akapimwa ila imeshindikana kumpata ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…