Ninayo video nyingine ikionyesha mamba akiogelea Chemka ila nashindwa kuiweka hapa
Najiepusha na mabishano na mtu wa sampuli yako, mabadiliko yakitokea ni kukubaliana nayo. Wewe kabembee na ile kamba oga kwa starehe sio lazima uliwe leo, sikio la kufa.....Kuna dogo pala ana rasta nimempigia hakuna kitu, kile ni kivutio, mpaka Marekani kinafahamika, hiyo ingekuwa habari kubwa mno, vicha upumbavu wako.
Hizi video zako unaweka za sekunde 10 ndio ushahidi mkuu? hata location haijulikani ya hizo video zilipochukuliwa,tunaamini vipi ni chemka hapo?Video nyingine nimeipata
Miaka ya nyuma hawa kuepoUlitaka mamba aonekane wapi
Ushaambiwa hapo kuna bwawa
Unategemea nini???
Ova
Miaka ya nyuma sana alishaonekana mamba mto mlalakuwa hapo jkt longtimeMiaka ya nyuma hawa kuepo
ishakua msalaVideo nyingine nimeipata
Nimepita sana Moshi Boma Arusha naisikia sana hii Kikuletwa hivi ipo karibu na wapi na ni kilomita ngapi kutoka njia kuu ya Moshi - Arusha. Pamoja na huyo mamba panonekana ni sehemu nzuri kwa utalii wa ndani.Kutoka Moshi kwenda Arusha hapo katikati
Hahah Mto pangani Hauna Mamba waseme walipowatoa Hao mamba 🤣🤣DR Mambo Jambo eti kunaonekana mamba hapo?
🤣🤣🥴Hahah Mto pangani Hauna Mamba waseme walipowatoa Hao mamba 🤣🤣
Upumbavu huu, nimeogelea hapo toka nina miaka 20, hata mwezi uliopita na miaka yangu 53 nimeoga hapo.
🤣🤣🤣hatari Mungu atunusuruuIle unapiga mchomo tu, unajikuta uko na braza KROKODILE uso kwa macho.
Ni ziwa au ni bwawa?Ni wewe umechelewa kuyajua mambo haya. Sabaya ndio aliweka vitisho kwa watakaosambaza habari Ila kwa tarifa yako. Watu wanapigwa sana