KWELI Mamba (Gustave) anakadiriwa kuua watu takribani 300 Ziwa Tangayika

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Basi nimeshaelewa kwanini Uhamiaji wanawakazia sana wanapotaka kupatiwa passport
Naona wazee wa zamani walitokea Kigoma ya Burundi wwlipokuja huku wakasema tumetokea Kigoma basi na hii ya kwetu ndio ikazaliwa kwa jina hili
Nimewaza tu labda yule mzee wa Historia anaweza kutusaidia
Ila kila kitu kinawezekana maana dunia ilikuwa moja ikakatwa katwa tu kwa ramani
 
Unamaanisha watu wa Kigoma ni watu kutoka Burundi si ndio?
 
Unamaanisha watu wa Kigoma ni watu kutoka Burundi si ndio?
We lianzishe tu maana kwa ubishi hawajambo
Nilipanda treni kutoka Kgm mpaka Tbr walibishana mpaka safari inaisha kuhusu dagaa wa wapi watamu kigoma au mwanza
Sasa mimi sina ubavu wa kubishana
 
We lianzishe tu maana kwa ubishi hawajambo
Nilipanda treni kutoka Kgm mpaka Tbr walibishana mpaka safari inaisha kuhusu dagaa wa wapi watamu kigoma au mwanza
Sasa mimi sina ubavu wa kubishana
Watu wa Kigoma ni wa Burundi?
 
Kama mnania ya kumuua semeni dawazipo anaitwa anajitokeza akiwa na hasira zote , anatulizwa kwa maneno anapigwa risasi ..semeni mnataka iwaje
 
Mamba ana mita 6 yaani zaidi ya futi 15?
HAIWEZEKANI KABISA.
 
Wanaohoji vipimo vya huyo mamba wa kufikirika, huwa mnaangalia Natgeo wild kweli?. Mbona kupitia zile picha, huwa wanawapima wanyama kwa vipimo mbalimbali hadi speed zao wakiwa wanakipimbia.
 
Wabongo hatujui vitu vingi sana ambavyo vipo tu.

Huyo mamba ameua watu wengi zaidi Burundi kuliko Tz. Inaaminiwa amekua akitegemea zaidi kuwinda binadamu kwakua alipata jeraha linalomfanya ashindwe winda natural preys.

Mara ya kwanza najua kuhusu Gustav nilitazama filamu inaitwa Primeval
 
Nakumbuka kuna kiboko alisumbua sana mtoni miaka ya 90 kijijini kwetu huko ,usiku anatoka mtoni anaenda kwenye mashamba ya viazi ni kutifua shamba zima , baadae akaua watu wawili hawa walikua walevi inasemekana walipomuona walijua ni ndama😅😅

Basi alikuja mzee mmoja mtaalam akafanya mambo yake kisha akatupia unga unga fulani humo mtoni ,

Baada ya kama nusu saa dubwana likaibuka lina hasira balaa mzee akalitupia maji fulani hivi likapoa kama nguruwe kaona miwa hapo hapo wandewa wakalishindilia masasi ya kutosha na ndio siku ya kwanza kula kiboko choma🤣
 
Atakua na vinasaba vya CCM huyu
 
Unaishi dunia ipi? Tech sikuhizi kama unaamini wachimba gas wakisema wamegundua ujazo wa gas ardhini trillion kadhaa na wakawekeza miaka kibao gas hauishi na ikiisha hesabu zao unakuta ni kweli.. tech ipo juu kuna vitu tu ikitizama inapima inajua hata kama umekula mihogo inajua uzito wako ukishaenda choo
 
Nani kampa hilo jina la gustav
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…