Inasikitisha sana mkuuAcha kuongea ujinga wewe kampuni ya African Queen mgeni wake alishashambuliwa na mambo hapo,hata Tanzania Specialist….
Hao wanaosema hakuna wanafaidika na hiyo sehemu lakin ukweli ni kwamba Mamba Chemka wapo..
Apo nishaogelea nipatamu Sana na nilikuwa nataman niende siku moja na beby wangu lakin duh.JF team nimekutana na hii habari kwenye whatsap, naomba kwa mtu aliye karibu na maeneo ya huko Chemka atuambie kama ni kweli au ni uzushi? Naambatanisha na video na huo ujumbe unaozunguka
Kinga ni bora kuliko tiba. Hapa ni Chemka kule boma ng’ombe. Sehemu pendwa kwa kuogelea na natural Massage. Tahadhari imetolewa, Bwawa limeingia ruba. Mashuhuda wanasema Mamba wameonekana. Inaaminika Mamba hao wametokea mto Pangani.
Sababu zilizowawezesha Mamba hao kusafiri umbali mrefu inaaminika ni mvua zilizofululiza muda mrefu na mafuriko yaliyoanza Novemba mwaka jana yakaungana na mvua za masika za mwaka huu.
View attachment 2966676
Ulitaka akuambie ni kweli sio, Hujui pale ndio ofisini kwake anatafutia rizikiKuna dogo pala ana rasta nimempigia hakuna kitu, kile ni kivutio, mpaka Marekani kinafahamika, hiyo ingekuwa habari kubwa mno, vicha upumbavu wako.
Anaweza kukaa akiwa headphonesHakuna mamba wala mama yake mamba.
Acheni uoga wa kitoto mamba hakai sehemu yenye kelele nyingi.
Nisaideni nikiwa Moshi Arusha highway unaingilia wapi kueleka huko? Na ni kilomita ngapi kutoka barabara kuu kufika huko? Je njia ya kufika huko inapitika kwa mwaka mzima kwa gari ndogo amabayo haina fourwheel? Nataka kufanya utalii wa ndani huko baadaye mwaka huu.Chemka hotspring
Ukifika Bomang'ombe uliza hata mtoto wa shule barabara ya kwenda Chemka utaoneshwa.Nisaideni nikiwa Moshi Arusha highway unaingilia wapi kueleka huko? Na ni kilomita ngapi kutoka barabara kuu kufika huko? Je njia ya kufika huko inapitika kwa mwaka mzima kwa gari ndogo amabayo haina fourwheel? Nataka kufanya utalii wa ndani huko baadaye mwaka huu.
MmhhhNinayo video nyingine ikionyesha mamba akiogelea Chemka ila nashindwa kuiweka hapa
Ubarikiwe. Vipi barabara ni lami, changarawe au vumbi na je inapitika kwa gari ndogo muda wote wa mwaka?Ukifika Bomang'ombe uliza hata mtoto wa shule barabara ya kwenda Chemka utaoneshwa.
Nadhani around 15KM one way.
Karibu sana uogelee maji huku ukipata free massage ya samaki wadogo.
NB: Uje na nguo za kuogelea sio dela kwa mkeo/mpenzi.
Kama ushafika chemka wala hupati shidaHizi video zako unaweka za sekunde 10 ndio ushahidi mkuu? hata location haijulikani ya hizo video zilipochukuliwa,tunaamini vipi ni chemka hapo?
Changarawe, hata gari ndogo inaenda, hata bajaji huwa zinaenda kabisaUbarikiwe. Vipi barabara ni lami, changarawe au vumbi na je inapitika kwa gari ndogo muda wote wa mwaka?
Changarawe,inapitika mwaka mzima ila kipindi hiki cha mvua ni changamoto kwa baadhi ya maeneo.Ubarikiwe. Vipi barabara ni lami, changarawe au vumbi na je inapitika kwa gari ndogo muda wote wa mwaka?
Mamba pale wanakuja wakitokea mto Mbuguni, 2006 kuna mzungu alishambuliwa na mamba akafa akiwa anatibiwa nje. Meno ya mamba yana sumu kali sanaNajiepusha na mabishano na mtu wa sampuli yako, mabadiliko yakitokea ni kukubaliana nayo. Wewe kabembee na ile kamba oga kwa starehe sio lazima uliwe leo, sikio la kufa.....
Hivi mtu aliye kazuramimba au namtumbo ni lazima atapajua bomang'ombe?Onatoka iñji gani hujui Bomang'ombe?
Ndugu haufahamu vizuri tabia za mamba. Hilo dude la hovyo sana likiwa na njaa halina aibu wala nini. Likizidiwa na njaa linakamata binadamu hata nje ya maji japo nje ya maji ni mara chache sana na linakuwa halina nguvu sana kama linapokuwa ndani ya maji. Kama kweli mamba ameonekana wajulisheni askari wanyamapori wao ndio wanajua jinsi ya kuwawinda na kuwamaliza ili watu waendelee na shughuli za kibinadamu hapo kwenye hilo bwawa.mamba wapo, ni issue inayofahamika vizuri tu sema huwa wanakuja usiku. Mchana kukiwa na vurugu vurugu na mishemishe za watu wakiogelea huwa wanaenda mbali hawawezi kusogea, ndyo hali inayosababisha kuonekana kama hawapo, lakini usiku kunapokuwa kumetulia wanarudi na ni risk sana kuogelea mwenyewe usiku.